Ifike muda tuambizane ukweli hata kama hatupo tayari kwa hilo.

Samia Urais hauwezi na sio Urais hata uwaziri na cheo cha kuongoza watu kwake ni mzigo mzito.

Kama atapata bahati ya kusoma huu ujumbe au kufikishiwa huu ujumbe atambue fika kuwa Urais kwake ni zigo zito.

Sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi wa umma, siongei haya kwa sababu ya chuki yoyote bali kwa mengi nayo fahamu kuhusu viongozi wa taifa namna wanavyopaswa kuwa.

Taifa letu sasa lilipo fika sio taifa la majaribio tena limekwisha kua lina umri mkubwa halina uchanga wowote tena ni vyema viongozi wachaguliwao wakaenenda na ukubwa wa taifa letu.

Kwa wale watakaoweza kumuambia ukweli wamwambie nafasi aliyonayo ni kubwa kwake pasipo kujali maneno ya wanafiki wanaompamba.

Kwa mataifa yaliyo makini Samia alipaswa aziishi ndoto zake za kuwa muhudumu wa ndege basi ila kwenye uongozi hapana anapwaya sana.

Ni vyema ukweli kutamkwa.
Unatumia vigezo gani kusema ameshindwa? Au unataka awe anafokafoka kama Mwendazake
 
..Samia hajui maana ya 4R ndio maana utekelezaji wake ni sifuri.
Sifuri kwako mwenye akili sifuri usiyeweza kutambua mambo. Kungekuwa hakuna utekelezaji wa 4R ungeona wapi maandamano yakifanyika mabarabarani huku hakupewa ulinzi na jeshi la polisi?ungeona wapi watu wa vyama mbalimbali vya upinzani wakifanya mikutano ya hadhara majukwaani? Wakina Lissu na lema wangarejea vipi nchini na kupitia mpaka upi wakati walikuwa wamekimbia? Ungeona wapi wafungwa wenye kesi zenye mlengo wa kisiasa wakifunguliwa na kuachiwa huru baada ya kesi zao kufutwa? Ungeona wapi watu wakizungumza bila kikomo kutoa maoni yao pasipo shida? Ungeona wapi watu wakutukana hadi matusi na bado wakiwa huru na kuendelea kutamba nchini?

Nilishakwambia kuwa wewe huna akili kabisa.
 
Ifike muda tuambizane ukweli hata kama hatupo tayari kwa hilo.

Samia Urais hauwezi na sio Urais hata uwaziri na cheo cha kuongoza watu kwake ni mzigo mzito.

Kama atapata bahati ya kusoma huu ujumbe au kufikishiwa huu ujumbe atambue fika kuwa Urais kwake ni zigo zito.

Sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi wa umma, siongei haya kwa sababu ya chuki yoyote bali kwa mengi nayo fahamu kuhusu viongozi wa taifa namna wanavyopaswa kuwa.

Taifa letu sasa lilipo fika sio taifa la majaribio tena limekwisha kua lina umri mkubwa halina uchanga wowote tena ni vyema viongozi wachaguliwao wakaenenda na ukubwa wa taifa letu.

Kwa wale watakaoweza kumuambia ukweli wamwambie nafasi aliyonayo ni kubwa kwake pasipo kujali maneno ya wanafiki wanaompamba.

Kwa mataifa yaliyo makini Samia alipaswa aziishi ndoto zake za kuwa muhudumu wa ndege basi ila kwenye uongozi hapana anapwaya sana.

Ni vyema ukweli kutamkwa.
Huu ni ukweli, shida tuko tiyali?
 
Usipende kuropoka ropoka tu ilimradi uonekane umezungumza. Kwanza uwe na adabu na heshima kwa Rais Wetu.

Rais Samia Ni Kiongozi ambaye kama Afrika ingekuwa ni nchi moja basi Rais Samia angechaguliwa kwa kishindo kuwa Rais wake.anao uwezo wa kuongoza Taifa lolote lile na likapata maendeleo makubwa kama tuliyoyapata.

