Mzazi makini anafanya utafiti wa kutosha kuhusu shule anayotaka kuwapeleka watoto wake.
Unaweza ukampeleka shule za umma akapamvana na unyanyapaa uliokisiri, tena usiombe ufanyiwe jeuri za kiswahili.
Sipingi watoto kupelekwa shule za umma ila kutokuwapeleka kwa kisingizio kama cha hii picha sio sawa. Kasumba ya kujivunia unyonge au umasikini ni ya kupingwa kwa kila namna. Unajisikiaje fahari kuwa masikini au mnyonge?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.