namna ya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MK254

    Namna ya kutatua hili la ndege za Watanzania ni kumpima kila mmoja wao kama ilivyo mpakani

    Kenya iliposema lazima kila Mtanzania anayekuja huku apimwe kwanza, Watz walipiga makelele sana humu, wakafunga mipaka, wakalipuka lipuka kwa kauli za kiajabu, ila baadaye walikubali yaishe maana hadi leo hakuna anayepita huo mpaka bila kupimwa, labda wanaotoa hongo kwa polisi wetu mafisadi...
  2. gunnar andersen

    Ni kozi ipi ya afya niombe zaidi?

    Habari wadau wa Elimu, Samahani naomba kuuliza maswali mawili. Kwa matokeo haya; PHYSICS -D CHEMISTRY -C BIOLOGY -B MATHS -D ENGLISH -C (i) Je, niombe chuo gani cha afya cha serikali ili niweze kukubaliwa kwa urahisi? (ii) Ni, kozi ipi ya afya niombe zaidi?, asanteni.
  3. Masweeter

    Tangu zamani nilishaapa kuwa nikiolewa siwezi kuishi na Mama mkwe wangu

    NAOMBA UNISAIDIE NAMNA YA KUMFUKUZA MAMA YANGU MZAZI KWANGU NIMECHOKA! Tangu zamani nilishaapa kuwa nikiolewa siwezi kuishi na Mama mkwe wangu wkani nilikua nafahamu jinsi Mama wakwe walivyo na roho mbaya. Kweli sikuishi naye, Mama mkwe wangu hata hakuwahi kuja mjini kusalimia, ndoa yangu...
  4. Sky Eclat

    Namna ya kupata vibarua na ajira za muda mfupi

    Tunaishi kwenye dunia ya utandawazi. Mara nyingi nyumbani hatuna kazi nyingi kila siku. Tulilazimika kuajiri wasaidizi na kuishi nao kwasababu za kiulinzi na usalama. Sikuhizi apartments nyingi zina uhakika wa ulinzi na usalama na hivi vyote vinakuwa sehemu ya kodi. Zile kazi za kufua kama...
  5. Mai-Ndombe

    Naomba msaada namna ya kuondoa kidney cyst bila kufanyiwa upasuaji

    Wakuu, Kichwa cha habari kinajieleza,nimekuwa na maumivu kwa muda mrefu ya mbavu upande wa kushoto,juzi nilikwenda hospitali kupima,walinipiga ultrasound na dokta aligundua kuwa kwenye figo yangu ya kushoto kuna kiuvimbe kidogo 2.5cm×2.9cm kinachoitwa kidney cyst. Nilipewa dawa ya kutumia kwa...
  6. Aizi Azma

    Fahamu namna ya kuingia deep web & dark web

    NAINGIAJE DEEP WEB? Kuingia deep web ni rahisi kuliko unavyofikiri. In fact, inawezekana tayari umewahi kuingia deep web ila hujui kama uliingia. Sema tu watu wengi wanashindwa kutofautisha baina ya DEEP WEB na DARK WEB - majina mawili yanayofanana lakini yenye maana mbili tofauti. Bila shaka...
  7. Econometrician

    Uongozi wa CCM rudisheni utaratibu wa awali wa namna ya kumpata Mbunge, wapatikane 3 kisha ndio wapigiwe kura za maoni. Hili la Kawe ni somo tosha

    Uongozi wa CCM muda bado mnaweza kufanya mabadiliko rudusheni utaratibu wa zamani ili kumpata mbunge bora, ule utaratibu wa mwanzo wa watu kupimwa kwanza na Kamati husika kabla ya kura za maoni ndio unafaa kisha zipatikane 3 bora zikapigiwe kura za maoni na Wajumbe wa Halmashauri ya Jimbo...
  8. Aizi Azma

    Uzi maalum wa kujuzana namna ya kufanya chochote

    Unataka kujua/ kufahamu namna ya kufanya jambo fulani? Au unafahamu namna ya kufanya jambo fulani? Karibu tushirikiane, tupeane ma-tricks na solutions kwaajili ya kurahisisha maisha. Na mimi naanza kama ifuatavyo: NAMNA YA KUTUMIA BARUA PEPE (eMail) MOJA KWA AKAUNTI NYINGI ZA TWITTER. Kama ni...
Back
Top Bottom