Hivi ikitokea CCM kwa hila wakanunua wapinzani wote nini kitatokea?

malisoka

JF-Expert Member
Jul 8, 2012
1,860
2,638
Ni kweli wanaweza na wameisha nunua zaidi ya nusu ya viongozi wapinzani wa Chadema, CUF, ACT nk.

Na bado wanaendelea kununua na kushawishi kwa nguvu na vitisho.

Nimejiuliza tu Ikitokea wakawapata au kuwanyamazisha wapinzania wote na kuchukua majimbo yote muhimu waliyokuwa ya Upinzania au Ikatokea wakawafunga hata kuwapoteza baadhi ya viongozi wapinzani nini kitatoakea.

Kwanza: watanunua lakini mioyo na dhamira ya watu itabaki Upinzani.

Pili: Nchi itakuwa ngumu sana kutawalika kwa amani.

Tatu: Uchumi wa nchi utaporomoka.

Nne: Kwa kuogopa vitisho, mateso . wengi watakimbilia nje ya nchi kama wakimbizi wa kisiasa kama Tundu Lissu na Roma na hapo ndhipo usalama wa taifa utakuwa matatani zaidi.

Usalama wetu upo mikononi mwa CCM. wakipenda nchi hiii itakuwa salama.

Uhuru wa mtu haununuliwe.
 
1.Watatengeneza upinzani wa ndani ambao ni mbaya zaidi kuliko wa nje.

2.Wazawa (wale kindakinda) watakuwa watumwa kwa kuwa nafasi zao zitakuwa zimechukuliwa na wageni (Xnephobia).

3.Watawakatisha tamaa waliokuwa wakikitumikia muda mrefu.

4.Chama kitakuwa hatarini kufa,ksababu walionunuliwa,wakimaliza pesa watatamani kurudi kwao,watajifunza mbinu mbalimbali na kusaidia kukihujumu chama
 
historia inaonyesha haiwezekani tena mifumi hiyo kudumu muda mrefu kwa karne hizi.
Italipuka kutokea ndani
 
Wanaizika ccm, lengo lachama kilichonamamlaka kinachoongoza nchi, nikutumikia wananchi, Sasa Kama chama kinachoongoza nchi kinapambana kuuwa mawazo mbadala yaani upinzani badala yakutumia nguvu hiyo kuimalisha uchumi wa wanchi nawatu wake kuimarisha utawala bora, amani,umoja namshikamano wa taifa ajira kwavijana kuandaa mazingira yavijana kujiajili,,nk..upinzani ni kelo zajamii unayoiongoza ukiweza kutatutua utapunguza upinzani"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli wanaweza na wameisha nunua zaidi ya nusu ya viongozi wapinzani wa Chadema, CUF, ACT nk.

Na bado wanaendelea kununua na kushawishi kwa nguvu na vitisho.

Nimejiuliza tu Ikitokea wakawapata au kuwanyamazisha wapinzania wote na kuchukua majimbo yote muhimu waliyokuwa ya Upinzania au Ikatokea wakawafunga hata kuwapoteza baadhi ya viongozi wapinzani nini kitatoakea.

Kwanza: watanunua lakini mioyo na dhamira ya watu itabaki Upinzani.

Pili: Nchi itakuwa ngumu sana kutawalika kwa amani.

Tatu: Uchumi wa nchi utaporomoka.

Nne: Kwa kuogopa vitisho, mateso . wengi watakimbilia nje ya nchi kama wakimbizi wa kisiasa kama Tundu Lissu na Roma na hapo ndhipo usalama wa taifa utakuwa matatani zaidi.

Usama wetu upo mikononi mwa CCM. wakipenda nchi hiii itakuwa salama.

Uhuru wa mtu haununuliwe.

Historia itakuja kusma haya. Cha ajabu wanaofnya haya ni Ma Dr. na Ma Prof. kwa sababu ya matumbo yao. Mabotoualihanya hivi akawa na vyama vyake vya upinzani 100+ lakini hakuweza kuua upinzani.Nyerere alfanya hivyo japo mazingira yake na sasa ni tofauti lakini hakuweza kuua upinzani. Mengi tunayo jaribu kufanya si mapaya yalifanyika duniani kabla na yalishindwa. Washangiliaji wa leo hasa wale wa maslahi/pesa ndio loosers wakubwa.
Wenye akili waangalie miongoni wa walioumia mpaka sasa ni wale waliokuwa wanajiona kuwa wako salama ziadi kuliko wa TZ wengine wakasaidia kuunda mfumo sasa wanakiona kuliko watu wa kawaida. Tusubiri.

