mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Kutokana na ukubwa wa simba na yanga pale unapoanza mgogoro baina yao huwa unachukua hisia za watu wengi sana.
Je, katika kipindi hiki ambapo Wakili msomi Tundu lissu anafanya vizuri kwenye kampeni sio kwamba watawala wameamua kuanzisha mgogoro ambao utahamisha hisia za wananchi kwenye kampeni na uchaguzi kwa ujumla kwa kesi ambayo ilishaisha na kama rufaa ingetakiwa ikatiwe kwa Mabeberu na sio hapa.
Naona kama vile wanataka kuanza kumsukasuka mpendwa wa nchi Lissu, so they want to reduce the community attentions to campaign actions?
Je, katika kipindi hiki ambapo Wakili msomi Tundu lissu anafanya vizuri kwenye kampeni sio kwamba watawala wameamua kuanzisha mgogoro ambao utahamisha hisia za wananchi kwenye kampeni na uchaguzi kwa ujumla kwa kesi ambayo ilishaisha na kama rufaa ingetakiwa ikatiwe kwa Mabeberu na sio hapa.
Naona kama vile wanataka kuanza kumsukasuka mpendwa wa nchi Lissu, so they want to reduce the community attentions to campaign actions?