The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,484
- 98,529
Hizo cbd 4 ziko wapiNairobi's fifth CBD underconstructionView attachment 1710106View attachment 1710107






Hizo cbd 4 ziko wapiNairobi's fifth CBD underconstructionView attachment 1710106View attachment 1710107






Unataka battle ya Airports?![]()
Nakuuliza unataka battle ya Airports we jibu ndiyo tuanze au hapana niacheKwani mnakuanga na airports?




Tuliza nyege kijanaMzee wa render naona umerudi![]()
Nakuuliza unataka battle ya Airports we jibu ndiyo tuanze au hapana niache![]()
Hii hapa runway ya Arusha airport.Here is the runway. Hiyo iko normal lakini imeshinda hile ya Arusha, ama unapinga?View attachment 1710097
Zipo nyingi tuu... hadi kama hizi hatuhesabuHizo cbd 4 ziko wapi![]()
Nakupa precaution, soma hii uone list of Airports in Tz zen ukiona unaweza twende kaziKwani lazima nikuambie ndio uanze? Kama unajiamini si uanze?


Ingine hii hapa iko jiani kubwa kuliko darHizo cbd 4 ziko wapi![]()
Gape between nairobi and Kenya,Nairobi's fifth CBD underconstructionView attachment 1710106View attachment 1710107
Kwetu sherehe hyo mkuu, jamani Kenya imekufa usidhani ni masiala, serikali yao haiwezi kujenga hata robo kilometa ya tarmac road.hawa jamaa bana mbona wanajiharibia biashara wenyewe View attachment 1710131
kama dsm ni kubwa kuliko kenya yote unafikiria nini badala ya kufuta andiko lako!!!!Ingine hii hapa iko jiani kubwa kuliko darView attachment 1710130View attachment 1710134View attachment 1710136View attachment 1710137
Mzee, nashukuru kwankunipa wallpaper. Ngoja niiweke fasta isije kupotea bure.




. Bongo raha sana siku hizi.Mkuu kazi unayofanya ni kubwa sana. Usiache kutuwekea hapa vitu vizuri kila unapopata.
Mkuu Dar ya ss iko fireMzee, nashukuru kwankunipa wallpaper. Ngoja niiweke fasta isije kupotea bure.. Bongo raha sana siku hizi.
Ngoja nikupe kasiri kamoja mkuu The best 007 ila usimwambie mtu. Ni true story bro. Ni hivi, mwaka 2015 ndiyo ilikuwa mara yangu ya mwisho kuja Dar kutoka Green City huku.
Dar pale nilipokelewa na foleni ya kutoka Kibaha, uje Kimara, uingie Ubungo. Sasa kasheshe lenyewe la foleni likaanzia Ubungo kwenda kwa mshikaji wangu Kongowe huko! Nilijuta mbona.
Nilitumia masaa mawili na dk 45. Sasa mimi miongoni mwa vitu sipendi ni foleni. Siku ya kuondoka nilikaa kwenye foleni mpaka mabasi yote yanayoeleweka yakasepa. Kusafiri na Taqwa kutaka Dar mpaka Mby ni michosho asikwambie mtu. Hivyo nikaapa siendi tena Dar mpaka foleni ziishe.
Sasa ajabu from no where katokeo mtu kutoka Chato huko anafanya ndoto yangu iende kutimia. Siku natimba Dar nadhani itakuwa utelezi tu kama niko huku mikoani.
Magu buana.
sn, kwa mfano mm nilikuwa natokea mwenge, pale ubungo ilikuwa hukatizi kizembe pale but jana gari yetu ilipita kama kishada floor ya juu kabisa, pale tazara pia fasta tukakunja ngoma airport hii hapa mara gongo la Mboto daahhh raha sn 




