Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Interchange fence ya kazi gani
Unaona mlivyokua mamburula
We plan ahead kuzuia watu kama nyie hawkers
Screenshot_20210221-231508_DuckDuckGo.jpg
View attachment 1708671
 
Tukiwaambia Kenya ni utumbo hamuamini.

Imagine mwanafunzi wa Doctrate badala ya kufanya Scientific Research anaenda kutengeneza Chat bot ambayo Tanzania ni project ya mwanafunzi wa Diploma... Hili Jambo limeniuma sana.

Daah how is it possible guys... Doctrate na chat bots?. You guys mnacover nini darasani kwenuView attachment 1708642

Sent using Jamii Forums mobile app
Doctorate kasomea wapi huyi, uko na ushahidi gani km kasomea doctorate..
Tukileta comment za tz mnalialia huku wakati nyinyi comments za wakenya mnazichukulia km official source..

Mwengine siku hyo hapa alitaja vitu vya form6 wakati hiku kwetu form4 unavikuta
 
Wameona waje sehemu salama, naona Visit Tanzania imeanza kufanya kazi
Huwa tuna uhusiano mzuri sana na Algeria, hata kwenye vita vya Uganda walitusapoti, dhidi ya majirani zao Libya.
Wasi wasi wangu ni joto, maana kipindi hichi Dar huwa inatokota. kuna mdau alishauri serikali ijenge viwanja vingine viwili vikubwa kama cha Mkapa, kwani hii inaweza hata kutusaidia kuweza kuomba kuhost CAF siku moja.
 
Choice variable katika ubora wako, yaani kama pembe la ng'ombe vile halifichiki hata afuge panki
Ana vituko sn uyo jamaa, wkt anaingia akajifanya kusifia kdg af mbele akajisahau akaanza kuandika hisia badala ya uhalisia, siku nikamstukia nikajisemea ngj nimchokoze nione km co choice variable, hahahahaaa ndo yeye bhn
 
Tunaijua vizuri Sana. Tunajua humo uswahilini ukitoka main road, Hamna barabara ya kami. I was shocked even in your high end neighborhoods kuna barabara za tope. Agree with the truth - Dar si ligi ya Nairobi.
sioni cha ajabu hapo nairobi ambacho dar nitakosa ,,,,,,zaidi kilichopo dar nikija nairobi nitakosa....
nairobi si sehemu ya enjoyment kabisa ,,,kuna vitu vingi mmepungukiwa
 
Back
Top Bottom