wote

  1. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Muda muafaka madalali wote wawe registered serikali tupate kodi yetu

    Wakati muafaka sasa hawa watu kuanzia kulipa kodi serikalini kama wanavyolipa wengine. Napendekeza serikali kuanza kutoa tangazo la wote kuwa registered. Else wasiruhusiwe kamwe kujishugulisha na uuzaji wa mali zozote.
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wana JamiiForums wote ' tuliokwazika ' na Bondia Hassan Mwakinyo ' tumsamehe ' kwani hatimaye amemuomba Radhi ' Legend ' Rashid Matumla

    Nikiwa kama Mmoja wa Watu niliochukizwa kama siyo kukasirishwa na Kitendo Bondia Mwakinyo cha Kumdhihaki Bondia mwenye Historia iliyotukuka hapa Tanzania Rashid Matumla hadi GENTAMYCINE nikaanzisha Uzi wa Kumsema ambao uliibua Hasira Kali za Watanzania zilizosambaa sehemu mbalimbali hatimaye leo...
  3. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wana JamiiForums wote ' tuliokwazika ' na Bondia Hassan Mwakinyo ' tumsamehe ' kwani hatimaye amemuomba Radhi ' Legend ' Rashid Matumlla

    Nikiwa kama Mmoja wa Watu niliochukizwa kama siyo kukasirishwa na Kitendo Bondia Mwakinyo cha Kumdhihaki Bondia mwenye Historia iliyotukuka hapa Tanzania Rashid Matumla hadi GENTAMYCINE nikaanzisha Uzi wa Kumsema ambao uliibua Hasira Kali za Watanzania zilizosambaa sehemu mbalimbali hatimaye leo...
  4. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Malezi ni jukumu letu wote, potty training si jukumu la mama peke yake

    Tena wengine wanafikiri ni jukumu la dada wa kazi.
  5. CONTROLA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa wanawake wote wanaotupenda wanaume tusio na kitu

    Kuna wanawake dunia hii wana sifa zote za kuitwa wanawake,unajua siku zote mwanamke kaumbwa kama kiumbe chenye unyenyekevu/ mpole/ mtiifu/ mkarimu nk ila shida inakuja kuna ingizo jipya sijui hawa wameumbwa na Mungu yupi kwakwe sijui. Leo mimi sina maneno mengi zaidi ya kusema Asante kwa...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Dr. Bashiru: Wale wote waliomtukana Rais Magufuli bado wana mashtaka ya kujibu mbele ya CCM, msamaha waliopata ni wa Dr Magufuli siyo CCM

    Katibu mkuu wa CCM, Dr Bashiru Ally amesema wale wote waliomtukana Mwenyekiti wa CCM, Dr. Magufuli bado wana kesi ya kujibu mbele ya kamati ya nidhamu ya chama. Dr. Bashiru amesema wale walioomba msamaha na kusamehewa walifanya hivyo kama watu binafsi na Dr. Magufuli aliwasamehe kama mzazi...
  7. K

    JamiiForums Tanzania CCM ni chama pekee Tanzania chenye kutoa fursa sawa kwa wote kuchaguliwa nafasi za uongozi, vyama vingine ni ubabaishaji tu unafanyika

    Wakati CHADEMA ikiwa inajiandaa kufanya uchaguzi wa viongozi ndani ya chama chao, wametoa orodha ya wagombea uenyekiti kanda mbalimbali za kichama. Orodha hiyo imenishangaza katika mambo mawili: la kwanza, orodha ya wagombea wote wa kanda zote 10 ni waheshimiwa kwa maana ya kwamba wana nafasi...
  8. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania "Mabeberu" na "Sokwe" ni kitu kimoja, wote wanyama!

    Serikali ya awamu ya tano, imerudisha neno beberu lililotumiwa na mwalimu wakati wa harakati za ukombozi wa Afrika. Baada ya kupata uhuru tukawaita "wakoloni" haijalishi mtu huyo alitutawala ama la. Wakoloni ni " waingereza, reno, Belgiji, Jerumani, Waarabu" MAGUFULI ameanza kuita WAZUNGU...
  9. britanicca

    JamiiForums Tanzania Wasanii wangu 20 wa Muda wote TOP 20 of all time in Tanzania

    Vigezo vyangu A. Mashairi B. Ujumbe C. Heshima ndani ya Mashairi D. kucheza na jukwaa E. Muda wa Mziki wake kudumu Hizo index mbele zimetokana na Calculator ambayo imeshusisha umri wa wasikilizaji, kukubalika, muda wake kudumu, Rate ya vyombo vya habari kumkuza mtu nje ya uhalisia. 1. Dr...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini kwenye shughuli za kisiasa Bakwata hupewa uzito kama dhehebu mfano KKKT na Katoliki wakati linawakilisha waislamu wote?

