Chunga sana mtu asilie kwa ajili yako

Chunga sana mtu asilie kwa ajili yako

Alexido jz instagram

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2026
Posts
2,265
Reaction score
5,459
Sio mapenzi, sio pesa sio Nini, jitahidi sana chozi la mtu lisidondoke wewe ukiwa chanzo.

Una umiza hisia za mtu au watu, unajitapa we bingwa wa kuumiza watu kwenye mapenzi, una dhutumu una ibia watu una ua watu wanao tegemewa na familia zao, kisa pesa au kisa uonekane mzuri sana.

Una kutana na Mzee, anateseka sana unajiuliza huyu ujana wake alitumiaje, huyu mshikaji vipi, huyu ye kulia kila siku, shida haziishi, unakutana na mwanamke ye ni kuhangaika hasaidiki, madeni yeye, maradhi yeye unajiuliza shida Nini, baba, mama Kuna machozi ya watu huko nyuma, huwezi solve, tulia.

WHAT GOES AROUND, COMES AROUND.
 

Attachments

  • Screenshot_20260604-072259~3.jpg
    Screenshot_20260604-072259~3.jpg
    16.9 KB · Views: 8
  • Screenshot_20260604-072259.jpg
    Screenshot_20260604-072259.jpg
    23.9 KB · Views: 10
  • Screenshot_20260604-072250.jpg
    Screenshot_20260604-072250.jpg
    39.3 KB · Views: 8
Sio mapenzi, sio pesa sio Nini, jitahidi sana chozi la mtu lisidondoke wewe ukiwa chanzo.

Una umiza hisia za mtu au watu, unajitapa we bingwa wa kuumiza watu kwenye mapenzi, una dhutumu una ibia watu una ua watu wanao tegemewa na familia zao, kisa pesa au kisa uonekane mzuri sana.

Una kutana na Mzee, anateseka sana unajiuliza huyu ujana wake alitumiaje, huyu mshikaji vipi, huyu ye kulia kila siku, shida haziishi, unakutana na mwanamke ye ni kuhangaika hasaidiki, madeni yeye, maradhi yeye unajiuliza shida Nini, baba, mama Kuna machozi ya watu huko nyuma, huwezi solve, tulia.

WHAT GOES AROUND, COMES AROUND.
Kuishi kwa tahadhari na kuchunga sana usije ukawa chanzo cha machozi ya mtu mwingine ni miongoni mwa siri kubwa za heri hapa duniani.

Matendo yetu yanapomliza mtu asiye na hatia, tunajiweka kwenye hatari ya kukabiliwa na malipizi makali ya kidunia, ambapo ulimwengu hufanya kazi kama kioo..
kile ulichokipanda kwa wengine ndicho utakachovuna, na mara nyingi maumivu uliyosababisha hukurudia kwa namna na wakati usiotarajia.

Kiroho, kilio cha mtu aliyedhulumiwa au kuumizwa hupaa moja kwa moja hadi kwa Muumba, na kubeba uzito wa laana au kifungo cha kiroho kinachoweza kufunga milango yako ya baraka, amani, na mafanikio.

Hakuna mafanikio au furaha inayoweza kustawi ikiwa imejengwa juu ya msingi wa mateso na machozi ya nafsi nyingine, kwani malipo ya uonevu hayadanganyi, iwe ni hapa duniani kupitia majanga na upweke, au kiroho kupitia hukumu na kukosa amani ya nafsi.
 
Kuishi kwa tahadhari na kuchunga sana usije ukawa chanzo cha machozi ya mtu mwingine ni miongoni mwa siri kubwa za heri hapa duniani.

Matendo yetu yanapomliza mtu asiye na hatia, tunajiweka kwenye hatari ya kukabiliwa na malipizi makali ya kidunia, ambapo ulimwengu hufanya kazi kama kioo..
kile ulichokipanda kwa wengine ndicho utakachovuna, na mara nyingi maumivu uliyosababisha hukurudia kwa namna na wakati usiotarajia.

Kiroho, kilio cha mtu aliyedhulumiwa au kuumizwa hupaa moja kwa moja hadi kwa Muumba, na kubeba uzito wa laana au kifungo cha kiroho kinachoweza kufunga milango yako ya baraka, amani, na mafanikio.

Hakuna mafanikio au furaha inayoweza kustawi ikiwa imejengwa juu ya msingi wa mateso na machozi ya nafsi nyingine, kwani malipo ya uonevu hayadanganyi, iwe ni hapa duniani kupitia majanga na upweke, au kiroho kupitia hukumu na kukosa amani ya nafsi.
Kuna jamaa aliniambia, malipo duniani mbinguni hesabu
 
Hamna lolote... Mbona tunalia mara kwa mara kuhusu viongozi waovu lakini ndio kwanza wanatusua huku sisi tukizidi kunyauka?

Kinachotakia ni wewe unaelia uchukue hatua za kuvitendo katika kuweka mambo sawa ili kilichokuliza kisikulize tena.

Bila hatua za kuvitendo waliokuliza watakuliza tena au kukuua kabisa 🤣🤣🤣
 
Sio mapenzi, sio pesa sio Nini, jitahidi sana chozi la mtu lisidondoke wewe ukiwa chanzo.

Una umiza hisia za mtu au watu, unajitapa we bingwa wa kuumiza watu kwenye mapenzi, una dhutumu una ibia watu una ua watu wanao tegemewa na familia zao, kisa pesa au kisa uonekane mzuri sana.

Una kutana na Mzee, anateseka sana unajiuliza huyu ujana wake alitumiaje, huyu mshikaji vipi, huyu ye kulia kila siku, shida haziishi, unakutana na mwanamke ye ni kuhangaika hasaidiki, madeni yeye, maradhi yeye unajiuliza shida Nini, baba, mama Kuna machozi ya watu huko nyuma, huwezi solve, tulia.

WHAT GOES AROUND, COMES AROUND.
Mtu anachukua hati zako za nyumba anadai,mlijenga wote!Kulia lazima!
 
Ila Maisha Bwn wajanja wametulia tulii wanaenjoy energy za ulimwengu huku wengne si 2mepewa limatrix la ovyo tupambane nalo. its like mama anampa toy mtoto achezee ye aendelee na shughuli nyngne kwa amani. kwa muktadha huo mtoa mada nakupinga. prosperity au suffering za m2 ni matokeo ya machaguo yake mwenywe. tusitishane its like unapromote hii matrix ya ovyo izidi kuota mizizi zaidi.
m2 anaweza kupga tukio m2 afu ananawa mikono anakuwa msaafi kbs asihisi hatia yyt( cc. 48 laws of power by robert green).
mitazamo yangu ni yagenZ sana. i am too skeptical kwny kila k2 tulichoaminisha.
 
Hamna lolote... Mbona tunalia mara kwa mara kuhusu viongozi waovu lakini ndio kwanza wanatusua huku sisi tukizidi kunyauka?

Kinachotakia ni wewe unaelia uchukue hatua za kuvitendo katika kuweka mambo sawa ili kilichokuliza kisikulize tena.

Bila hatua za kuvitendo waliokuliza watakuliza tena au kukuua kabisa 🤣🤣🤣
Nawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne..
 
Nawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne..

hzo ni fix tu, zinaimbwa tangu enzi enzi tokea babu wa babu yangu anaimbiwa hzo ngonjera. inasktisha sana binadamu wenye maslahi binafsi(kumnufaisha aliyeleta matrix) wanaendelea kupromote narrative kongwe kwny dunia ilibadilika kwny kila sector. wanadamu tujitambue.
 
Back
Top Bottom