Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Re imaging Mombasa streets
EunV67nXMAMESz9.jpg
EunV5vhXUAkcI0c.jpg
 
Nchi umeme ilikua shughuli hasa Dar, maji Dar yanauzwa na wahuni kama Nairobi nchi ya Nzige.

Leo hii, umeme haukatiki na mwezi wa sita kila kona ya nchi kutakua tumeconent, maji hali kadhakika, hospitals, za nguvu, mahakama mpya kubwa na nzuri nchi mzima, machinjio ya kisasa nchi nzima, viwanja vya ndege nchi nzima, stands za mabasi, masoko nchi nzima.

Yule mbulula Kikwete yeye alikua kuchekacheka tu akidai hayawezekani "Ufinyu wa bajeti, eeeh ufinyu wa bajeti" katoka zake Davos na wakina January Makamba, then Togolani Mavura. Wakati huo, Membe nae anapuyanga somewhere in Europe wakati katibu mkuu wa mambo za nje, Libareta Mulamula kako New York eti kameudhuria mualiko wa diaspora wakijadili "dual citizenship"

M****ther P***sy!
Kiongozi anajisifu moja ya mafanikio ni kumwalika Obama, so what?
Bunge langu Spika alikuwa mwanamke,
 
Acha wivu mzee🙂hakuna mji wowote ule wa Kenya unalingana na miji ya Tanzania kwa usafi na mpangilio hata wewe unajua hilo sishangai ukichukia🙂
Ati mpangilio? Ebu kuwa serious bana😂😂🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20210223-225324_DuckDuckGo.jpg
    Screenshot_20210223-225324_DuckDuckGo.jpg
    56.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20210223-225244_DuckDuckGo.jpg
    Screenshot_20210223-225244_DuckDuckGo.jpg
    97.6 KB · Views: 6
  • Screenshot_20210223-225045_DuckDuckGo.jpg
    Screenshot_20210223-225045_DuckDuckGo.jpg
    50.6 KB · Views: 5
Back
Top Bottom