Na gharama zote zinalipwa kwa kodi dhaifu ya kwenye sukari na umeme.Watu 6! Usicheze wewe hapo yeye ana timu hake na Rostam ana timu yake hapo hamna hamna watu 100
Bora mtalii ila huyu mzururaji!!!JK ilikuwa levels nyingine, ilifika mahali kumuita mtalii
Ameshindwa kushona kitenge akaona avae kama Kamala Harris?Jk haoni ndani kwa safari za kiongozi wa awamu ya 6, naona anaratiba ya kutembelea dunia nzima kwa kutumia ndege ya abiria 150 kubeba abiria 6 ..
Utadhani nyumbani umeme upo na maji yapo..
View attachment 2903355View attachment 2903356
Ulitaka avae kitenge kwenye hilo libarafu?😎Ameshindwa kushona kitenge akaona avae kama Kamala Harris?
"Mkitaka msitake yeye ndiyo kiongozi mkuu wa nchi", ni kweli kwani hatukumchagua bali alisimikwa kama usemavyo tukitaka tusitake.Huyo ndiye Rais wa nchi hiyo cheap popularity inaingiaje?
Mkitaka msitake yeye ndiyo kiongozi mkuu wa nchi na ndiye aliyeachiwa hatamu ya uongozi, mbona aliyepita kuna miradi aliiwacha hivyo hivyo?
Tuwe na subira, kwani yeye hajatoka upinzani ni kiongozi wa CCM ileile na ilani ileile kinachotofautiana ni utendaji tu. Ukizingua unazinguliwa.
Vyeti feki vyako ni Janga la KITAIFAMATAGA mnaona haya.Mwacheni Mama afanye anavyoona, mbona hayati mlimuacha afanye alitakalo.