Ndio maana ni katika uongozi wake tumeshuhudia ukamilishwaji wa miradi mikubwa mikubwa katika Historia ya Taifa letu ,miradi hiyo ni pamoja na bwawa la mwalimu Nyerere ambalo litatupatia megawati 2115 sawa na megawati zinazozalishwa katika mabwawa mawili ya kidatu megawati 204 pamoja na mtera megawati 80.

Ni Rais Samia ameweka historia katika macho ya watanzania kushuhudia treni ya umeme ikitembea katika ardhi ya Taifa lao.

Ni Rais Samia ameweka rekodi ya kutoa Elimu bure mpaka kidato cha sita kwa kutoa billion 33 kila mwezi,huku mikopo ya elimu ya juu ikitolewa kwa kila mwanafunzi mwenye sifa.ni Rais samia amekifanya kilimo kuwa kimbilio la watu baada ya kukipa thamani na kuja na kauli mbili ya kilimo ni biashara.pamoja na kupandisha bajeti kufikia Billion mia tisa 70.
Ni Rais Samia amewafanya watumishi wa umma kufurahia utumishi wao wa umma badala ya kuona kama ni kazi ya kitumwa.hii ni baada ya kuwapandisha madaraja kwa mserereko pamoja na kuwalipa malimbikizo ya madai yao.kutoa ajira kwa maelfu ya vijana.

Kujenga vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 30 na hivyo kufanya katika Historia wanafunzi wote kuripoti shuleni kwa wakati mmoja.kujenga vituo vya afya kila kona ya nchi yetu .kutiririsha zaidi ya trilioni sita katika Secta ya Afya na hivyo kufanya huduma mbalimbali kupatikana hapa hapa nchini badala ya kupeleka wagonjwa nje ya nchi ambako wanyonge walikuwa hawawezi kumudu gharama zake.

Kutoa zaidi ya Billion 250 kama Ruzuku katika kilimo kila mwaka na hivyo kupungua kwa bei ya pembejeo hususani mbolea.,kuongeza mapato kwa mwezi bila kukimbizana wala kufungia biashara za watu.kuimarisha uchumi na kujenga uchumi shirikishi ambao unawagusa watu moja kwa moja.

Kujenga miundombinu mbalimbali ya barabara katika kufungua fursa za kiuchumi.mfano kunakwenda kujengwa barabara ya njia nne kutoka igawa mkoani Mbeya mpaka Tunduma mkoani Songwe yenye urefu wa 237.9KM ambazo zitaongeza kasi usafirishaji,kuondoa foleni pamoja na kupunguza ajali za barabarani hasa za malori kufeli breki na kwenda kugonga magari ya abiria na madogo na kusababisha ajali na vifo,maana sasa kila magari yatakuwa yanapita njia yake.

Miradi ya maji Inaendelea kutekelezwa maeneo mbalimbali nchini.

Naomba niishie hapa. Nitarejea muda siyo mrefu
We unasiweza sifia hadi kinyesi, huna akili
IMG_20240314_074536.jpg
 
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi mpa Samia kura ya ndiyo.
Uwe na adabu kwa Rais hata kama kichwa chako kimezidiwa na bangi kichwani. Nenda kafanye kazi hovyo halafu uone kitakachokukuta. Ndio maana unaona kuna wakuu wa wilaya ,mikoa ,na DED na viongozi mb wakiondolewa kwenye nafasi zao wakishindwa kutimiza majukumu yao.
 
Ifike muda tuambizane ukweli hata kama hatupo tayari kwa hilo.

Samia Urais hauwezi na sio Urais hata uwaziri na cheo cha kuongoza watu kwake ni mzigo mzito.

Kama atapata bahati ya kusoma huu ujumbe au kufikishiwa huu ujumbe atambue fika kuwa Urais kwake ni zigo zito.

Sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi wa umma, siongei haya kwa sababu ya chuki yoyote bali kwa mengi nayo fahamu kuhusu viongozi wa taifa namna wanavyopaswa kuwa.

Taifa letu sasa lilipo fika sio taifa la majaribio tena limekwisha kua lina umri mkubwa halina uchanga wowote tena ni vyema viongozi wachaguliwao wakaenenda na ukubwa wa taifa letu.

