wote

  1. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Je, nini kifanyike kuboresha mipango miji ya Manzese? Napendekeza walipwe fidia na watimuliwe wote

    Napendekeza nyumba zote za Manzese zifanyiwe tathmini na wamiliki wake walipwe fidia ili kupisha uboreshaji wa mandhari ya jiji, ile takataka inayoitwa Manzese haivumiliki, no way!
  2. R

    JamiiForums Tanzania Mahakimu na kupata Ujaji (Baadhi, sio wote please)

    Kwa utawala huu, awamu ya tano, lazima kila mmoja ajitahidi kutimiza beuracratic competition! Kila mmoja (sio wote) anajitahidi kumfurahisha fulani hata kama kuvunja sheria/kutotoa hukumu ya haki etc! Ya Meya wa DSM ndio matokeo ya hiyo! Ya Kabendera na hakimu huyo huyo!
  3. NGUVU NDOGO NI IPI

    JamiiForums Tanzania Matokeo yule binti aliefiwa na wazazi wote(Anna Zambi)

    Salam wakuu, hivi yule binti aliepoteza wazazi na wadogo zake kwa ajali alipokua akijiandaa na mitihani ya kidato cha nne, nani anajua matokeo yake alifaulu? ==== Sent using Jamii Forums mobile app
  4. MK254

    JamiiForums Tanzania Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

    Iran imerusha makombora zaidi ya 10 ikilenga Majengo ya Marekani yaliyopo Kaskazini mwa Iraq ikiwemo Kambi ya Jeshi ya Ain al-Asad ambapo kuna Majeshi ya Marekani ikiwa ni siku chache baada ya Marekani kumuua Qassem Soleimani Chaneli ya Taifa ya Iran imesema, Jeshi la Kimapinduzi la Nchi hiyo...
  5. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Joe Kangaroo aliokolewa katika moto huko Australia

    Joe ana majeraha machache lakini amepoteza wazazi wote wawili. Sasa hivi amelazwa kwa ni mgonjwa wa kulazwa kwa daktari wa wanyama.
  6. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwanini baadhi ya wanawake hamtakiani mema?

    Kwanini wanawake anapokuja mwanamke mwezako anataka ushauri unamuangamiza kwa chuki ambazo labda wewe umepitia badala ya kumtakia heri na mawazo mazuri!
  7. Influenza

    JamiiForums Tanzania Tabora: Polisi kuanzisha msako wa wanaotaka kujinyonga na kisha kuwapeleka Mahakamani

    Kamanda wa Polisi mkoani humo, Barnabas Mwakalukwa amesema kufuatia kupokea taarifa ya watu wawili kujinyonga, mwaka huu wataanza msako kuwabaini wanaotaka kujinyonga Amewakanya wanaotegemea kujinyonga kuwa tabia hizo zikome kwani wao wataanza kufanya doria na kuwakamata kabla hawajajinyonga na...
  8. Kendrick Rama

    JamiiForums Tanzania Top 10 ya wakali wa Hip Hop Tanzania kwa muda wote

    fid q joh makini pr. Jay j moe mansuli lord eyes nikki mbishi mwana fa sugu Nash mc chindo man
  9. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae

    Verdiana Mjwahuzi (81) ambaye ni mama wa mwandishi wa habari, Erick Kabendera amemuomba Rais wa Tanzania, John Magufuli kumsamehe mwanaye. Akizungumza kwa huzuni leo Ijumaa Desemba 13, 2019 katika mkutano na waandishi wa habari, Verdiana amesema Kabendera ni mwanaye pekee anayemsaidia katika...
  10. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Nawatakia heri ya Mwaka mpya wa 2020 Viongozi, wanachama na wapenzi wote wa Chadema nchi nzima. Mungu yuko pamoja nanyi

    Hakuna haja ya maneno mengi, kichwa cha habari kinajieleza. Nimeamua kwa moyo wa dhati kabisa uliojaa upendo mkuu kuwatakieni Heri ya: Viongozi , wanachama na wapenzi wote wa Chadema ikiwa ni pamoja vyama rafiki vyote tunavyoshirikiana navyo kwenye harakati za ukombozi wa nchi yetu ...
  11. blackstarline

