ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,728
- 28,284
Mbona unachafua majina ya wachezaji..huyo atakuwa hakim ziyechi !
Mbona unachafua majina ya wachezaji..huyo atakuwa hakim ziyechi !
Sheria haisemi hivyo, sheria inasema kuwa hiyo hali ya Ulevi Inatakiwa iwe Imesababishwa na mtu mwingine, yaani hakimu awe ameleweshwa na mtu mwingine sio yeye.Kama wote walikuwa walevi wamelewa hapo kesi ni nyepesi sana.. kwamba Mtuhumiwa alitenda kosa akiwa hayupo sawa KIAKILI.
Eti yupo depressed hawezi kuongeaDuuu mdogo mtu yeye anasemaje?
Maswali ni mengi mno,Mmmh
Kwamba alikuywa mpk akazima?
Au alimwekea kitu?
Na km aliofanya hivyo,how come amfungulie kaka mtu kirahisi tu,hakuogopa?
Nina maswali mengi , sielewi 🤷
Hamna kushuka hapa na spidi tunaongeza,aliyekwambia uje duniani nani?Dunia simama nishuke,
Hii spidi ni kali mno
Mkuu!Mkuu Tayana,
Ulishawahi kufanya kitu halafu baada ya kukifanya unashangaa nimefanyeje hichi kitu mimi?!!
Hufikirii labda kulikuwa na dawa zingine walizotumia ambazo huenda akili isiwe sawa?
Hata mimi nashangaa kwanini alifungua mlango.
Ila kuna situation unaweza kufanya vtu halafu bado unabaki kama umepigwa butwaa imekuwaje
Ishu ni ile ile.. kwamba alilewa. Na walikuwa wanakunywa wote hizo pombe.Sheria haisemi hivyo, sheria inasema kuwa hiyo hali ya Ulevi Inatakiwa iwe Imesababishwa na mtu mwingine, yaani hakimu awe ameleweshwa na mtu mwingine sio yeye.
Utajuaje kama walipeana ofa.. zungusha raound hii yangu round ijayo yako unalipa.🤣🤣🤣 Hii ni SELF INTOXICATION, hairuhusiwi.
Ina maana akina mama wa Loliondo wako expensive kuliko bodaboda?Kijana huyo alipelekwa katika hospitali ya Wasso kwa matibabu na taarifa za daktari zimethibitisha kuwepo na michubuko sehemu za haja kubwa pamoja na mbegu za kiume.
Issue ni tofauti ili iwe defense the state of intoxication Inatakiwa iwe imefanywa na uzembe wa mtu mwingineIshu ni ile ile.. kwamba alilewa. Na walikuwa wanakunywa wote hizo pombe.
Mkuu,Mkuu!
Hapana mimi nitasema hapana..
Hii kitu inatia mashaka sana
Kuanzia ilivyokuwa mpaka ilivyotokea..
Kwanini kaka yake alipofunguliwa Mlango alimuangalia Hakimu moja kwa moja Sehemu zake za siri na sio sehemu nyingine..?
- Swali La kwanza....
Na alishtuka alipoona sehemu zake za Siri zimesimama na hapo hapo akakimbia kwenda kumuangalia Mdogo wake ..Hii mantiki haiingii akilini Kabisa kipi kilimfanya Yeye ahisi Mdogo wake kafanyiwa kitendo hicho maana Kusimamisha kwa mwnaume Kunaletwa na mambo mengi na sio Lazma kufanya kwanini moja kwa moja amfikirie mdogo wake tena mwenye miaka 29 baada ya kuona hakimh kasimamisha?
Mtoa taarifa anasema Kuwa yeye ni kaka Yake na yule jamaa (Mlawitiwa) Alikuwa anaishi kwenye chumba kimoja na aliishi peke yake..
- Swali la 2....
Kaka yake hakuwa na Pa kuishi? Alienda kufanya nini Usiku wa Saa tatu nyimbani kwa mdogo wake?
Kumkuta Mdogo wako.kalala Ndani uchi, Na kumkuta Hakimu sebuleni Kasimamisha haisuggest kuwa huenda hakimu Alimfanyie kitu mdogo wake..Labda kama kuna Ushahidi mwingine uliomfanya Yeye kuita watu na kumfanyia ukagusi Mdogo wake..
- Swli la 3
Kuwepo kwa michubuko Haja kubwa pekeee hakujustify kwamba kabakwa au kalawitiwa ..
- swala la 4
I Think kuna kitu Beyond Our understanding..
lets Just kukichimba..
Na ili ukipate hicho kitu fatilia Miondoko ya hakimu fatilia Kesi zote alizoamua..
Fuatilia kama Kuna ugomvi wowote aliokuwa nao na jamii fuatilia Kama kuna kesi aliyowahi kuiamua Ilikuwa Against serikali.na akaaendelea kushika misimamo yake fuatilia Tabia zake..
Kama hakuwa na Viashiria vyovyote vya matukio hayo hapo.awali BHASI JIBU NAFIKIRI UNALO
Na mwenzie bichwakomweCocastic hajaiona hii taarifa