masuala ya intertainment siku zote yana wigo mpana,si kitu cha kufanya peke yako ,mwanamuziki ama msanii yeyote yule anayepiga pesa nyingi lazima awe na wadau .....uacheushamba...Hao wanatumiwa mzee baba, tangu yule CEO wao wote ni vibaraka..
Hyo kampuni ina wenyewe unafikiria hapo ni bure bure..
Sasa subiri aseme anatoka uone vile atalia na kusaga meno
Mitambo heavy duty ya publications
Vitabu vya shule sasa kuchapishwa na kiwanda cha serikali yenyewe bila kupitia utaratibu wa procurement and supply, Magu kaivalia njuga elimu ya Tanzania
Wale suppliers wa wizara ya elimu wataanza sasa kumchukia Magu na serikali yake, ndio watu kama choice variable hao
Wapi wale wa masoko ya Sonko? Tony254

♂️Nadhani litakuwa pedestrian overpass juu ya Bibi Titi Road kuzuia watu kuvuka barabara wakati wa kwenda na kurudi sokoni!walisema kuna daraja, ndo linakaa wap?
Mitambo heavy duty ya publications
Vitabu vya shule sasa kuchapishwa na kiwanda cha serikali yenyewe bila kupitia utaratibu wa procurement and supply, Magu kaivalia njuga elimu ya Tanzania
Wale suppliers wa wizara ya elimu wataanza sasa kumchukia Magu na serikali yake, ndio watu kama choice variable hao








Hapo kwa mpangilio umechemsha. Dar es Salaam haina mpangilio nje ya CBD. Kama unapinga tazama aerial photos za makaazi ya watu ndio utaona jinsi Dar haina mpangilio wowote. Basically watu wanaishi kokote wapendao na hata hakuna city planning iliyofanywa pale. Most of the makaazi ya Dar ni unplanned settlements. We can easily tell this when we look at aerial photographs. Huwezi kutudanganya kwamba Dar is a planned city. Isipokuwa maeneo machache ya CBD, the rest ni unplanned na ndio maana ukitazama makaazi ya Dar kutoka juu unapata kichefuchefu maana hata hakuna barabara ya kutosha, nyumba zimefinyana hakuna hata road reserve katika baadhi ya maeneo haya.Acha wivu mzee🙂hakuna mji wowote ule wa Kenya unalingana na miji ya Tanzania kwa usafi na mpangilio hata wewe unajua hilo sishangai ukichukia🙂
Tanzania mamia ya wananchi wanakufa kwa corona kila siku!!

Mzungu huyo apo kavaa barakoa kama ushahidi tu hajafunika pua wala nn 





Hili ni tatizo sugu la nchi nyingi za kiafrika, hata kwenu pia maeneo mengi ni hivyo hivyo tu unplanned settlements, ukiacha maeneo machache wanayoishi foreigners hasa kwenye estates kwengine kote ni uozo, tena afadhali Dar ni kweli sehemu nyingi mpangilio mbovu ila hakuna vibanda kama maeneo mengi wanayoishi Wakenya ukiacha maeneo machache ya foreigners.Hapo kwa mpangilio umechemsha. Dar es Salaam haina mpangilio nje ya CBD. Kama unapinga tazama aerial photos za makaazi ya watu ndio utaona jinsi Dar haina mpangilio wowote. Basically watu wanaishi kokote wapendao na hata hakuna city planning iliyofanywa pale. Most of the makaazi ya Dar ni unplanned settlements. We can easily tell this when we look at aerial photographs. Huwezi kutudanganya kwamba Dar is a planned city. Isipokuwa maeneo machache ya CBD, the rest ni unplanned na ndio maana ukitazama makaazi ya Dar kutoka juu unapata kichefuchefu maana hata hakuna barabara ya kutosha, nyumba zimefinyana hakuna hata road reserve katika baadhi ya maeneo haya.