Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mitambo heavy duty ya publications

Vitabu vya shule sasa kuchapishwa na kiwanda cha serikali yenyewe bila kupitia utaratibu wa procurement and supply, Magu kaivalia njuga elimu ya Tanzania

Wale suppliers wa wizara ya elimu wataanza sasa kumchukia Magu na serikali yake, ndio watu kama choice variable hao

 
nikuulize jamaa, if BBC makes a report about Tanzania, does that mean the whole of Great Britain are threatened by Tanzania? Logic.
Kwann africa pekee iwe kenya na sio congo au south africa kwann kenya pekee yake achilia mbali mzungu tushamzoea kwann awe mkenya 😀😀😀 nyinyi muna wazimu kichwani nyinyi munakaa kuhangaika na tanzania wakat nchi yenu ilipo makalio yanawaka moto
 
povuu la damu......watu wanamaisha yao,,

unadhani movie hizo
Hao wanatumiwa mzee baba, tangu yule CEO wao wote ni vibaraka..
Hyo kampuni ina wenyewe unafikiria hapo ni bure bure..
Sasa subiri aseme anatoka uone vile atalia na kusaga meno
 
Mkuu Dar ya ss iko fire sn, kwa mfano mm nilikuwa natokea mwenge, pale ubungo ilikuwa hukatizi kizembe pale but jana gari yetu ilipita kama kishada floor ya juu kabisa, pale tazara pia fasta tukakunja ngoma airport hii hapa mara gongo la Mboto daahhh raha sn
Nataka sana tutekeleze ile project ya reli ya mjini ya umeme all over Dar km266. Feasibility study ishafanywa na TRC wakishirikiana na kampuni moja ya SA. Kuna siku Kadogosa alidokeza kuwa kwa jinsi Dar ilivyo itakuwa ni viaduct mwanzo mwisho.

Siku mradi ule unakamilika kuna watu wataacha kuja Tz. Watatamani bara lipasuke tusiwe majirani.
 
Thank you.

Umeiweka barabara. Prof Mwandosya alikuja na hadith ya watoto wakimwambia eti "we Mwandosya vua masiki, hakuna korona" akadai, vijana hao wenye miaka 15, 16.

Ndio hadith aliiyoa huko twitter ikishabiriana, na hadith kama ya Onyango Obbo wa gazeti la Kenya, Daily Nation.

Swali, hao wa miaka 15, 16, ni watoto or vijana? Na ni mtoto or kijana yupi kwenye mkoa upi anaweza muita Babu kama yeye kwa jina lake?

Story yake ilikua ya kutunga, ndio maana ilisheheni itilafu lukuki za kiufundi.
Huu uprofesa saa nyingine unatumiwa vibaya na wenye nao.
Tuseme tu ukweli Mwandosya ameifanyia nini hii nchi?
 
Kempinski Nairobi
Eu0lUlkXEAATaza.jpg
Eu0lVAkXUAMUmBo.jpg
Eu0lVbTXMAIsPv5.jpg
 
Back
Top Bottom