Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
sikulifahamu kumbe stendi ni ukalulu.....Yaani tunacho maanisha ni kama jamaa fukara anayeishi uswahilini sijui wapi...apate pesa kidogo tu halafu aende akanunue TV 80" inches akaiweke Kwa kijunba cha mabati...hivyo ndio mnaonekana yaanani ni ukalulu tu stendi hizo



ujenzi wa stendi ni vitu muhimu vya kawaida kwa mazingira ya transiportation...na isitoshe hiyo stand haikai for nothing hapo itamuingizia huyo fukara mapato zaidi na kupata muendelezo wa maisha yake ya kila siku na kuweza kumpatia tv nyingine ya inch 100