Kwa wale watakaoweza kumuambia ukweli wamwambie nafasi aliyonayo ni kubwa kwake pasipo kujali maneno ya wanafiki wanaompamba.

Kwa mataifa yaliyo makini Samia alipaswa aziishi ndoto zake za kuwa muhudumu wa ndege basi ila kwenye uongozi hapana anapwaya sana.

Ni vyema ukweli kutamkwa.
Mafi yako
 
Ifike muda tuambizane ukweli hata kama hatupo tayari kwa hilo.

Samia Urais hauwezi na sio Urais hata uwaziri na cheo cha kuongoza watu kwake ni mzigo mzito.

Kama atapata bahati ya kusoma huu ujumbe au kufikishiwa huu ujumbe atambue fika kuwa Urais kwake ni zigo zito.

Sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi wa umma, siongei haya kwa sababu ya chuki yoyote bali kwa mengi nayo fahamu kuhusu viongozi wa taifa namna wanavyopaswa kuwa.

Taifa letu sasa lilipo fika sio taifa la majaribio tena limekwisha kua lina umri mkubwa halina uchanga wowote tena ni vyema viongozi wachaguliwao wakaenenda na ukubwa wa taifa letu.

Kwa wale watakaoweza kumuambia ukweli wamwambie nafasi aliyonayo ni kubwa kwake pasipo kujali maneno ya wanafiki wanaompamba.

Kwa mataifa yaliyo makini Samia alipaswa aziishi ndoto zake za kuwa muhudumu wa ndege basi ila kwenye uongozi hapana anapwaya sana.

Ni vyema ukweli kutamkwa.
Wewe kwa akili yako ikivyo ndogo,unafikiri wqliomfikisha hapo,walikuwa na akili kama zako,zisizofanyakazi vizuri.Huwezi kufikia uongozi wa juu,popote duniani,bila walio juu yako,ambao wameshapitia ngazi hizo,na wao kuona unafaa.Wewe mleta mada hata mwenyekiti wa ukoo,hukuupata,kwasababu walio juu yako,wameshaona akili zako,hazina mashiko.
 
Usipende kuropoka ropoka tu ilimradi uonekane umezungumza. Kwanza uwe na adabu na heshima kwa Rais Wetu.

Rais Samia Ni Kiongozi ambaye kama Afrika ingekuwa ni nchi moja basi Rais Samia angechaguliwa kwa kishindo kuwa Rais wake.anao uwezo wa kuongoza Taifa lolote lile na likapata maendeleo makubwa kama tuliyoyapata.

Ndio maana ni katika uongozi wake tumeshuhudia ukamilishwaji wa miradi mikubwa mikubwa katika Historia ya Taifa letu ,miradi hiyo ni pamoja na bwawa la mwalimu Nyerere ambalo litatupatia megawati 2115 sawa na megawati zinazozalishwa katika mabwawa mawili ya kidatu megawati 204 pamoja na mtera megawati 80.

Ni Rais Samia ameweka historia katika macho ya watanzania kushuhudia treni ya umeme ikitembea katika ardhi ya Taifa lao.

Ni Rais Samia ameweka rekodi ya kutoa Elimu bure mpaka kidato cha sita kwa kutoa billion 33 kila mwezi,huku mikopo ya elimu ya juu ikitolewa kwa kila mwanafunzi mwenye sifa.ni Rais samia amekifanya kilimo kuwa kimbilio la watu baada ya kukipa thamani na kuja na kauli mbili ya kilimo ni biashara.pamoja na kupandisha bajeti kufikia Billion mia tisa 70.
Ni Rais Samia amewafanya watumishi wa umma kufurahia utumishi wao wa umma badala ya kuona kama ni kazi ya kitumwa.hii ni baada ya kuwapandisha madaraja kwa mserereko pamoja na kuwalipa malimbikizo ya madai yao.kutoa ajira kwa maelfu ya vijana.

