Uchaguzi 2020 Namna ya kui - outsmart CCM kwenye ishu ya mawakala katika vituo vya kupigia kura

The Palm Tree

JF-Expert Member
Apr 13, 2013
7,951
12,535
UTANGULIZI:

¶• Nianze kwa kutoa FACT CHECKS zifuatazo:

FACT No. 1; Ni wazi kuwa uchaguzi wa mwaka huu katika ngazi ya Urais atakuwa aidha Tundu Lissu (CHADEMA) ama John Magufuli (CCM) kuchaguliwa tena kuendelea..

FACT No. 2; Kwa Tanganyika katika nafasi ya Urais, CCM wameelekeza silaha na mikakati yao yote kwa Tundu Lissu na CHADEMA kuhakikisha hawapati kitu..

FACT No. 3: Kwenye kampeni zote za field na za kisaikolojia kupitia propaganda ktk social & mainstreams medias hakuna ubishi kuwa Magufuli na CCM yake wamegaragazwa vibaya. Tundu Lissu anaongoza kwa goli 7 kwa 0..!

FACT No. 4: Ipo vita moja iliyobaki ktk uchaguzi huu na ndiyo imeanza leo. Ni vita ya mawakala katika hatua NNE..

1. MOSI, Kuanzia kuapishwa..

2. MBILI, kupewa barua za utambulisho..

3. TATU, kujua vituo ambavyo wanakwenda kusimania (maana msimamizi wa uchaguzi ndiye anayetoa barua ya utambulisho ya wakala kwa msimamizi wa kituo)..

4. NNE, kupewa nakala ya fomu za matokeo ya kura ktk kila kituo..

Kila hatua ni vita..

Ukimaliza vita ya hatua ya kwanza, unaingia vita ya hatua ya pili, ya 3 hadi ya mwisho..!

Sasa hebu wanamageuzi tuwe na imani kuwa tutashinda vita ya kila hatua..

Tukubali pia kuwa lazima tu kutakuwa na majeruhi kwa maana maeneo mengine wasimamizi (DEDs) figisu figisu zao zitashinda na kufanikiwa kutowaapisha baadhi ya mawakala wa vyama vya upinzani hususani wa CHADEMA na ACT WAZALENDO kama tuvyoanza kuona kule CHATO..

NINI CHA KUFANYA?

1. CHADEMA na ACT WAZALENDO na vyama vingine vya upinzani vyenye nia ya ushindi wa kuiondoa CCM na Magufuli ziunde ushirika usio rasmi katika eneo hili la mawakala ndani ya vituo..

2. Kituo ambacho kwa sababu ziwazo zozote hakitakuwa na wakala wa CHADEMA ama ACT WAZALENDO, wakala wa CHAUMA ama TADEA ama ADC nk awe mlinzi wa kura za Tundu Lissu pia..

3. Wakala huyo katika kituo ambacho figisu za maDEDs zitafanya CHADEMA ikose wakala, basi fomu ya matokeo ya kura za kituo hicho hasa ya Urais, atakayepewa wakala asiye wa CHADEMA basi utaratibu uwekwe wa kuhakikisha CHADEMA wanaipata fomu hiyo maana wao ndiyo mgombea wao wa Urais anayekwenda kumshinda Magufuli wa CCM..

Hili linawezekana kabisa mkikaa vizuri..

4. CHADEMA wahakikishe kuwa wanavitambua vituo vyote ambavyo watafanyiwa figisu na mawakala wao kushindwa kuingia kwa sbb ziwazo zozote..

NB: Hata hivyo, hii ya kutoweka mawakala katika vituo vyote 81,151 Tanzania nzima isiwe ni option na kamwe isiwe entertained kwa namna yoyote..

Ni lazima mapambano yaendelee kuhakikisha mawakala wao wanaapishwa na wanajua mapema kabisa vituo vyao vya kwenda kulinda kura za Rais wetu Tundu Lissu..

Mwaka huu ni lazima kieleweke tu..!!
 
