Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I bet Lamu ina airport kama hiyo!



AGwed-Lamu-runway-092208.jpg



IMG_20200105_162921-1.jpg
Airport ya Lamu ndio hii hapa
2699543_images_9.jpeg
 
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa leo wacha nicheke tu maana NAMUNGO FC na SIMBA SPORTS CLUB wanatupa raha tu...


na hizo bugatti za kenya ndiyo kabisa tunapata burudani
😅😅😅😅😅
 
Hahaha. Hili Arusha airport nadhani ni cattle dip mahali ambapo ng'ombe zinaenda kuogelea ili kutolewa chawa kwenye ngozi.
Remember Arusha is their third city[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23]
 
Hakuna star mkubwa Kenya mwenye haya maisha

Hayo ndio yale tunayoyaita "maisha ya kuigiza"
Watz kw kulelewa mnapenda sana, hapo sasa aseme anatoka ndio atajua mikataba na wale ma bigpin ilikua ya kitumwa..

Acha huyo, hata yule boss wao pia anatumiwa na waliomuweka pale.huna unachokijua wewe
 
ahh basi labda mimi ndo mgeni. uku, ila jf kuna miamba nazungukaga kwenye nyuzi zingine uko kuna miamba konki sana kina lumumba na kiranga awa yaani wananfanya nipate mizuka yakuendelea adi doctrate, sio kwa vichwa vile mjomba😀
Kiranga mzee wa "Thibitisha kama Mungu muweza wa yote yupo"[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hehehehee we kwa kulopoka hujambo, ss Assad na siasa wapi na wapi, mm nme suggest mumpe PLO kwasababu nyie hamjapata bado kiongozi mwenye uzalendo na Kenya na hata hawa wapuuzi wanaotajwa tajwa kumlithi Uhunye pia hamna kitu.
Mbona unalialia na wakati hata mi pia nime suggest mumpe huyo assad, manake nyi bado hamjapata kiongozi anayejiele km vile assad yeye anasimamia ukweli.. km ni PLO pia sio mwanasiasa[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom