Mpemba aliwahi kuniuliza "unajua kwanini Uislam umeshikilia sana Uarabuni na Africa" akasema "kwa sababu waafrika na waarabu wanaongozwa na mihemuko"

Mpemba aliwahi kuniuliza "unajua kwanini Uislam umeshikilia sana Uarabuni na Africa" akasema "kwa sababu waafrika na waarabu wanaongozwa na mihemuko"

Top Gun

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2024
Posts
214
Reaction score
679
This was 2019,

Tariq aliniambia kiuhalisia yote aliyofundishwa na yote aliojifunza mwenyewe haya hitaji uwe na fikra pevu na yenye mantiki ili yakukae utaishia kuyakimbia na malipo yake kutengwa kwa hio itakubidi uwe umejazwa hisia na muziki wa mambo ya kufikirika ndio uendane nayo.
 
Sema waarabu naona kama wantemana nao mdogo mdogo nchi kama UAE, Kuwait, Bahrain naona hawana Sheria Kali za uislam tena kama zamani, hata Saudia naona wanaruhusu mpira na pombe siku hizi...Waafeica sijui
 
Wewe kama mwafrika kwahiyo ulichoandika hapa ni mihemko imekuongoza sio!.
 
This was 2019,

tariq aliniambia kiuhalisia yote aliyofundishwa na yote aliojifunza mwenyewe haya hitaji uwe na fikra pevu na yenye mantiki ili yakukae utaishia kuyakimbia na malipo yake kutengwa kwa hio itakubidi uwe umejazwa hisia na muziki wa mambo ya kufikirika ndio uendane nayo.
Mataifa yote ya kiarabu yaliyoachana uislam wa siasa kali kama vile Saudi, Bahrain, Dubai, Kuwait na mengine yana maendeleo makubwa sasa lakini akina Afganistani, Pakistani, etc mambo yao magumu.
 
Back
Top Bottom