Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita
Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.
Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.
Kumbe...
Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule.
Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster.
Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala...
Niko kwenye mahusiano na mdada mmoja ambaye tulikutana kwa mara ya kwanza masomoni UBELGIJI miaka 6 iliyopita, nilimpenda sana na kwa kweli tuliishi nae mda mrefu bila kukwichikwichi kutokana na misimamo yake... Huyu mdada kwetu anajulikana na kila ndugu wa karibu na hata kwao najulikana na wote...
Kwanza niseme wazo kuwa mimi ni muumini wa ahadi za MwanaTANU. Ambapo msisitizo ni uzalendo kwa nchi.
Nikiwa Mtumishi wa umma huku nikiiona changamoto ya kupambana na covid-19 napendekeza serikali itukate watumishi wa umma wote walau asilimia mbili za mishahara yetu na pesa iende kusaidia...
Habari zenu wadau,naamini wengi wetu tupo poa sana licha ya tishio/janga lilipo mbele yetu. Nina imani kubwa kwamba pamoja na jitihada zetu kujikinga Mwenyezi atatuepusha na hili.
Nisiwachoshe waungwana, Nafikiri tupo wengi ambao hatufahamu mchakato mzima ni jinsi gani kampuni ama taasisi...
Kama unadhani Marekani huwa hafurahishwi na makombora ya korea kaskazini basi jua unajidanganya. Makombora ya korea kaskazini yamekuwa ni mtaji mkubwa wa marekani kuishurutisha korea kusini kulipa kiwango kikubwa cha pesa kwa ajili ya ulinzi.
Hivi karibuni Ikulu ya marekani imeitaka korea...
Kwa wenye akili kubwa watakubaliana na Mimi kuwa nchi ya China tayari in dawa ya ugonjwa wa CORONA, ila kwa kuwa hii ni Vita ya kiuchumi, wanasubiri nchi nyingi zikabwe barabara na ugonjwa huu Kisha wapige pesa kwa kuziuzia dawa.
Time will tell.
Tumekuwa tukishauri kwa muda mrefu sasa kwamba Halmashauri za Wilaya zifutwe kwa kuwa hazina tija kwenye maendeleo ya wananchi. Hii haitakuwa mara ya kwanza kuzifuta halimashauri hizo, kwa kuwa huko nyuma kitu kama hicho kilishafanywa na Mwalimu Nyerere, ambapo alizifuta mwaka 1972 na...
Wakuu kama kichwa cha uzi kinavyosomeka hapo juu.
Hivi ni kwa nini mtu ukiwa huna pesa, yaani ninamaanisha ukiwa na maisha duni unadharaulika?
Na hili utaliona kuanzia ngazi ya familia, jamii inayokuzunguka na muda mwingine hata kwenye nyumba za ibada.
Ni kwa nini mtu kama huna kitu watu...
Katika hali ya kushangaza Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma Mfanyabiashara wa Jijini Mwanza ameonekana Bunda Mjini akigawa pesa hadharani.
Huku akiwa na mabaunsa, wapambe na wanakwaya wakimsindikiza Mwanza Huduma amepita Vijiwe vya Kahawa na Maegesho ya Magari na kugawa kati ya shilingi...
Naandika thread hii kuwasaidia vijana walio wengi wanaokuwa wakihangaika kusaka the so called 'Utajiri' au kutaka kuwa na pesa na wanajikuta kila mara hawajui zimepotelea wapi.
Kuna threads kadhaa humu JF. Natambua uwepo wa hii thread yenye kanuni 12 Kanuni 12 muhimu za kuzingatia kuhusu pesa -...
Marekani ndio kichaka kikubwa cha pesa chafu ulimwenguni. Hazina ya Mrekani inakadiria kuwa $ 300bn hutakatishwa kila mwaka, hii ni sehemu ndogo ya namba halisi.
Mbaya zaidi, serikali haijui ni nani anayedhibiti kampuni ambazo hutakatsha pesa kwa sababu Marekani haina taasisi inayoshughulikia...
Wanawake yeah tumewala ki masikhara ila sisi pia huwa wanatula ki masikhara.....
Sometimes katika harakati za kumfuatilia demu au mwanamke kwa ujumla, unawezajikuta unaliwa pesa zako ki masikhara masikhara hivi halafu mwishoni hupewi papuchi, au unapewa lakini hailingani na uwekezaji...
Uchumi wa Dunia nzima unashuka. Kwa Tanzania utalii ni kama umesimama wote na watu karibu wote inabidi wasimamishe safari zake mpaka mwakani. Sasa Tanzania tunaingiza $2.5B kwa mwaka mmoja tujiulize pesa za miradi tutapata wapi.
Ushauri wangu kwa muda mfupi Serikali ikope mapema kabla ya riba...
Tangia mwaka 2015 nilianza utafiti ndani ya chama cha chadema baada ya kuwa chana kikuu cha upinzani bungeni.
sababu za utafiti....
Nibaada ya Dr w.slaa kuamua kuondoka chadema kisa akiwa mh.E.N.Lowasa.
misingi yangu ya utafiti ilizingatia mambo yafuatayo
1.kauri ya mh f.mbowe kuwa dr slaa...
Mhudumu wa uwanja wa KIA amesema katika kipindi hiki ambapo ugonjwa wa Corona Virus umepiga sana China, idadi ya watalii kutoka China imeongezeka maradufu kuja nchini.
Wachina wenyewe wakihojiwa wamesema pamoja na utalii wamekuja kutafuta sehemu salama kukimbia ugonjwa huo kwao.
Hii hali...
Siamini na hainiingii akilini wanasiasa wote wale na mali wanazomiliki wameshindwa kulipa hizo pesa za hukumu.
Ninachokiamini hawa jamaa wanajaribu kutuaminisha wao ni wanyonge na masikini kwahiyo waonewe huruma.
Shangingi mbili zinatosha kutoa hiyo pesa, hakukuwa na sababu ya kuomba michango...
Uwanja wa CCM Kirumba ambao unamilikiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM)
Enzi za chama kimoja, majengo na maeneo yote ya umma yalikuwa chini ya Serikali. Ujenzi na uendelezaji wa maeneo hayo ulifanya na Serikali kupitia kodi za wananchi, michango, fedha za wafadhili na wahisani mbalimbali.
Kwa...
Acheni pesa iitwe pesa, kuna wakati pesa inaingia mfukoni mwako huku umeishiwa nguvu ukiwaza jinsi ulivyoipata.
Hakuna kitu kilichojificha duniani na mbingini kama pesa.
Mungu mwenyewe ukimtafuta kwa bidii unamuona ila pesa kuna watu wameanza kuitafuta ujanani mpaka uzeeni hawajaiona.
Pesa...
JESHI la Polisi mkoani Mbeya, linawashikilia vijana 11 wenye umri wa kati ya miaka 20 na 25 kwa tuhuma za kuwatapeli wananchi kupitia Mtandao wa Facebook kwa kutumia majina ya viongozi wa Serikali na wasanii maarufu.
Aidha vijana hao wanadaiwa kuwa walikuwa wanashirikiana na mawakala wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.