wote

  1. technically

    JamiiForums Tanzania Wazalendo wote wa nchi hii njooni uku tujibiwe haya maswali na Serikali ya Rais Magufuli

    Rais Magufuli nilikusema kuhusu miradi inayoeendelea chato kupitia uzi huu Miradi inayoendelea chato inahitaji mjadala wa kitaifa ila sikujibiwa kilichofuata ni mimi kutukanwa na wafuasi wako kwamba ni siasa. Mh Rais tuachane na hayo je miradi yako mikubwa inayotekelezwa kwa nini haina...
  2. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Ruangwa, Lindi: Wagombea wote wa vyama vya upinzani wameondolewa

    Pia taarifa kutoka Liwale Mkoa huo huo wa Lindi viongozi wote wa upinzani wanatafutwa na vyombo wa dola
  3. J

    JamiiForums Tanzania Waziri Jafo: Hakuna mtendaji kufunga ofisi leo ili watu wote waliochukua fomu waweze kuzirejesha. Hakuna uchaguzi duniani usio na figisu figisu

    Waziri wa Tamisemi mh Jafo amesema ni marufuku kwa mtendaji katika eneo lolote ndani ya JMT kufunga ofisi kabla wagombea watarajiwa hawajarejesha fomu zao labda kama mgombea huyo atakuja baada ya saa 10 kamili. Kesho na keshokutwa ofisi zitapokea mapingamizi na tarehe 7/11 rufani zitasikilizwa...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Hivi wanaokataliwa kupewa fomu za kugombea Serikali za Mitaa ni CHADEMA peke yao au wapinzani wote?

    Mwenye kujua atujuxe Tafadhali. Maana humu mitandaoni wanaolalamika ni Chadema peke yao ndio nauliza vyama vingine vya upinzani havina wagombea au wao hawafanyiwi figisu? Nilimsikia Prof Lipumba kupitia Star tv akitamba chama chake cha CUF kuibuka na ushindi wa 30%. Je, CCM hawaihofii Cuf...
  5. CONTROLA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wote ndivyo mlivyo hata mkikataa. Wanaume kuweni makini katika maamuzi yenu

    Hamna mahali popote pameandikwa mwanamke utakae zaa nae ndio unatakiwa umuoe awe mke waako wa ndoa"hakuna". Ila pia hakuna mahali pameandikwa kwamba mwanamke utakae mzalisha usimpende wala usimpe huduma zote muhimu "hakuna" Mwanaume unaweza kuwa ulishawahi kuwa na mtoto kwa mwanamke ambae si...
  6. kwamtoro

    JamiiForums Tanzania Wale wote tunaodaiwa na mitandao ya simu tukutane hapa, tupeane ushauri

    Tumekuwa tukiishi kwa wasiwasi sana hasa tukitumiwa pesa tunakimbilia kwa mawakala kama hatuna akili nzuri. mimi kidogo nime-advance, natembea na namba za wakala za kutolea pesa. Ila kuna siku nimesinzia kwenye daladala kushtuka pesa wamezilamba. Sasa nadaiwa laki nne wakinijumlishia riba yao...
  7. MsemajiUkweli

    JamiiForums Tanzania WanaCCM wote Tarime waliohamia CHADEMA na kupokelewa na Heche warudi tena CCM!

    Siku 7 zilizopita kuna thread ililetwa hapa ikitoa taarifa kuwa wanaCCM wote wa tawi la Kiterere kata ya Bumera katika jimbo la Tarime wamejiunga CHADEMA baada ya aliyekuwa kiongozi wa kijiji kwa tiketi ya CCM kukatwa jina lake katika kura za maoni ya kuchagua wagombea kwa tiketi ya CCM. Thread...
  8. Bilionea kid

    JamiiForums Tanzania REUBEN KIGAME: Mwimbaji wa gosple mkali kuliko wote Africa

    Hili halina ubishi huyu jamaa anatalanta ya kipekee sana Licha ya kuwa hana uwezo Wa kuona tangu kuzaliwa kwake (KIPOFU) Lakini anauwezo MKUBWA Wa kupiga vyombo vingi vya mziki Sauti yake ni ya kipekee na ya tofauti sana hafanani na mwanamziki yoyote yule Reuben kigame ni mkenya anaishi...
Back
Top Bottom