UTANGULIZI:

¶• Nianze kwa kutoa FACT CHECKS zifuatazo:

FACT No. 1; Ni wazi kuwa uchaguzi wa mwaka huu katika ngazi ya Urais atakuwa aidha Tundu Lissu (CHADEMA) ama John Magufuli (CCM) kuchaguliwa tena kuendelea..

FACT No. 2; Kwa Tanganyika katika nafasi ya Urais, CCM wameelekeza silaha na mikakati yao yote kwa Tundu Lissu na CHADEMA kuhakikisha hawapati kitu..

FACT No. 3: Kwenye kampeni zote za field na za kisaikolojia kupitia propaganda ktk social & mainstreams medias hakuna ubishi kuwa Magufuli na CCM yake wamegaragazwa vibaya. Tundu Lissu anaongoza kwa goli 7 kwa 0..!

FACT No. 4: Ipo vita moja iliyobaki ktk uchaguzi huu na ndiyo imeanza leo. Ni vita ya mawakala katika hatua NNE..

1. MOSI, Kuanzia kuapishwa..

2. MBILI, kupewa barua za utambulisho..

3. TATU, kujua vituo ambavyo wanakwenda kusimania (maana msimamizi wa uchaguzi ndiye anayetoa barua ya utambulisho ya wakala kwa msimamizi wa kituo)..

4. NNE, kupewa nakala ya fomu za matokeo ya kura ktk kila kituo..

Kila hatua ni vita..

Ukimaliza vita ya hatua ya kwanza, unaingia vita ya hatua ya pili, ya 3 hadi ya mwisho..!

Sasa hebu wanamageuzi tuwe na imani kuwa tutashinda vita ya kila hatua..

Tukubali pia kuwa lazima tu kutakuwa na majeruhi kwa maana maeneo mengine wasimamizi (DEDs) figisu figisu zao zitashinda na kufanikiwa kutowaapisha baadhi ya mawakala wa vyama vya upinzani hususani wa CHADEMA na ACT WAZALENDO kama tuvyoanza kuona kule CHATO..

NINI CHA KUFANYA?

1. CHADEMA na ACT WAZALENDO na vyama vingine vya upinzani vyenye nia ya ushindi wa kuiondoa CCM na Magufuli ziunde ushirika usio rasmi katika eneo hili la mawakala ndani ya vituo..

2. Kituo ambacho kwa sababu ziwazo zozote hakitakuwa na wakala wa CHADEMA ama ACT WAZALENDO, wakala wa CHAUMA ama TADEA ama ADC nk awe mlinzi wa kura za Tundu Lissu pia..

3. Wakala huyo katika kituo ambacho figisu za maDEDs zitafanya CHADEMA ikose wakala, basi fomu ya matokeo ya kura za kituo hicho hasa ya Urais, atakayepewa wakala asiye wa CHADEMA basi utaratibu uwekwe wa kuhakikisha CHADEMA wanaipata fomu hiyo maana wao ndiyo mgombea wao wa Urais anayekwenda kumshinda Magufuli wa CCM..

Hili linawezekana kabisa mkikaa vizuri..

4. CHADEMA wahakikishe kuwa wanavitambua vituo vyote ambavyo watafanyiwa figisu na mawakala wao kushindwa kuingia kwa sbb ziwazo zozote..

NB: Hata hivyo, hii ya kutoweka mawakala katika vituo vyote 81,151 Tanzania nzima isiwe ni option na kamwe isiwe entertained kwa namna yoyote..

Ni lazima mapambano yaendelee kuhakikisha mawakala wao wanaapishwa na wanajua mapema kabisa vituo vyao vya kwenda kulinda kura za Rais wetu Tundu Lissu..

Mwaka huu ni lazima kieleweke tu..!!
FACT No. 3: Kwenye kampeni zote za field na za kisaikolojia kupitia propaganda ktk social & mainstreams medias hakuna ubishi kuwa Magufuli na CCM yake wamegaragazwa vibaya. Tundu Lissu anaongoza kwa goli 7 kwa
 
UTANGULIZI:

¶• Nianze kwa kutoa FACT CHECKS zifuatazo:

FACT No. 1; Ni wazi kuwa uchaguzi wa mwaka huu katika ngazi ya Urais atakuwa aidha Tundu Lissu (CHADEMA) ama John Magufuli (CCM) kuchaguliwa tena kuendelea..

