gunnar andersen
New Member
- Jul 31, 2020
- 1
- 0
Habari wadau wa Elimu, Samahani naomba kuuliza maswali mawili.
Kwa matokeo haya;
PHYSICS -D
CHEMISTRY -C
BIOLOGY -B
MATHS -D
ENGLISH -C
(i) Je, niombe chuo gani cha afya cha serikali ili niweze kukubaliwa kwa urahisi?
(ii) Ni, kozi ipi ya afya niombe zaidi?, asanteni.
Kwa matokeo haya;
PHYSICS -D
CHEMISTRY -C
BIOLOGY -B
MATHS -D
ENGLISH -C
(i) Je, niombe chuo gani cha afya cha serikali ili niweze kukubaliwa kwa urahisi?
(ii) Ni, kozi ipi ya afya niombe zaidi?, asanteni.