Humu watu wanahamu sana ya kunfasex

Humu watu wanahamu sana ya kunfasex

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
5,181
Reaction score
9,796
Watu wa humu mpo .?

Humu wengi sana mnaonekana mnahamu ya mapenzi na wapenzi wenyewe hamna wanaoeleweka .

Kama huna je upo tayari kulea au kuishi maisha ya kawaida upewe watoto wa elfu mbili wakuoe wakupige mashine mpaka uache kuja huku kujiabisha .

Au tukupe mchongo wa kwenda kwa siri nyumba za mapadri ukapewe mimba ulee.

Hii ni kwa wanawake wanaopost post za kujiabisha humu .

Kwa wanaume mtu anatoa post eti mashine yake haifanyi kazi nakama ukikuta mtu mashine haifanyi kazi mnafanyaje .??
Shame on you huku watu wamemove on acheni kujiabisha .

Yaani tokea uingie humu hujawahi pata hata wakujitolea, kama mtu anauwezo wakutangaza alivyo mpweke atapata lini mtu serious .

Wengi ambao mashine zao hazifanyi kazi sio hao waliacha condoms zao kila mahali wakafungiwa au nimashoga au hawana nguvu zakiume .

Shida sana haya maisha kama asubuhi mchana ni unawaza ngono hata jini mahaba watakimbia masaa yote wewe ngono tu.

ZAmani kuna aina ya misemo na post za kuvutia hata kuchangia sasa hivi ni kutakana tu na mwisho wasiku hakuna maendeleo .

Nipovu tu ........
Mtu akitoa post hata iwe ya mapenzi iwe ya heshima sio aonyeshe anahitaji mtu wa kudo something haileti picha nzuri . Nenda na codes kwanza hatuonani ...
 
Watu wa humu mpo .?
Humu wengi sana mnaonekana mnahamu ya mapenzi na wapenzi wenyewe hamna wanaoeleweka .

Kama huna je upo tayari kulea au kuishi maisha ya kawaida upewe watoto wa elfu mbili wakuoe wakupige mashine mpaka uache kuja huku kujiabisha .

Au tukupe mchongo wa kwenda kwa siri nyumba za mapadri ukapewe mimba ulee.

Hii ni kwa wanawake wanaopost post za kujiabisha humu .

Kwa wanaume mtu anatoa post eti mashine yake haifanyi kazi nakama ukikuta mtu mashine haifanyi kazi mnafanyaje .??
Shame on you huku watu wamemove on acheni kujiabisha .

Yaani tokea uingie humu hujawahi pata hata wakujitolea, kama mtu anauwezo wakutangaza alivyo mpweke atapata lini mtu serious .

Wengi ambao mashine zao hazifanyi kazi sio hao waliacha condoms zao kila mahali wakafungiwa au nimashoga au hawana nguvu zakiume .

Shida sana haya maisha kama asubuhi mchana ni unawaza ngono hata jini mahaba watakimbia masaa yote wewe ngono tu.

ZAmani kuna aina ya misemo na post za kuvutia hata kuchangia sasa hivi ni kutakana tu na mwisho wasiku hakuna maendeleo .

Nipovu tu ........
Mtu akitoa post hata iwe ya mapenzi iwe ya heshima sio aonyeshe anahitaji mtu wa kudo something haileti picha nzuri . Nenda na codes kwanza hatuonani ...

Au tukupe mchongo wa kwenda kwa siri nyumba za mapadri ukapewe mimba ulee.

Hii nilikuwa sijui kupe wale mafala wanatomba😲😲😲😲
 
Huu mtandao unaongoza kwa kuwa na wadada wabovu kuliko mtandao wowote, hata mkikubaliana, unatakiwa kukaa mbali unamchora kabla hajafika maeneo
Dili ni kumkwepa mapema msifike point ya kuonana, imagine ukutane na mdada ambae hata katika mazingira ya kawaida sio vitu vyako kabisa unakuta kavaaa kama Ndalichako.
 
IMG-20260606-WA0010.jpg
 
Waacheni vijana waseme ya moyoni huku kwenye ID fiche.

Hawana pa kusemea iwe fb, insta wala kokote. Kwa nini wasiwe free huku kurelease stress zao? Iwe ujinga, iwe mambo ya maana let them. Kila mmoja hapa ana akili ya kuchambua jema na baya

Do a physical meeting at your own risk.
 
Watu wa humu mpo .?

Humu wengi sana mnaonekana mnahamu ya mapenzi na wapenzi wenyewe hamna wanaoeleweka .

Kama huna je upo tayari kulea au kuishi maisha ya kawaida upewe watoto wa elfu mbili wakuoe wakupige mashine mpaka uache kuja huku kujiabisha .

Au tukupe mchongo wa kwenda kwa siri nyumba za mapadri ukapewe mimba ulee.

Hii ni kwa wanawake wanaopost post za kujiabisha humu .

Kwa wanaume mtu anatoa post eti mashine yake haifanyi kazi nakama ukikuta mtu mashine haifanyi kazi mnafanyaje .??
Shame on you huku watu wamemove on acheni kujiabisha .

Yaani tokea uingie humu hujawahi pata hata wakujitolea, kama mtu anauwezo wakutangaza alivyo mpweke atapata lini mtu serious .

Wengi ambao mashine zao hazifanyi kazi sio hao waliacha condoms zao kila mahali wakafungiwa au nimashoga au hawana nguvu zakiume .

Shida sana haya maisha kama asubuhi mchana ni unawaza ngono hata jini mahaba watakimbia masaa yote wewe ngono tu.

ZAmani kuna aina ya misemo na post za kuvutia hata kuchangia sasa hivi ni kutakana tu na mwisho wasiku hakuna maendeleo .

Nipovu tu ........
Mtu akitoa post hata iwe ya mapenzi iwe ya heshima sio aonyeshe anahitaji mtu wa kudo something haileti picha nzuri . Nenda na codes kwanza hatuonani ...
2170c6df-6e43-4ae4-ae5f-6a161e10b280.jpeg
 
Shida sana haya maisha kama asubuhi mchana ni unawaza ngono hata jini mahaba watakimbia masaa yote wewe ngono tu.

ZAmani kuna aina ya misemo na post za kuvutia hata kuchangia sasa hivi ni kutakana tu na mwisho wasiku hakuna maendeleo .
Kesho Kanisani
Fungua bible usome mistari
Mathayo 12:43-45
 
Back
Top Bottom