Wakati anamteua Doto Biteko na kumwapisha alituaminisha kwamba katoa miezi 3 tatizo la umeme likome lakini sasa ni miezi 8 imepita!

Vipi Bwawa la Rufiji lini linaanza kazi?
Vipi maji yakikauka tena mwezi 8?
Mgao umeisha au bado upo?

Mbona makampuni ya kuuza solar na generator yanaongezeka kwa kasi kuna nini?

Rais awaanbie ukweli Watanzania mafisadi ya umeme yamemshinda.
 
WanaJamiiForum, ninawasalimu sana.
Mimi ni muumini wa kuswali Ijumaa
Niwe mkweli , idadi kubwa ya watanganyika, hatujui kesho yetu na hali ya Maisha ni ngumu leo ni Bora kesho.

Wanasema twende na mama 2025 tunaenda naye wapi na kufanya nini.
 

Attachments

  • IMG-20240415-WA0005.jpg
    IMG-20240415-WA0005.jpg
    69.3 KB · Views: 2
  • VID-20240413-WA0052.mp4
    1.4 MB
Kuna sehemu nilienda hawana barabara za uhakika tangu wapate uhuru lakini wanavyokipenda chama na serikali utadhani wamerogwa. Nadhani mtu ukiteseka sana unakua engineered kuenjoy matatizo na mateso yako. Huenda​
Wale usiende mbali, nenda njia ya Banana tu kuelekea Kitunda ukaona show, kuna mahandaki kama sio nyuma tu ya Airport.

CCM OYEEEEEEEEEEEEE
 
Wanajamii forum, ninawasalimu sana.
Mimi ni muumini wa kuswali Ijumaa
Niwe mkweli , idadi kubwa ya watanganyika, hatujui kesho yetu na hali ya Maisha ni ngumu leo ni Bora kesho.
Wanasema twende na mama 2025tunaenda naye wapi na kufanya nini.
Kwenda huko wewe, uvivu na ujinga wako utakufanya ufe na njaa. Unataka nani akupe siagi?

Punguwani wahed.
 
Asubuhi yote hiii kaka? Watu tunakula katikati ya usiku na mchana.
hiyo inasogeza gurudumu mpaka jua lizame. Ni mwendo wa kukandamizia maji tu siku nzima.

Nenda Coco Beach ukaone ma brother man wanavyojifanya wana hamu na mihogo. Msela anapiga mihogo yake miwili na maji hiyo ndio ina cover asubuhi mchana mpaka jioni ndio anaenda kula tena.

Watanzania tuna maisha magumu sana.
 
hiyo inasogeza gurudumu mpaka jua lizame. Ni mwendo wa kukandamizia maji tu siku nzima.

Nenda Coco Beach ukaone ma brother man wanavyojifanya wana hamu na mihogo. Msela anapiga mihogo yake miwili na maji hiyo ndio ina cover asubuhi mchana mpaka jioni ndio anaenda kula tena.

Watanzania tuna maisha magumu sana.
Ila mtandaoni tuko vizuri na tuna mishahara ya million 5 na gari Kali pia tunachakata mbususu hatariii duh. Uongo huuu
 
Ila mtandaoni tuko vizuri na tuna mishahara ya million 5 na gari Kali pia tunachakata mbususu hatariii duh. Uongo huuu
hapo tena, kila mtu DON, wote tunaendesha Vogue. Tunaishi kwenye mabungalow.

Ila ni faraja moja wapo ya kukosa uhalisia basi hata vya kuwaza pia uvikose.
 
Back
Top Bottom