Watanzania tunaabudu sana mtu anaeitwa kiongozi. Tunakuwa "awe stricken...." tunazidiwa na furaha.
Nimeona clip Kenan Kihongosi - of all the people - ametokea kwenye tawi la CHADEMA sijui ni mkoa gani pale.....
Tawi kabisa lina jiwe la msingi na mabendera ya CHADEMA
Watu wakaanza kumshangilia.... " Umetisha babaaaaa umetisha."
Ana shati la kijani, akawaongelesha slogan za CCM na serikali, wakaitikia, akawaambia njooni kuna mkutano msikilize hoja na itikadi zetu.... wakamshangilia .....TUNAKUJAAA !!!
Nimebaki mdomo wazi.....Mnawapendea nini hawa watu ????
CCM hawa na serikali yao walipita na AR-15 uswahilini wanapiga bomu la machozi, mkianza kukimbia different directions wanamwaga njugu... Mmesahau ?
Segerea Stendi mita kama 300 kutoka nyumbani kwa mamaake Polepole wali externinate watu kama mia hivi wakacha maiti hapo wakasepa.....
Watanganyika jamani... Kenani Kihongosi ni mtu wa kumshangilia kama Michael Jackson katokea mtaani ???
Nimeona clip Kenan Kihongosi - of all the people - ametokea kwenye tawi la CHADEMA sijui ni mkoa gani pale.....
Tawi kabisa lina jiwe la msingi na mabendera ya CHADEMA
Watu wakaanza kumshangilia.... " Umetisha babaaaaa umetisha."
Ana shati la kijani, akawaongelesha slogan za CCM na serikali, wakaitikia, akawaambia njooni kuna mkutano msikilize hoja na itikadi zetu.... wakamshangilia .....TUNAKUJAAA !!!
Nimebaki mdomo wazi.....Mnawapendea nini hawa watu ????
CCM hawa na serikali yao walipita na AR-15 uswahilini wanapiga bomu la machozi, mkianza kukimbia different directions wanamwaga njugu... Mmesahau ?
Segerea Stendi mita kama 300 kutoka nyumbani kwa mamaake Polepole wali externinate watu kama mia hivi wakacha maiti hapo wakasepa.....
Watanganyika jamani... Kenani Kihongosi ni mtu wa kumshangilia kama Michael Jackson katokea mtaani ???