The Syrian Arab News Agency (SANA) (Arabic: الوكالة العربية السورية للأنباء (سانا), al-Wakālah al-ʿArabīyah as-Sūrīyah lil-ʾAnbāʾ (SĀNĀ)) is a Syrian state-controlled news agency. It is a Syrian state media organization linked to the Ministry of Information. It was established in June 1965.
The United States has been holding parallel discussions with Moscow, Kyiv and European leaders, reviewing multiple draft frameworks aimed at ending the war. Despite repeated assurances from Trump that an agreement was within reach, a final dea
Habari wanaJF,
Hebu niulize swali la msingi kwa wamiiki wa biashara👇
Ukiwa nyumbani, safarini au nje ya nchi—unaweza kuona hali halisi ya biashara yako sasa hivi?
Kama jibu ni hapana, basi biashara yako inaendeshwa kwa bahati, sio kwa taarifa.
Kuna ukweli mchungu ambao wafanyabiashara wengi...
Mkoa ulikuwa na Airport ikafa
Mkoa ulikuwa na Bandari haipo tena
Mkoa ulikuwa na shule nzuri lakini zimebaki stori
Mkoa ulikuwa na Viwanda vingi vya nguo, samaki, n.k. vimekufa
Ni mkoa ambao hauna hata stendi
Mkoa hauna chuo, tunasikiaga tu kipo kinachojengwa miaka mingi sasa
Lawama hawawezi...
Aliyekuwa Mbunge wa Nkasi Kaskazini kupitia CHADEMA, Aida Kenan asema kama vya vyama vya upinzani havitakiwi nchini ni bora kuvifuta vyote ili watu wasiendelee kuuawa na kuumizwa na kibaki chama tawala tu.
matairi ya malori yapo brand mbalimbali
kuna size zote na brand zetu ni
semes/ aurunze/ sky base/oben na gft
pia kuna paten ya diff/mixer/high way/ na nyinginezo
na tunauza kwa bei ya jumla na rejareja tupo tazara opposite na sigara
jengo la five star complex
tell:0691254107
Wakuu,
Naomba wataalamu msisaidie,siku hizi imekuwa adimu sana kuwaona vipepeo kirahisi tofauti na hapo zamani.
Nataka niwavutie vipepeo shambani au kama kuna uwezekano wa kununua mbegu mahali nikawafuga ili kuongeza idadi yao, Je kuna mahali naweza kupata ili niwafuge au nitumie njia gani...
Hawa Morocco huwa wao wapo Kimakosa Afrika. Wanadharau sana na kutuona sisi ndugu zao si wa maana. Jana waliumia sana. Senegal kwa kweli Mungu wetu amewasimamia vyema kabisa.
Ile dharau ambayo tungeipata sisi? Mungu tu ndo anajua. Najua sisi Waarabu wa Mchambawimba, Makunduuchi hatujapendezwa...
Mimi sishabikii ukabila lakini hili la wagogo wa Dodoma limenishangaza.
Eti Chatu ni nyoka wa mvua na haupaswi kumuua hata kukimkuta ndani mwako.
Kenge, ni kiumbe wa mavuno na ukimuua basi wagogo watakuala sahani moja nawewe.
Pimbi, ni kiumbe wa mitishamba hivyo kuharibu kumfhuru ni kutaka...
Basi ikifika segimenti ya Bonge utasikia ka Brabra Boonji...then wanataniana hapo aah uendaji kazini unakuwa muruua kabisa hata foleni huioni!!! Gone are the good days!
Nimepata muda wa kuperuse matokeo ya form 2 NECTA latest results, nimeona watoto wote wa Kemebos wakiwa na Division 1 Point 7.
Daaah niwape hongera kubwa waalimu wa hii shule kama hakuna janja janja kwenye ufanyaji wa mitihani. Hata matokeo ya form 4 mtoto aliyefeli sana alipata Division One ya...
Nimesikiliza video ya dada Mmoja anajiita Lucy Michael mkazi wa Yombo Dovya Kata ya Makangarawe, anajitambulisha kuwa yeye ni Mkatoliki akimtuhumu Padri Kitima kwa kujihusisha na siasa, kilichonishangaza huyu Dada Mkatoliki anamuita Padri Kitima kuwa ni Askofu, hapa imebidi nijiulize yaani Padri...
yaani haina haja ya kuwalaumu watu wanaofanya illegal activities kujipatia pesa as long hawaumizi mtu.
UKizaliwa familia maskini..kufanikiwa kimaisha ni mtihani sana sana
Kama ilivyo desturi kisalimia. Nimesalimia.
Inanishangaza kufuatia vifo vya wanasiasa kuanzia oct 29. ukifuatilia utakuta wananchi wanashukuru. Hii ni hatari sana.
Na nadhani siasa inakwenda kuwa kazi ya ajabu sana maana wanasisa watakuwa wanajificha. Sasa kama mwanasiasa anajua kabisa akifa...
Hawa walimu Kuna mda huwa nawaza ni binadamu wenzetu kweli? Kuna vitu wanavifanya utafikiri hawajasoma vile. Wanakopa too much mpaka wanaacha kadi kwenye vitaasisi vya mikopo kama bayport na plutnum credit.
Nipo apa duka moja la mangi ananiambia walimu wote wa shule jirani huwa wanaenda kukopa...
Siku chache baada ya mahabusu Michael Rambau (18), kudaiwa kujinyonga ndani ya Kituo Cha Polisi Kati-Moshi, mkoani Kilimanjaro, waombolezaji waliokuwa wamekusanyika leo nyumbani kwa wazazi wa marehemu huko Rau, Manispaa ya Moshi ili kushiriki ibada ya maziko yake, wanadaiwa kumfukuza na kumzomea...
Kumekuwepo na machafuko na matatizo mengi sana hapa Afrika lakini nchi nyingi na hata vyombo vya habari vya kimataifa havitupi attention tunayostahili kwa scale ya matatizo tuliyonayo.
Lakini waafrika tumekuwa na shobo sana kwa matatizo yanayotokea ncho za nje, Kinachoendelea Uganda muda huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.