City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 3,837
- 4,305
Warumi alishafariki mkuu uzi upo humu JFWeeeeh! Sijawahi kuisikia hii....
Warumi alishafariki mkuu uzi upo humu JFWeeeeh! Sijawahi kuisikia hii....
Big NODkt Samia anafanya kazi kisayansi zaidi hahaha, yaani Januari na Maharage wamepelekwa honey moon later watatimuliwa kabisa kabisa! Unachezea Dkt Samia, tunawaonya wote ambao wanamdharau, moto lazima uwawaie
Rekebisha hapo hatufili tutafikatutafila kweli?
Aise hii ndiyo jfwewe acha uongo, eti tumepiga kelele sana 😳!!!
wewe na nani mlikua mnapiga kelele? na wap huko?
Nani atakaa kusikiliza makelele Yako?
Badilika wewe, una malalamiko, una maoni, dukuduku au tashwishwi wasilisha panapohusika kistaarabu.
Achana na makelele, hizo ni fujo hayupo wa kuskiza .
R.I.P warumi!!Long tym wewe mama sijakuona hapa jukwaani. Nakusalimia. Msalimie warumi.
Upendo unaoharibiwa na samiaNyerere alikaa miaka 24 madarakani, panga pangua kibao, na nini alichokifanya unachokiona leo hii Tanzania?
NashukuruChawa uko vizuri
Anajua kuna mahala kwenyebteuzi zake hakuwa sahihi. Sasa matokeo ndo yanamsutaUrais katika nchi zenye mfumo wa Jamhuri kama ilivyo Tanzania, Ufaransa, Kenya, China, Afrika ya Kusini, Uganda na nchi nyingine nyingi sana: Ni alama ya Taifa, ni alama ya Mamlaka ya Juu ya Nchi. Kwa hapa kwetu Tz, Ni mkuu wa nchi. Ni Amiri Jeshi Mkuu, Ni mkuu wa serikali. Ndio mfalme/Malkia wa nchi.
Unaweza kufanya lolote linaruhusiwa na Katiba ya Jamhuri na sheria za nchi.
Kwanini Rais ajitetee anapofanya mabadiliko?
Mwenye mamlaka ya Juu hapaswi kujitetea wala kuonyesha majuto yake.
Asubiri, akistaafu, aandike kitabu na kuonyesha majuto na kujitetea.
Mkuu wa nchi anaingizwa uchochoro wa mateja halafu badala ya kuchukua hatua kwa kudanganywa ankuja hadharani kujitetea na kuwatetea waliomdanganya!!Urais katika nchi zenye mfumo wa Jamhuri kama ilivyo Tanzania, Ufaransa, Kenya, China, Afrika ya Kusini, Uganda na nchi nyingine nyingi sana: Ni alama ya Taifa, ni alama ya Mamlaka ya Juu ya Nchi. Kwa hapa kwetu Tz, Ni mkuu wa nchi. Ni Amiri Jeshi Mkuu, Ni mkuu wa serikali. Ndio mfalme/Malkia wa nchi.
Unaweza kufanya lolote linaruhusiwa na Katiba ya Jamhuri na sheria za nchi.
Kwanini Rais ajitetee anapofanya mabadiliko?
Mwenye mamlaka ya Juu hapaswi kujitetea wala kuonyesha majuto yake.
Asubiri, akistaafu, aandike kitabu na kuonyesha majuto na kujitetea.