SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 5,181
- 9,796
Watu wa humu mpo .?
Humu wengi sana mnaonekana mnahamu ya mapenzi na wapenzi wenyewe hamna wanaoeleweka .
Kama huna je upo tayari kulea au kuishi maisha ya kawaida upewe watoto wa elfu mbili wakuoe wakupige mashine mpaka uache kuja huku kujiabisha .
Au tukupe mchongo wa kwenda kwa siri nyumba za mapadri ukapewe mimba ulee.
Hii ni kwa wanawake wanaopost post za kujiabisha humu .
Kwa wanaume mtu anatoa post eti mashine yake haifanyi kazi nakama ukikuta mtu mashine haifanyi kazi mnafanyaje .??
Shame on you huku watu wamemove on acheni kujiabisha .
Yaani tokea uingie humu hujawahi pata hata wakujitolea, kama mtu anauwezo wakutangaza alivyo mpweke atapata lini mtu serious .
Wengi ambao mashine zao hazifanyi kazi sio hao waliacha condoms zao kila mahali wakafungiwa au nimashoga au hawana nguvu zakiume .
Shida sana haya maisha kama asubuhi mchana ni unawaza ngono hata jini mahaba watakimbia masaa yote wewe ngono tu.
ZAmani kuna aina ya misemo na post za kuvutia hata kuchangia sasa hivi ni kutakana tu na mwisho wasiku hakuna maendeleo .
Nipovu tu ........
Mtu akitoa post hata iwe ya mapenzi iwe ya heshima sio aonyeshe anahitaji mtu wa kudo something haileti picha nzuri . Nenda na codes kwanza hatuonani ...
Humu wengi sana mnaonekana mnahamu ya mapenzi na wapenzi wenyewe hamna wanaoeleweka .
Kama huna je upo tayari kulea au kuishi maisha ya kawaida upewe watoto wa elfu mbili wakuoe wakupige mashine mpaka uache kuja huku kujiabisha .
Au tukupe mchongo wa kwenda kwa siri nyumba za mapadri ukapewe mimba ulee.
Hii ni kwa wanawake wanaopost post za kujiabisha humu .
Kwa wanaume mtu anatoa post eti mashine yake haifanyi kazi nakama ukikuta mtu mashine haifanyi kazi mnafanyaje .??
Shame on you huku watu wamemove on acheni kujiabisha .
Yaani tokea uingie humu hujawahi pata hata wakujitolea, kama mtu anauwezo wakutangaza alivyo mpweke atapata lini mtu serious .
Wengi ambao mashine zao hazifanyi kazi sio hao waliacha condoms zao kila mahali wakafungiwa au nimashoga au hawana nguvu zakiume .
Shida sana haya maisha kama asubuhi mchana ni unawaza ngono hata jini mahaba watakimbia masaa yote wewe ngono tu.
ZAmani kuna aina ya misemo na post za kuvutia hata kuchangia sasa hivi ni kutakana tu na mwisho wasiku hakuna maendeleo .
Nipovu tu ........
Mtu akitoa post hata iwe ya mapenzi iwe ya heshima sio aonyeshe anahitaji mtu wa kudo something haileti picha nzuri . Nenda na codes kwanza hatuonani ...