FACT No. 2; Kwa Tanganyika katika nafasi ya Urais, CCM wameelekeza silaha na mikakati yao yote kwa Tundu Lissu na CHADEMA kuhakikisha hawapati kitu..

FACT No. 3: Kwenye kampeni zote za field na za kisaikolojia kupitia propaganda ktk social & mainstreams medias hakuna ubishi kuwa Magufuli na CCM yake wamegaragazwa vibaya. Tundu Lissu anaongoza kwa goli 7 kwa 0..!

FACT No. 4: Ipo vita moja iliyobaki ktk uchaguzi huu na ndiyo imeanza leo. Ni vita ya mawakala katika hatua NNE..

1. MOSI, Kuanzia kuapishwa..

2. MBILI, kupewa barua za utambulisho..

3. TATU, kujua vituo ambavyo wanakwenda kusimania (maana msimamizi wa uchaguzi ndiye anayetoa barua ya utambulisho ya wakala kwa msimamizi wa kituo)..

4. NNE, kupewa nakala ya fomu za matokeo ya kura ktk kila kituo..

Kila hatua ni vita..

Ukimaliza vita ya hatua ya kwanza, unaingia vita ya hatua ya pili, ya 3 hadi ya mwisho..!

Sasa hebu wanamageuzi tuwe na imani kuwa tutashinda vita ya kila hatua..

Tukubali pia kuwa lazima tu kutakuwa na majeruhi kwa maana maeneo mengine wasimamizi (DEDs) figisu figisu zao zitashinda na kufanikiwa kutowaapisha baadhi ya mawakala wa vyama vya upinzani hususani wa CHADEMA na ACT WAZALENDO kama tuvyoanza kuona kule CHATO..

NINI CHA KUFANYA?

1. CHADEMA na ACT WAZALENDO na vyama vingine vya upinzani vyenye nia ya ushindi wa kuiondoa CCM na Magufuli ziunde ushirika usio rasmi katika eneo hili la mawakala ndani ya vituo..

2. Kituo ambacho kwa sababu ziwazo zozote hakitakuwa na wakala wa CHADEMA ama ACT WAZALENDO, wakala wa CHAUMA ama TADEA ama ADC nk awe mlinzi wa kura za Tundu Lissu pia..

3. Wakala huyo katika kituo ambacho figisu za maDEDs zitafanya CHADEMA ikose wakala, basi fomu ya matokeo ya kura za kituo hicho hasa ya Urais, atakayepewa wakala asiye wa CHADEMA basi utaratibu uwekwe wa kuhakikisha CHADEMA wanaipata fomu hiyo maana wao ndiyo mgombea wao wa Urais anayekwenda kumshinda Magufuli wa CCM..

Hili linawezekana kabisa mkikaa vizuri..

4. CHADEMA wahakikishe kuwa wanavitambua vituo vyote ambavyo watafanyiwa figisu na mawakala wao kushindwa kuingia kwa sbb ziwazo zozote..

NB: Hata hivyo, hii ya kutoweka mawakala katika vituo vyote 81,151 Tanzania nzima isiwe ni option na kamwe isiwe entertained kwa namna yoyote..

Ni lazima mapambano yaendelee kuhakikisha mawakala wao wanaapishwa na wanajua mapema kabisa vituo vyao vya kwenda kulinda kura za Rais wetu Tundu Lissu..

Mwaka huu ni lazima kieleweke tu..!!
Utopolo mtupu, Anti-Pas hawezi kuwa Rais wa Watanzania. Kwa Sera za kuuza mashirika ya umma, kuacha kutoza kodi, kuigawa Tanzania kwenye kanda kwa mabeberu? . Imekula kwenu, watanzania wazalendo tunakwenda na JPM mpaka 2025
IMG_20201020_161433_488.jpg
 
FACT No. 3: Kwenye kampeni zote za field na za kisaikolojia kupitia propaganda ktk social & mainstreams medias hakuna ubishi kuwa Magufuli na CCM yake wamegaragazwa vibaya. Tundu Lissu anaongoza kwa goli 7 kwa
Mnao wabunge wa ngapi walio pita bila kupingwa!?.Wenzenu wanao 28 mpaka sasa, Chama cha Mbowe hovyo kabisa.
 