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa wale wote waliowahi kutendewa mema na kurudisha fadhila

    Labda ilitokea umepigika vibaya akatokea mtu akakusaidia mwishowe maisha yaka kunyokea na ukarudi kwa yule aliye kusaidia na ukamrudishia fadhila, maisha ni kusaidiana haijalishi kwa yule unaemsaidia labda hatakulipa au laa! Naamini ukimsaidia mtu kwa moyo mkunjufu haki yako haita potea. Mimi...
  12. CONTROLA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kina Kaka Kina Baba,ebu tuingie kwenye Maombi Tuwaombee wanawake wote Waliojaaliwa...

    Najua kuna wanawake humu wanakubaliana na mimi kuwa kuna wenzao wameumbwa wakaumbika,Yani engineera aliyewaumba wao hakuchakachua cement wala tofali wala nondo, Ratio na Cement na mchanga ilikua kwa kipimo sahihi. Hao wanawake wamejazana mitaani,akipita mbele yako hata kama unamuongoza mtu sala...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Sakata la utekaji: Zitto Kabwe na uelewa wako wote na wewe umeingia katika huu mtego?

    Binafsi naona yule Bwana anaedaiwa kutekwa huenda atakuwa amegusa wanasiasa na kilichomtokea huenda ni kutekeleza matakwa ya wanasiasa na ndio maana kinachoendelea katika hili sakata kwa sasa ni kama mchezo wa kuigiza kwani hata weledi wa wahusika kulishughulikia umekosokena na sasa ni full...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Waziri Jafo: Joketi ndio kiongozi anayefanya kazi vizuri kuliko Wakuu wa Wilaya wote hapa Tanzania, afungua choo

    Waziri wa TAMISEMI Mh. Jaffo amesema hatashangaa endapo mkuu wa wilaya ya Kisarawe mh Joketi atapandishwa cheo kwa sababu ndiye DC anayeongoza kwa kuchapa kazi kuliko wakuu wa wilaya wote Tanzania. Mh Jaffo amesema ameamua kuyasema hayo kwa sababu yeye siyo mnafiki kwani wanafiki wana tabia ya...
  15. MIXOLOGIST

    JamiiForums Tanzania Nawatakieni wote heri ya sikukuu za Noel (Christmas) na Mwaka Mpya

    Habari za asubuhi wakuu, Kwa niaba yangu mimi mwenyewe nawatakieni wote heri ya hizi sikukuu mbili kubwa christmas and newyear. Mungu awape yale mnayoyatamani na awafanyie wepesi katika magumu yenu. Nawasilisha.
  16. J

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Msigwa: CHADEMA ni kama treni ya abiria, siyo lazima wasafiri wote wafike mwisho wa safari, wengine hushukia vituo vya njiani

    Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa ambaye pia ni Mbunge wa Iringa Mjini amekifananisha chama chake na treni ya abiria. Msigwa ambaye alikuwa anahojiwa na mtangazaji Godfrey Monyo wa ITV aliyehoji kwanini viongozi wa Chadema wanahamahama alisema abiria wa treni siyo lazima wote wafike mwisho...
  17. ahter

    JamiiForums Tanzania Zawadi kwa wanaJamiiForums wote

    hii ni kwa wote wanaopenda mesage, na kama unao ujumbe tuma nikutengenezee ikiwa ni zawadi special. zangu mimi kwenu ni hizi
  18. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Wote hawa wana miaka 74 lakini kila mmoja sasa anafurahia maisha aliyojichagulia

  19. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa wapenda kula matunda wote, juweni kuna homa ya ini

    Katika kula tunda, kuna kuanza kwa kula denda, kulamba chumvi, kulamba dushe, na hatimae kula tunda, na katika kula tunda kuna kutoka jasho, na mwisho kabisa kuna kumwaga majimaji kwa wote wawili. Tangazo ni hili, hivi sasa kuna homa ya INI, hii huambukizwa kwa kugusana ama kuachiana majimaji...
Back
Top Bottom