Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,859
- 16,256
Mchungaji Msigwa aliyekuwa mbunge wa Iringa Mjini kupitia Chadema kwa miaka 10 (2010/20), alijiunga na CCM Juni 30, 2024 kabla ya kutangaza kurejea rasmi Chadema Mei 23, 2026 amesema; "Mimi sikujua kwamba watu walikuwa wamekasirishwa sana na kitendo cha mimi kuhama kutoka Chadema kwenda CCM. Sikuwahi kujua. Nimejua hizi siku chache zilizopita. zamani nikiingia kwenye ndege watu wako kimya, mtakutana wawili kwenye kiti mtu anapunia mkono, 'Salamu,' mnakaa."