Mkong'oto upo pale pale. Mwenyekiti wako mpaka apate akili itakuwa 2040.Chama chenu oct 28 mnajiunga rasmi kwenye kundi la kina ADC, SAU, AFP kwisha habari yenu.
 
UTANGULIZI:

¶• Nianze kwa kutoa FACT CHECKS zifuatazo:

FACT No. 1; Ni wazi kuwa uchaguzi wa mwaka huu katika ngazi ya Urais atakuwa aidha Tundu Lissu (CHADEMA) ama John Magufuli (CCM) kuchaguliwa tena kuendelea..

FACT No. 2; Kwa Tanganyika katika nafasi ya Urais, CCM wameelekeza silaha na mikakati yao yote kwa Tundu Lissu na CHADEMA kuhakikisha hawapati kitu..

FACT No. 3: Kwenye kampeni zote za field na za kisaikolojia kupitia propaganda ktk social & mainstreams medias hakuna ubishi kuwa Magufuli na CCM yake wamegaragazwa vibaya. Tundu Lissu anaongoza kwa goli 7 kwa 0..!

FACT No. 4: Ipo vita moja iliyobaki ktk uchaguzi huu na ndiyo imeanza leo. Ni vita ya mawakala katika hatua NNE..

1. MOSI, Kuanzia kuapishwa..

2. MBILI, kupewa barua za utambulisho..

3. TATU, kujua vituo ambavyo wanakwenda kusimania (maana msimamizi wa uchaguzi ndiye anayetoa barua ya utambulisho ya wakala kwa msimamizi wa kituo)..

4. NNE, kupewa nakala ya fomu za matokeo ya kura ktk kila kituo..

Kila hatua ni vita..

Ukimaliza vita ya hatua ya kwanza, unaingia vita ya hatua ya pili, ya 3 hadi ya mwisho..!

Sasa hebu wanamageuzi tuwe na imani kuwa tutashinda vita ya kila hatua..

Tukubali pia kuwa lazima tu kutakuwa na majeruhi kwa maana maeneo mengine wasimamizi (DEDs) figisu figisu zao zitashinda na kufanikiwa kutowaapisha baadhi ya mawakala wa vyama vya upinzani hususani wa CHADEMA na ACT WAZALENDO kama tuvyoanza kuona kule CHATO..

NINI CHA KUFANYA?

1. CHADEMA na ACT WAZALENDO na vyama vingine vya upinzani vyenye nia ya ushindi wa kuiondoa CCM na Magufuli ziunde ushirika usio rasmi katika eneo hili la mawakala ndani ya vituo..

2. Kituo ambacho kwa sababu ziwazo zozote hakitakuwa na wakala wa CHADEMA ama ACT WAZALENDO, wakala wa CHAUMA ama TADEA ama ADC nk awe mlinzi wa kura za Tundu Lissu pia..

3. Wakala huyo katika kituo ambacho figisu za maDEDs zitafanya CHADEMA ikose wakala, basi fomu ya matokeo ya kura za kituo hicho hasa ya Urais, atakayepewa wakala asiye wa CHADEMA basi utaratibu uwekwe wa kuhakikisha CHADEMA wanaipata fomu hiyo maana wao ndiyo mgombea wao wa Urais anayekwenda kumshinda Magufuli wa CCM..

Hili linawezekana kabisa mkikaa vizuri..

4. CHADEMA wahakikishe kuwa wanavitambua vituo vyote ambavyo watafanyiwa figisu na mawakala wao kushindwa kuingia kwa sbb ziwazo zozote..

NB: Hata hivyo, hii ya kutoweka mawakala katika vituo vyote 81,151 Tanzania nzima isiwe ni option na kamwe isiwe entertained kwa namna yoyote..

