Ni kozi ipi ya afya niombe zaidi?

gunnar andersen

New Member
Jul 31, 2020
1
0
Habari wadau wa Elimu, Samahani naomba kuuliza maswali mawili.
Kwa matokeo haya;

PHYSICS -D
CHEMISTRY -C
BIOLOGY -B
MATHS -D
ENGLISH -C

(i) Je, niombe chuo gani cha afya cha serikali ili niweze kukubaliwa kwa urahisi?

(ii) Ni, kozi ipi ya afya niombe zaidi?, asanteni.
 
Habari wadau wa Elimu, Samahani naomba kuuliza maswali mawili.
Kwa matokeo haya;

PHYSICS -D
CHEMISTRY -C
BIOLOGY -B
MATHS -D
ENGLISH -C

(i) Je, niombe chuo gani cha afya cha serikali ili niweze kukubaliwa kwa urahisi?

(ii) Ni, kozi ipi ya afya niombe zaidi?, asanteni.
Diploma in Health information science.... Bugando na CEDHA arusha
 
Habari wadau wa Elimu, Samahani naomba kuuliza maswali mawili.
Kwa matokeo haya;

PHYSICS -D
CHEMISTRY -C
BIOLOGY -B
MATHS -D
ENGLISH -C

(i) Je, niombe chuo gani cha afya cha serikali ili niweze kukubaliwa kwa urahisi?

(ii) Ni, kozi ipi ya afya niombe zaidi?, asanteni.
Vyuo vipo vingi, vya Serikali na Binafsi...Tafuta uombe.

Kozi omba Radiology (ipo Bugando, cheki pia kama Muhas wanayo!), Optometry (ipo KCMC), Clinical officer, Lab, Nursing, Pharmacy,
 
Habari wadau wa Elimu, Samahani naomba kuuliza maswali mawili.
Kwa matokeo haya;

PHYSICS -D
CHEMISTRY -C
BIOLOGY -B
MATHS -D
ENGLISH -C

(i) Je, niombe chuo gani cha afya cha serikali ili niweze kukubaliwa kwa urahisi?

(ii) Ni, kozi ipi ya afya niombe zaidi?, asanteni.
Omba course ya ufamasia uje uuze pharmacy
 
Back
Top Bottom