Kwaresma ni kipindi kitakatifu cha kukumbuka mateso ya bwana Yesu, wakristo tunakumbushwa kumrudia Mungu huku tukitafakari kwa kina maisha yetu katika imani. Wenzetu wana mwezi wa Ramadhani sisi tuna Kwaresma.
Tuliopanga kufunga tuwe tunapeana updates na kutiana moyo. Haijalishia utafanikiwa kufunga siku ngapi.
Pia tuambie kitu gani hutafanya kabisa mwezi huu, binafsi napanga nisiguse hata chupa moja ya ulabu au pombe ya aina yoyote.
UPDATES:
Day 1 haijaenda vizuri kwangu sijui shetani amefanikiwaje kutaka kunirudisha nyuma, nimefanya vitu viwili ambavyo sikutaka kufanya, anyway bado sikati tamaa naamini nina uwezo kabisa wa kusimamia msimamo wangu ngoja niongeze maombi. Pombe sijagusa nashukuru
Tuliopanga kufunga tuwe tunapeana updates na kutiana moyo. Haijalishia utafanikiwa kufunga siku ngapi.
Pia tuambie kitu gani hutafanya kabisa mwezi huu, binafsi napanga nisiguse hata chupa moja ya ulabu au pombe ya aina yoyote.
UPDATES:
Day 1 haijaenda vizuri kwangu sijui shetani amefanikiwaje kutaka kunirudisha nyuma, nimefanya vitu viwili ambavyo sikutaka kufanya, anyway bado sikati tamaa naamini nina uwezo kabisa wa kusimamia msimamo wangu ngoja niongeze maombi. Pombe sijagusa nashukuru