Ni lazima mapambano yaendelee kuhakikisha mawakala wao wanaapishwa na wanajua mapema kabisa vituo vyao vya kwenda kulinda kura za Rais wetu Tundu Lissu..

Mwaka huu ni lazima kieleweke tu..!!
Ni yeye 28/10
 
Nasema jua lile litelemke mama (itikia)
Wapinzani watetereke sanaaa (itikia)
(Rudia chorus ×2)
 
JPM apewe kura zote za ndio kwasababu tunahitaji MAENDELEO kwa kazi kubwa.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
UTANGULIZI:

¶• Nianze kwa kutoa FACT CHECKS zifuatazo:

FACT No. 1; Ni wazi kuwa uchaguzi wa mwaka huu katika ngazi ya Urais atakuwa aidha Tundu Lissu (CHADEMA) ama John Magufuli (CCM) kuchaguliwa tena kuendelea..

FACT No. 2; Kwa Tanganyika katika nafasi ya Urais, CCM wameelekeza silaha na mikakati yao yote kwa Tundu Lissu na CHADEMA kuhakikisha hawapati kitu..

FACT No. 3: Kwenye kampeni zote za field na za kisaikolojia kupitia propaganda ktk social & mainstreams medias hakuna ubishi kuwa Magufuli na CCM yake wamegaragazwa vibaya. Tundu Lissu anaongoza kwa goli 7 kwa 0..!

FACT No. 4: Ipo vita moja iliyobaki ktk uchaguzi huu na ndiyo imeanza leo. Ni vita ya mawakala katika hatua NNE..

1. MOSI, Kuanzia kuapishwa..

2. MBILI, kupewa barua za utambulisho..

3. TATU, kujua vituo ambavyo wanakwenda kusimania (maana msimamizi wa uchaguzi ndiye anayetoa barua ya utambulisho ya wakala kwa msimamizi wa kituo)..

4. NNE, kupewa nakala ya fomu za matokeo ya kura ktk kila kituo..

Kila hatua ni vita..

Ukimaliza vita ya hatua ya kwanza, unaingia vita ya hatua ya pili, ya 3 hadi ya mwisho..!

Sasa hebu wanamageuzi tuwe na imani kuwa tutashinda vita ya kila hatua..

Tukubali pia kuwa lazima tu kutakuwa na majeruhi kwa maana maeneo mengine wasimamizi (DEDs) figisu figisu zao zitashinda na kufanikiwa kutowaapisha baadhi ya mawakala wa vyama vya upinzani hususani wa CHADEMA na ACT WAZALENDO kama tuvyoanza kuona kule CHATO..

NINI CHA KUFANYA?

1. CHADEMA na ACT WAZALENDO na vyama vingine vya upinzani vyenye nia ya ushindi wa kuiondoa CCM na Magufuli ziunde ushirika usio rasmi katika eneo hili la mawakala ndani ya vituo..

2. Kituo ambacho kwa sababu ziwazo zozote hakitakuwa na wakala wa CHADEMA ama ACT WAZALENDO, wakala wa CHAUMA ama TADEA ama ADC nk awe mlinzi wa kura za Tundu Lissu pia..

3. Wakala huyo katika kituo ambacho figisu za maDEDs zitafanya CHADEMA ikose wakala, basi fomu ya matokeo ya kura za kituo hicho hasa ya Urais, atakayepewa wakala asiye wa CHADEMA basi utaratibu uwekwe wa kuhakikisha CHADEMA wanaipata fomu hiyo maana wao ndiyo mgombea wao wa Urais anayekwenda kumshinda Magufuli wa CCM..

Hili linawezekana kabisa mkikaa vizuri..

4. CHADEMA wahakikishe kuwa wanavitambua vituo vyote ambavyo watafanyiwa figisu na mawakala wao kushindwa kuingia kwa sbb ziwazo zozote..

NB: Hata hivyo, hii ya kutoweka mawakala katika vituo vyote 81,151 Tanzania nzima isiwe ni option na kamwe isiwe entertained kwa namna yoyote..