Kujenga vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 30 na hivyo kufanya katika Historia wanafunzi wote kuripoti shuleni kwa wakati mmoja.kujenga vituo vya afya kila kona ya nchi yetu .kutiririsha zaidi ya trilioni sita katika Secta ya Afya na hivyo kufanya huduma mbalimbali kupatikana hapa hapa nchini badala ya kupeleka wagonjwa nje ya nchi ambako wanyonge walikuwa hawawezi kumudu gharama zake.

Kutoa zaidi ya Billion 250 kama Ruzuku katika kilimo kila mwaka na hivyo kupungua kwa bei ya pembejeo hususani mbolea.,kuongeza mapato kwa mwezi bila kukimbizana wala kufungia biashara za watu.kuimarisha uchumi na kujenga uchumi shirikishi ambao unawagusa watu moja kwa moja.

Kujenga miundombinu mbalimbali ya barabara katika kufungua fursa za kiuchumi.mfano kunakwenda kujengwa barabara ya njia nne kutoka igawa mkoani Mbeya mpaka Tunduma mkoani Songwe yenye urefu wa 237.9KM ambazo zitaongeza kasi usafirishaji,kuondoa foleni pamoja na kupunguza ajali za barabarani hasa za malori kufeli breki na kwenda kugonga magari ya abiria na madogo na kusababisha ajali na vifo,maana sasa kila magari yatakuwa yanapita njia yake.

Miradi ya maji Inaendelea kutekelezwa maeneo mbalimbali nchini.

Naomba niishie hapa. Nitarejea muda siyo mrefu
Ni vile ana machawa kila kona watu wa kumsifia hasa jamii forum ila ukweli hata mAchawa wenyewe wanajua hakuna kitu....... basi tu ni kazi za kuteuliwa zinawalevyaa ......ila wakikaa alone wajua HAKUNA KITU
 
Ifike muda tuambizane ukweli hata kama hatupo tayari kwa hilo.

Samia Urais hauwezi na sio Urais hata uwaziri na cheo cha kuongoza watu kwake ni mzigo mzito.

Kama atapata bahati ya kusoma huu ujumbe au kufikishiwa huu ujumbe atambue fika kuwa Urais kwake ni zigo zito.

Sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi wa umma, siongei haya kwa sababu ya chuki yoyote bali kwa mengi nayo fahamu kuhusu viongozi wa taifa namna wanavyopaswa kuwa.

Taifa letu sasa lilipo fika sio taifa la majaribio tena limekwisha kua lina umri mkubwa halina uchanga wowote tena ni vyema viongozi wachaguliwao wakaenenda na ukubwa wa taifa letu.

Kwa wale watakaoweza kumuambia ukweli wamwambie nafasi aliyonayo ni kubwa kwake pasipo kujali maneno ya wanafiki wanaompamba.

Kwa mataifa yaliyo makini Samia alipaswa aziishi ndoto zake za kuwa muhudumu wa ndege basi ila kwenye uongozi hapana anapwaya sana.

Ni vyema ukweli kutamkwa.
Nani anauweza?
 
Uwe na adabu kwa Rais hata kama kichwa chako kimezidiwa na bangi kichwani. Nenda kafanye kazi hovyo halafu uone kitakachokukuta. Ndio maana unaona kuna wakuu wa wilaya ,mikoa ,na DED na viongozi mb wakiondolewa kwenye nafasi zao wakishindwa kutimiza majukumu yao.
Huyu asikusumbue kichwa,yeye hata uenyekiti wa ukoo,hajapewa na ukoo wao.Halafu anakuja mkosoa,aliyeshika nafasi mbali mbali za kitaifa.Ni sawa na mwanamke,ambaye hajawahi kujifungua mtoto,halafu amuone aliyewahi kujifungua mtoto,na kumkosoa,kwa huko kujifungua mtoto.
 
