technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Nunuliweni, Peweni vyeo, Pigeni propaganda zote lakini ukweli utabaki pale pale ccm sio chama tena kimepoteza dira wote mliopo ccm na mnaoelekea ccm wote ni wasaliti wa sauti ya wengi.
Tutakutana siku ya mwisho hakika mmefanikiwa kusaliti mageuzi lakini nawahakikishia wasindi ndio wale watakao baki.
Unasaliti mabadiliko unaenda kuunga mkono mauaji, utekaji uhujumu uchumi na siasa chafu za kubambikiana kesi?
Hakika hukumu yenu yaja wasaka tonge wote wasaliti wa sauti ya wengi
Bora kustaafu siasa kikaeleweka lakini sio kuwasaliti wananchi walio wengi mtalaaniwa na vizazi vyenu vyote kwa kusaliti mabadiliko.
Watu wameuwawa bila hatia sababu ya Ccm Akwilina yuko wapi? Alphonce mawazo je? wakina Ben Saanane walikuwa na hatia gani leo nikaunge juhudi za mauaji na vitisho?
Hakika sauti ya Mungu ambayo ni sauti ya wengi itawapa hukumu mbaya sana nendeni nendeni ila ukweli utabaki palepale upinzani una nguvu zaidi kipindi kama iki dunia ikiona juhudi za kuumaliza.
Tutakutana siku ya mwisho hakika mmefanikiwa kusaliti mageuzi lakini nawahakikishia wasindi ndio wale watakao baki.
Unasaliti mabadiliko unaenda kuunga mkono mauaji, utekaji uhujumu uchumi na siasa chafu za kubambikiana kesi?
Hakika hukumu yenu yaja wasaka tonge wote wasaliti wa sauti ya wengi
Bora kustaafu siasa kikaeleweka lakini sio kuwasaliti wananchi walio wengi mtalaaniwa na vizazi vyenu vyote kwa kusaliti mabadiliko.
Watu wameuwawa bila hatia sababu ya Ccm Akwilina yuko wapi? Alphonce mawazo je? wakina Ben Saanane walikuwa na hatia gani leo nikaunge juhudi za mauaji na vitisho?
Hakika sauti ya Mungu ambayo ni sauti ya wengi itawapa hukumu mbaya sana nendeni nendeni ila ukweli utabaki palepale upinzani una nguvu zaidi kipindi kama iki dunia ikiona juhudi za kuumaliza.