Vyote vinavyofanyika kwa jinala maendeleokwa sasa si utashi wa watawala ilani hofu navinaweza kutasrika baadaye kama short term solution/ au Panadol ili kuruhusu muda wa kufanyika mambo fulani very poisonous.
 
Kwanza si kweli kwamba wamefikia 50% kwenye manunuzi,walionunuliwa hawafiki hata asilimia 10% ya viongozi!

Viongozi hutokana na wanachama,hata wakinunuliwa hao wote unaowajua bado tutachaguana viongozi wapya kutoka kwenye wanachama!
 
Nchi zetu hizi hazijajengwa kwa kufuata mfumo wa vyama vingi. Nchi hii itakuwa na amani sana iwapo CCM itatawala peke yake.
 
Ni kweli wanaweza na wameisha nunua zaidi ya nusu ya viongozi wapinzani wa Chadema, CUF, ACT nk.

Na bado wanaendelea kununua na kushawishi kwa nguvu na vitisho.

Nimejiuliza tu Ikitokea wakawapata au kuwanyamazisha wapinzania wote na kuchukua majimbo yote muhimu waliyokuwa ya Upinzania au Ikatokea wakawafunga hata kuwapoteza baadhi ya viongozi wapinzani nini kitatoakea.

Kwanza: watanunua lakini mioyo na dhamira ya watu itabaki Upinzani.

Pili: Nchi itakuwa ngumu sana kutawalika kwa amani.

Tatu: Uchumi wa nchi utaporomoka.

Nne: Kwa kuogopa vitisho, mateso . wengi watakimbilia nje ya nchi kama wakimbizi wa kisiasa kama Tundu Lissu na Roma na hapo ndhipo usalama wa taifa utakuwa matatani zaidi.

Usalama wetu upo mikononi mwa CCM. wakipenda nchi hiii itakuwa salama.

Uhuru wa mtu haununuliwe.
nchi itakuwa imerudi kuwa chini ya ukoloni (mkoloni mweusi). rasmi Tanzania itaingia kwenye mapambano ya kudai uhuru (ambayo kwa nature yake ni makubwa na hatari kwa pande zote kuliko mapambano ya kudai demokrasia). gharama yake itakuwa kubwa mnoo kuliko hata ile waliyoiingia kina mwl JKN na wapigania uhuru wenziwe.

ningekuwa mimi ni kiongozi mkuu wa CCM ningetumia hekima ndogo tu ya kuyaacha magugu yaote na kukua pamoja na ngano - kama maandiko matakatifu yanavyonena!
 
Ni kweli wanaweza na wameisha nunua zaidi ya nusu ya viongozi wapinzani wa Chadema, CUF, ACT nk.

Na bado wanaendelea kununua na kushawishi kwa nguvu na vitisho.

Nimejiuliza tu Ikitokea wakawapata au kuwanyamazisha wapinzania wote na kuchukua majimbo yote muhimu waliyokuwa ya Upinzania au Ikatokea wakawafunga hata kuwapoteza baadhi ya viongozi wapinzani nini kitatoakea.

Kwanza: watanunua lakini mioyo na dhamira ya watu itabaki Upinzani.

Pili: Nchi itakuwa ngumu sana kutawalika kwa amani.

Tatu: Uchumi wa nchi utaporomoka.

Nne: Kwa kuogopa vitisho, mateso . wengi watakimbilia nje ya nchi kama wakimbizi wa kisiasa kama Tundu Lissu na Roma na hapo ndhipo usalama wa taifa utakuwa matatani zaidi.

Usalama wetu upo mikononi mwa CCM. wakipenda nchi hiii itakuwa salama.

Uhuru wa mtu haununuliwe.
Upinzani ni muhimu kwa CHECK AND BALANCES; kuna changamoto nyingi sasa hivi hazina mtu wa kuzisemea na nyingine zina matokeo hasi kwa uchumi wetu mfano utozaji kodi usioendana na uhalisia wa biashara au mtaji wa mtu.
 