Sifuri kwako mwenye akili sifuri usiyeweza kutambua mambo. Kungekuwa hakuna utekelezaji wa 4R ungeona wapi maandamano yakifanyika mabarabarani huku hakupewa ulinzi na jeshi la polisi?ungeona wapi watu wa vyama mbalimbali vya upinzani wakifanya mikutano ya hadhara majukwaani? Wakina Lissu na lema wangarejea vipi nchini na kupitia mpaka upi wakati walikuwa wamekimbia? Ungeona wapi wafungwa wenye kesi zenye mlengo wa kisiasa wakifunguliwa na kuachiwa huru baada ya kesi zao kufutwa? Ungeona wapi watu wakizungumza bila kikomo kutoa maoni yao pasipo shida? Ungeona wapi watu wakutukana hadi matusi na bado wakiwa huru na kuendelea kutamba nchini?

Nilishakwambia kuwa wewe huna akili kabisa.

..mwenye akili sifuri ni yule anayeamini maandamano sio haki ya kikatiba, bali ni hisani ya Samia Suluhu.
 
Usipende kuropoka ropoka tu ilimradi uonekane umezungumza. Kwanza uwe na adabu na heshima kwa Rais Wetu.

Rais Samia Ni Kiongozi ambaye kama Afrika ingekuwa ni nchi moja basi Rais Samia angechaguliwa kwa kishindo kuwa Rais wake.anao uwezo wa kuongoza Taifa lolote lile na likapata maendeleo makubwa kama tuliyoyapata.

Ndio maana ni katika uongozi wake tumeshuhudia ukamilishwaji wa miradi mikubwa mikubwa katika Historia ya Taifa letu ,miradi hiyo ni pamoja na bwawa la mwalimu Nyerere ambalo litatupatia megawati 2115 sawa na megawati zinazozalishwa katika mabwawa mawili ya kidatu megawati 204 pamoja na mtera megawati 80.

Ni Rais Samia ameweka historia katika macho ya watanzania kushuhudia treni ya umeme ikitembea katika ardhi ya Taifa lao.

Ni Rais Samia ameweka rekodi ya kutoa Elimu bure mpaka kidato cha sita kwa kutoa billion 33 kila mwezi,huku mikopo ya elimu ya juu ikitolewa kwa kila mwanafunzi mwenye sifa.ni Rais samia amekifanya kilimo kuwa kimbilio la watu baada ya kukipa thamani na kuja na kauli mbili ya kilimo ni biashara.pamoja na kupandisha bajeti kufikia Billion mia tisa 70.
Ni Rais Samia amewafanya watumishi wa umma kufurahia utumishi wao wa umma badala ya kuona kama ni kazi ya kitumwa.hii ni baada ya kuwapandisha madaraja kwa mserereko pamoja na kuwalipa malimbikizo ya madai yao.kutoa ajira kwa maelfu ya vijana.

Kujenga vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 30 na hivyo kufanya katika Historia wanafunzi wote kuripoti shuleni kwa wakati mmoja.kujenga vituo vya afya kila kona ya nchi yetu .kutiririsha zaidi ya trilioni sita katika Secta ya Afya na hivyo kufanya huduma mbalimbali kupatikana hapa hapa nchini badala ya kupeleka wagonjwa nje ya nchi ambako wanyonge walikuwa hawawezi kumudu gharama zake.

Kutoa zaidi ya Billion 250 kama Ruzuku katika kilimo kila mwaka na hivyo kupungua kwa bei ya pembejeo hususani mbolea.,kuongeza mapato kwa mwezi bila kukimbizana wala kufungia biashara za watu.kuimarisha uchumi na kujenga uchumi shirikishi ambao unawagusa watu moja kwa moja.

Kujenga miundombinu mbalimbali ya barabara katika kufungua fursa za kiuchumi.mfano kunakwenda kujengwa barabara ya njia nne kutoka igawa mkoani Mbeya mpaka Tunduma mkoani Songwe yenye urefu wa 237.9KM ambazo zitaongeza kasi usafirishaji,kuondoa foleni pamoja na kupunguza ajali za barabarani hasa za malori kufeli breki na kwenda kugonga magari ya abiria na madogo na kusababisha ajali na vifo,maana sasa kila magari yatakuwa yanapita njia yake.

Miradi ya maji Inaendelea kutekelezwa maeneo mbalimbali nchini.

Naomba niishie hapa. Nitarejea muda siyo mrefu
🚮
 
Back
Top Bottom