Jamani nimetumiwa pesa kutoka Kenya kwa kutumia Safaricom kuja kwa M-Pesa yaani kwenye namba yangu ya Voda ila ni nusu saa sasa haijafika.
Kwa wale mliowahi tumiwa pesa kwa safaricom hebu nisaidieni uzoefu, huwa inachukua muda gani kupata pesa?
Biashara ya filamu imeenda chini sana kuanzia enzi za Kanumba kwasababu hakuna ubunifu. Mimi kama diaspora nimefanya uchunguzi kujua kwanini hii inatokea. filamu zetu zinaiga na kujaribu kushindana na Nigeria lakini Tanzania tuna kitu kimoja ambacho wenyewe hawana. Sijawahi kuona picha kutoka...
JUNI 10, 2020
TAKUKURU MAKAO MAKUU KUHOJI WABUNGE 69 MATUMIZI YA FEDHA ZA CHADEMA
Kwa taarifa hii, tunapenda kuuthibitishia umma kwamba ni kweli kuwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa – TAKUKURU Makao Makuu, imewaita Waheshimiwa Wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA na...
Miradi hii ni ya gharama kubwa na utekelezaji wake huchukua miaka mingi.
Ni maoni yangu kuwa, sambamba na ujenzi wa bwawa la mwal Nyerere, serikali ingeanza kutafuta fedha za kujenga njia kuu ya kusafirishia umeme itakayopita magharibi mwa nchi hasa katika mikoa ya Lindi, Ruvuma, Njombe, Mbeya...
Mitandao ya simu imerahisisha maisha kwa kuruhusu mtu kujirudishia pesa aliyotuma kimakosa kwenda kwa mtu mwingine. Hili tumelipokea kwa mikono miwili.
Sasa naomba muweke uwezo wa mtu kurudisha muamala wa pesa ambayo ameipokea kimakosa au ambayo haitambui.
Naomba wazo hili mlifanyie kazi...
JamiiForums ni zaidi ya habari, nami nimeona niweke hapa kisa ambacho kinaweza kuwa funzo/somo kwa vijana wengi watafutaji hasa wanaopenda shortcut. Mtanisamehe kwa uandishi wangu mbovu na mpangilio wa visa.
Mwaka huu mwanzoni nilikuwa mkoani Arusha kwa jamaa yangu mmoja tuliyetoka nae Kijiji...
Mwanamke Mmoja na mpwa wake wamefikishwa Mahakamani nchini Uganda Wakituhumiwa kuingia nyumbani kwa Mwanaume na kujificha juu ya dari kisha kumrecord Video wakati akijamiiana na baadaye wakamtaka alipe Mil 150 ya Uganda ili wazivujishe Mzigo huo (Video) Mtandaoni,
Wawili hao wameshtakiwa kwa...
Nipo katika mahusiano huu ni mwaka wa 9 niko na mpenzi m1 ninayemhudumia kila kitu, lakini katika huduma ninazompa kuna huduma 1 ambayo nimemtamkia live bila kupepesa macho kuwa ifikapo tar 1 Jan 2021 kama tutajaliwa uhai itakua mwisho wangu wa kutoa; pesa ya yeye kwenda kusuka. Nitatoa pesa ya...
=AZVe3IMrRn9NqmqhAlSTx8d70rshwEZgJf9X-44nKyE3aNlNQsQOrC7zBNgD22qTKiLHiCylG5IwlR25TVybWYX9_qphdPjP1n3cPMWoWRaI5oULasItlOe1z3poYGWcctpXgQqzSDcsNwbcOgZI-sO6sMV_lZ0Dz6kg91rgr_yCEg&__tn__=-UC%2CP-R']VIWANJANI LEO
"Sisi kazi yetu kubwa ni kuhakikisha klabu yetu inaweza kusimama kwa miguu yake miwili...
Ndugu zanguni ni kweli pesa ina mvuto wa Mapenzi mpaka ikafikia kipindi mtu ukavutiwa kimapenzi na mtu flani kwa sababu ana pesa? Ni kweli pesa ni moja ya chambo katika mapenzi?
Pesa unaweza ukaitumia kuvuta wapenzi wengi na wakakubali kutokana na pesa yako?
Ni kweli pesa ina mvuto katika penzi...
Wananchi wote tumemsikia Rais Magufuli akimuagiza waziri wa Fedha, Dkt Philipo Mpango "achote" pesa kiasi cha shilingi bilioni mbili kwenye Hazina ya Taifa, ndani ya saa 24 na awaletee wakandarasi ili zikamilishe ujenzi wa Ikulu wa Chamwino na akaendelea kumpiga mkwara mzito waziri huyo kuwa ole...
Niseme tu ukweli, upepo wa Forex ulivoingia Tanzania na mimi sikuwa nyuma. Nilijitoa na mimi kimasomaso kuisaka fursa.
Kwa takribani miaka 3 kwenye game la Forex, imekuwa ni miaka ya kujifunza zaidi. Sikuweka nia ya kupata chochote kwa mda wa short term. Niliamua kupeleleza sana hii biashara...
Kwa muda huu kila jambo ni gumu kwa sababu hakuna aliyeona au kuhis haya yangetokea ktk kizaz chetu. Ila yameshatokea na yametupa mafundisho ambyo hakuna aliyewahi kufkir angeyasoma kwa njia ngumu kiasi hiki. Si biashara si ajira kila mmoja anapigania uhai wake, Nitakupa mbinu 5 kwa leo ambzo...
Dear all
Have registered for a new paypal account using the CRDB debit card and that my account was charged by paypal US$ 1.95 and the code sent to the bank. On requesting the bank statement I do not get the paypal code but the transaction code through my bank. How one get the PAYPAL CODE...
Wakuu, huko kwenye twitter nimeona wanaume wakimshambulia Ndugu Chris Mauki kutokana na bandiko lake aliloweka huko kuwa wanaume ambao wanaombwa hela na wake zao na kusema kuwa kuna Jambo nafuatilia kila Siku wanasema hivyo, Chris Mauki anasema kuwa hao wanawake wanapaswa kujua kuwa wameolewa na...
Homa ya corona imetikisa kila kona ya dunia hivi sasa. Tanzania nako si kisiwa kwani napo visa vya maambukizi vilianza kupatikana kuanzia mwezi Machi.
Katika nyakati za changamoto hii ni lazima kuhakikisha sote tunashirikiana ili kuzuia kuenea kwa maambukizi ya kirusi cha homa hii.
Tumeona...
Kwenye maisha yetu ya kila siku na JAMII inayotuzunguka Kuna watu hutokea kuwa WATUNDU Sana....
Mpaka wengine kupewa jina la "TOTO TUNDU" Hivi watu wa Aina hii WAKIZISHIKA pesa a.k a mapene au chapaa za maana katika maisha yao huwa hawaishiwi vituko na vioja.
Embu tupeane vimbwanga vyao.....
1. Huwa na tamaa ya mambo yasiyo ya lazima.
Wanawake wengi wapendao pesa huwa na tamaa ya mambo yasiyo ya lazima, mambo ambayo hayagusi maisha moja kwa moja. Hata nilipokuwa chuo wanawake wengi waliokuwa wanapenda pesa Sana walikuwa na tamaa za kusikitisha ambazo zilipofusha fahamu zao.
Unakuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.