Ni kweli wanaweza na wameisha nunua zaidi ya nusu ya viongozi wapinzani wa Chadema, CUF, ACT nk.

Na bado wanaendelea kununua na kushawishi kwa nguvu na vitisho.

Nimejiuliza tu Ikitokea wakawapata au kuwanyamazisha wapinzania wote na kuchukua majimbo yote muhimu waliyokuwa ya Upinzania au Ikatokea wakawafunga hata kuwapoteza baadhi ya viongozi wapinzani nini kitatoakea.

Kwanza: watanunua lakini mioyo na dhamira ya watu itabaki Upinzani.

Pili: Nchi itakuwa ngumu sana kutawalika kwa amani.

Tatu: Uchumi wa nchi utaporomoka.

Nne: Kwa kuogopa vitisho, mateso . wengi watakimbilia nje ya nchi kama wakimbizi wa kisiasa kama Tundu Lissu na Roma na hapo ndhipo usalama wa taifa utakuwa matatani zaidi.

Usalama wetu upo mikononi mwa CCM. wakipenda nchi hiii itakuwa salama.

Uhuru wa mtu haununuliwe.
UPINZANI wenyewe hawajielewi wamevurugana kwenye vyama vyao ndo maana wana hama sina hakika kama CCM ndo huwanunua
 
Ni kweli wanaweza na wameisha nunua zaidi ya nusu ya viongozi wapinzani wa Chadema, CUF, ACT nk.

Na bado wanaendelea kununua na kushawishi kwa nguvu na vitisho.

Nimejiuliza tu Ikitokea wakawapata au kuwanyamazisha wapinzania wote na kuchukua majimbo yote muhimu waliyokuwa ya Upinzania au Ikatokea wakawafunga hata kuwapoteza baadhi ya viongozi wapinzani nini kitatoakea.

Kwanza: watanunua lakini mioyo na dhamira ya watu itabaki Upinzani.

Pili: Nchi itakuwa ngumu sana kutawalika kwa amani.

Tatu: Uchumi wa nchi utaporomoka.

Nne: Kwa kuogopa vitisho, mateso . wengi watakimbilia nje ya nchi kama wakimbizi wa kisiasa kama Tundu Lissu na Roma na hapo ndhipo usalama wa taifa utakuwa matatani zaidi.

Usalama wetu upo mikononi mwa CCM. wakipenda nchi hiii itakuwa salama.

Uhuru wa mtu haununuliwe.

Attempts za mapinduzi ya kijeshi yamefanyika mara nne kipindi cha chama kimoja

Rais wa kwanza kanusurika kuuawa almost 20 times, japo known ni kama 9 times
 
Ni kweli wanaweza na wameisha nunua zaidi ya nusu ya viongozi wapinzani wa Chadema, CUF, ACT nk.

Na bado wanaendelea kununua na kushawishi kwa nguvu na vitisho.

Nimejiuliza tu Ikitokea wakawapata au kuwanyamazisha wapinzania wote na kuchukua majimbo yote muhimu waliyokuwa ya Upinzania au Ikatokea wakawafunga hata kuwapoteza baadhi ya viongozi wapinzani nini kitatoakea.

Kwanza: watanunua lakini mioyo na dhamira ya watu itabaki Upinzani.

Pili: Nchi itakuwa ngumu sana kutawalika kwa amani.

Tatu: Uchumi wa nchi utaporomoka.

Nne: Kwa kuogopa vitisho, mateso . wengi watakimbilia nje ya nchi kama wakimbizi wa kisiasa kama Tundu Lissu na Roma na hapo ndhipo usalama wa taifa utakuwa matatani zaidi.

Usalama wetu upo mikononi mwa CCM. wakipenda nchi hiii itakuwa salama.

Uhuru wa mtu haununuliwe.
CCM wanatia huruma, wale wenye uwezo wa kujenga hoja wameshaisha, kwa sasa mbinu wanatumia kuzima mashambulizi ya upinzani ni kuwapiga pin kila kona.hakuna kukutana hakuna kuongea....ukijidai kutoa mdomo basi kesi ya uchochezi nakuhusu unahangaika nayo.na wale wanaonekana wenye matumbo yenye njaa kali basi wanafanyiwa procurement....yaani kupewa ugali..wanashiba wanatulia.
 
Back
Top Bottom