Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alafu launch ya Arusha ndio hii hapa
images%20(14).jpeg
 
Woii the twins beib, unajua nn nmegundua licha ya kukosa viongozi makini kwa muda mrefu lkn Watz tunaheshimu sana road reserves na ndiyo maana inakuwa rahisi ku impliment modern projects like BRT, onaView attachment 1709748View attachment 1709749View attachment 1709750View attachment 1709751
Road reserves zilianza kutafunwa na wahindi na wafadhili wa chama alipoingia Vasco Da Gama. Nakumbuka kuna wakati alipomrejesha Magu ujenzi X zilitembea rais kamtuma PM Pinda, Magu akakaza. Mwishowe kaingilia mwenyewe. Naskia Magu alitaka kujiuzulu busara ikatumika.
 
Hayo ndio yale tunayoyaita "maisha ya kuigiza"
Watz kw kulelewa mnapenda sana, hapo sasa aseme anatoka ndio atajua mikataba na wale ma bigpin ilikua ya kitumwa..

Acha huyo, hata yule boss wao pia anatumiwa na waliomuweka pale.huna unachokijua wewe
povuu la damu......watu wanamaisha yao,,

unadhani movie hizo
 
Hebu screenshot simu unayotumia kwnz isije ikawa ni Itel af unaleta dharau humu
Umeshikwa nyeti😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ukiona mpumbavu hawezi jibu anaanza longolongo ujue kesha shikwa nyeti.

Nakuuliza, hapo ni Dar mjini, au vijijini?????
😭😭😭😭😭😅😅😅😅
 
nachelea kusema i can identify a smart person when i see one mdogoangu anafanya uchumi mlimani natamani aje awe na alaytical mind kama hii yako, kongole kwako kaka
Ahsante sana kwa hamasa hiyo mkuu. Huyo mdogo wako akidhamiria tu atakuwa mchumi mzuri. Mimi nilisoma huo uchumi kwenye chuo cha kawaida kabisa ila lengo langu kubwa lilikuwa kuwa mchumi mzuri. Huwa na-enjoy pia kuona watu wengine wakifanya analysis nzuri kwenye maeneo tofauti tofauti.

Thanks a lot for that motivation.
 
Yani unaposikia Simba inastahili pongezi tunamaanisha, Mana kuifunga the most successful club in the world c mchezo.

Angalia hizi clubs zilizofanikiwa zaidi duniani and Al Ahly leads the group

 
Back
Top Bottom