Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,045
Nimekaa nikawaza, Bunge la JMT lina wabunge zaidi ya 300 yani wabunge 264 wa kuchaguliwa na zaidi ya 100 wa viti maalum, maana nimesikia CCM imepeleka majna 94 ya wabunge wa viti maalum, chadema wana nafasi 19, na CUF 3.
Kila mbunge anakula zaidi ya milion 10, bado wawape zile tablet, bado magari, bado posho, bado BIMA. Hivi haiwezekani tukawa na wabunge wachache kweli?
Nchi masikini nadhani tatizo siyo pesa bali ni vipaumbele. Maana malupulupu ya Mbunge mmoja, yanaweza kununua madawati na kuboresha madarasa ya shule.
Yani nchi kama Marekani na ukubwa wake wote, na pesa iliyo nayo ina members wa congress 535 tu ambapo 100 wanaingia kwenye Senate, na 435 house of representatives.
Kila mbunge anakula zaidi ya milion 10, bado wawape zile tablet, bado magari, bado posho, bado BIMA. Hivi haiwezekani tukawa na wabunge wachache kweli?
Nchi masikini nadhani tatizo siyo pesa bali ni vipaumbele. Maana malupulupu ya Mbunge mmoja, yanaweza kununua madawati na kuboresha madarasa ya shule.
Yani nchi kama Marekani na ukubwa wake wote, na pesa iliyo nayo ina members wa congress 535 tu ambapo 100 wanaingia kwenye Senate, na 435 house of representatives.