fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,977
- 22,690
NAUNGANA NA WW MKUU
Daah sema Viongozi wakosolewe kwa Lugha zenye staha na wao wanaweza kusoma na kurekebisha makosa yao hizi lugha ngumu kumeza sio kabisa Wasizwa...
nakubaliana na mtoa mkurya lakin kuna chawa mmoja anaitwa ChoiceVariable anakuja kutibua
Daah Umughaka umedata mazee...Staha ya nyooooooko!
Wenzako tumefika wewe Bado kumbe? Tunaelekea huku 👇Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Au siyo? 😁😁Na hata wao wanajua wanazingua ila wataendelea kuzingua na hakuna kitu mtawafanya, au we unacho?
Tena mnatakiwa mchakae Hadi muanze kunuka.Alipokufa Jiwe Tu Huyu Nyuma Tumepigwa Tumechakaa
Tumechezewa Sana Ndugu Zangu
Tumeonewa Mno
Mimi nitakosea kumchagua Samia Kwa sababu zifuatazoKosea Kuoa/Kuolewa Maana Mnaweza Kuachana Muda Wowote
Lakini Ukikosea Kuchagua Kwenye Uchaguzi Hadi Baadaye
YAANI MIAKA 5 Ama Afe Kwa Uwezo Wa Rabi
Daah Umughaka umedata mazee...
Great thinkers
Huo ndo ukweri wenyewe mambo yanvyoenda hapa Tanzania utadhani hakuna serikali.
1.Maji hamna
2.Umeme hamna
3.Bidhaa bei juu.
Ni aibu kuwa Raisi kama huyu analiaibisha Taifa kwa wageni na wawekezaji
Great thinkers
Huo ndo ukweri wenyewe mambo yanvyoenda hapa Tanzania utadhani hakuna serikali.
1.Maji hamna
2.Umeme hamna
3.Bidhaa bei juu.
Ni aibu kuwa Raisi kama huyu analiaibisha Taifa kwa wageni na wawekezaji