Namna ya kupima chumvi kabla ya kuilamba

geniusMe

JF-Expert Member
Jan 27, 2018
1,312
1,773
kumekuwa na ongezeko la uhitaji wa chumvi kwenye chakula katika muda wa kula na kujimegea mapochopocho, lakini kumekuwa na swali kubwa sana kwa walaji, je utajuaje kama msosi umekolea chumvi ya kutosha au umezidi sana chumvi mpaka kuharibu ladha na harufu ya msosi wenyewe? The last thing ambacho mlaji anahitaji ni kula chakula kibovu na kujikuta anatapika na kuharisha.

Hii ni moja ya njia ambayo walaji na wanywaji wa mchuzi wa nyama hutumia kabla ya kuweka kipande cha nyama mdomoni , chukua kidole chako chovya kwenye mchuzi kisha ingiza mdomoni kwa mpishi mwenyewe , ukiona mpishi anapata tabu kufurahia ladha ya mchuzi wake mwenyewe , jua chumvi imeharibika na mchuzi haupaswi kulambwa chumvi sio chumvi tena.

msos.jpeg
 
Unachovya mavidole kwenye mchuzi mbona uchafu huo, unajaribu kufanya ugunduzi gani ni kiwango cha chumvi kilichomo ndani mhmh
 
Mkuu, yaani nimekuna nduki Hadi kidogo nivunjike mguu baada ya kusoma heading....
Baada ya kusoma maudhui, nimekuta bure kabisa... Maana minilijua ni chumvi ya chumvini...
 
Back
Top Bottom