    Huwa nashangaa kwenye shughuli za serikali au vyama vya siasa Bakwata huwa na mwakilishi mmoja sawa na madhehebu mengine kama KKKT, Anglican, Katoliki, TAG na Pentecostal wakati Bakwata ni Baraza kuu la waislamu wote. Kwanini Bakwata isiwe na uwakilishi wa mashehe hata watatu ili kuleta uwiano...
  11. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Mahafali ya Chuo kikuu Dodoma; Rais Magufuli atunukiwa shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa katika Sayansi ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Shahada hiyo imetolewa na Rais Mstaafu Benjamini Mkapa katika mahafali ya 10 ya chuo hicho. ==== Rais Magufuli awasili...
  12. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Michael Bloomberg anadai katika wagombea wote wa Democrats hakuna wa kumuangusha Trump, hivyo anajitosa kupambana na Trump

    Mfanyabiashara mkubwa na mmiliki wa vyombo vya habari wa Marekani, Michael Bloomberg anasema ana nia ya kujitosa kwenye kinyang'anyiro cha kumtafuta mgombea wa Urais wa Marekani wa mwaka 2020 baada ya kuona wagombea wa Democrats akiwemo Joe Biden, Makamu wa Rais wa zamani hawana uwezo wa...
  13. Johnson Alex Otieno

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wangu kwa wagombea wote wa kata ya Makutupora

    Salaam wananchi wenzangu wa Kata ya Makutupora. Ni mara chache sana natumia jukwaa hili kueleza mambo yanayotendwa kwenye kata yetu yenye rasilimali zote muhimu kwa maendeleo ya umma wetu. Leo nitumie fursa hii kuwaeleza yale yaliyofanyika kwa kipindi hiki cha vuguvugu la uchaguzi ndani ya...
  14. mayowela

    JamiiForums Tanzania Channel 10 za You tube Tanzania za kuziangalia muda wote

    Naweza kusema kumekuwa na utitiri wa akaunti za video za YouTube kwa sasa hapa kwetu. Wengine hufanya akaunti nyingine zionekane wote ni wale wale. Kuna wale wazee wa kuweka Heading mbovu ili ukaangalie yeye anachojali apate views tu na sio maudhui. Wazee wa Usisahau kulike, kucomment na...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Hivi bado Watanzania tunajidanganya mfumo wa siasa uliopo utadumisha amani na umoja wa kitaifa?

    Amani na umoja wa Watanzania, ni sifa ambayo ilijulikana juu ya Watanzania duniani kote. Kwa miaka mingi sana Tanzania ilikuwa haitajwi na vyombo vya habari kama BBC na CNN kwa kuwa hatukuwa na habarai mbaya ambazo vyombo vya magharibi hupenda kuzitangaza juu ya nchi zinazoendelea na masikini...
  16. idawa

    JamiiForums Tanzania Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

    Waziri wa Nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza kuwaruhusu wagombea wote waliochukuwa fomu na kuzirejesha kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini Tanzania Novemba 24, 2019 wanaruhusiwa kushiriki uchaguzi huo...
  17. J

    JamiiForums Tanzania Wabunge kutumia Tabiti ( tablet) kuwasilisha au kuwasiliana ndani ya bunge badala ya kuandika kwenye karatasi, Spika agawa tabiti kwa wabunge wote

    Wabunge wote wa bunge la JMT leo wamegawiwa tabiti ( tablet) kwa ajili ya mawasiliano ndani ya bunge badala ya kuandika kwenye karatasi utaratibu ulioelezwa umepitwa na wakati. Hivyo kuanzia leo uwasilishaji wa hoja au taarifa kupitia maandishi ya kwenye makaratasi hautatumika tena. Spika...
  18. J

    JamiiForums Tanzania Waziri Jafo: Wagombea wote walioondolewa kwa kuonewa haki itatendeka na watarejeshwa kwenye uchaguzi

    Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema wagombea wote wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao wameondolewa lakini wamekata rufaa malalamiko yao yatasikilizwa na haki kutendeka na kama wameonewa basi watarejeshwa uchaguzini. Chanzo: ITV habari Hizi ni habari njema kwa wapinzani ukizingatia ukweli...
  19. Tz boy 4tino

    JamiiForums Tanzania Hii inawahusu vijana wote wa kiswahili

    1. Usimpigie mtu simu kwa zaidi ya mara mbili mfululizo. Ukishaona simu yako haipokel'ewi basi elewa kuna sababu ya msingi acha subiri akupigie pindi atakapoona ulimtafuta. 2. Rejesha pesa ulizokopa bila kusubiri kukumbushwa na aliyekukopesha. Hiyo inaonesha uadilifu wako na tabia yako. Vivyo...
  20. technically

    JamiiForums Tanzania Wazalendo wote wa nchi hii njooni uku tujibiwe haya maswali na Serikali ya Rais Magufuli

    Rais Magufuli nilikusema kuhusu miradi inayoeendelea chato kupitia uzi huu Miradi inayoendelea chato inahitaji mjadala wa kitaifa ila sikujibiwa kilichofuata ni mimi kutukanwa na wafuasi wako kwamba ni siasa. Mh Rais tuachane na hayo je miradi yako mikubwa inayotekelezwa kwa nini haina...
Back
Top Bottom