Ni lazima mapambano yaendelee kuhakikisha mawakala wao wanaapishwa na wanajua mapema kabisa vituo vyao vya kwenda kulinda kura za Rais wetu Tundu Lissu..

Mwaka huu ni lazima kieleweke tu..!!

Ushauri bora sana,, ila machafuko ndio yatakuwa njia kubwa zaidi ya kurejesha nidhamu kwenye box la kura. Bila machafuko hizi figisu za kipuuzi, zitaendelea kuwa njia kuu ya ccm kubaki madarakani bila ridhaa ya wengi.
 
UTANGULIZI:

¶• Nianze kwa kutoa FACT CHECKS zifuatazo:

FACT No. 1; Ni wazi kuwa uchaguzi wa mwaka huu katika ngazi ya Urais atakuwa aidha Tundu Lissu (CHADEMA) ama John Magufuli (CCM) kuchaguliwa tena kuendelea..

FACT No. 2; Kwa Tanganyika katika nafasi ya Urais, CCM wameelekeza silaha na mikakati yao yote kwa Tundu Lissu na CHADEMA kuhakikisha hawapati kitu..

FACT No. 3: Kwenye kampeni zote za field na za kisaikolojia kupitia propaganda ktk social & mainstreams medias hakuna ubishi kuwa Magufuli na CCM yake wamegaragazwa vibaya. Tundu Lissu anaongoza kwa goli 7 kwa 0..!

FACT No. 4: Ipo vita moja iliyobaki ktk uchaguzi huu na ndiyo imeanza leo. Ni vita ya mawakala katika hatua NNE..

1. MOSI, Kuanzia kuapishwa..

2. MBILI, kupewa barua za utambulisho..

3. TATU, kujua vituo ambavyo wanakwenda kusimania (maana msimamizi wa uchaguzi ndiye anayetoa barua ya utambulisho ya wakala kwa msimamizi wa kituo)..

4. NNE, kupewa nakala ya fomu za matokeo ya kura ktk kila kituo..

Kila hatua ni vita..

Ukimaliza vita ya hatua ya kwanza, unaingia vita ya hatua ya pili, ya 3 hadi ya mwisho..!

Sasa hebu wanamageuzi tuwe na imani kuwa tutashinda vita ya kila hatua..

Tukubali pia kuwa lazima tu kutakuwa na majeruhi kwa maana maeneo mengine wasimamizi (DEDs) figisu figisu zao zitashinda na kufanikiwa kutowaapisha baadhi ya mawakala wa vyama vya upinzani hususani wa CHADEMA na ACT WAZALENDO kama tuvyoanza kuona kule CHATO..

NINI CHA KUFANYA?

1. CHADEMA na ACT WAZALENDO na vyama vingine vya upinzani vyenye nia ya ushindi wa kuiondoa CCM na Magufuli ziunde ushirika usio rasmi katika eneo hili la mawakala ndani ya vituo..

2. Kituo ambacho kwa sababu ziwazo zozote hakitakuwa na wakala wa CHADEMA ama ACT WAZALENDO, wakala wa CHAUMA ama TADEA ama ADC nk awe mlinzi wa kura za Tundu Lissu pia..

3. Wakala huyo katika kituo ambacho figisu za maDEDs zitafanya CHADEMA ikose wakala, basi fomu ya matokeo ya kura za kituo hicho hasa ya Urais, atakayepewa wakala asiye wa CHADEMA basi utaratibu uwekwe wa kuhakikisha CHADEMA wanaipata fomu hiyo maana wao ndiyo mgombea wao wa Urais anayekwenda kumshinda Magufuli wa CCM..

Hili linawezekana kabisa mkikaa vizuri..

4. CHADEMA wahakikishe kuwa wanavitambua vituo vyote ambavyo watafanyiwa figisu na mawakala wao kushindwa kuingia kwa sbb ziwazo zozote..

NB: Hata hivyo, hii ya kutoweka mawakala katika vituo vyote 81,151 Tanzania nzima isiwe ni option na kamwe isiwe entertained kwa namna yoyote..

Ni lazima mapambano yaendelee kuhakikisha mawakala wao wanaapishwa na wanajua mapema kabisa vituo vyao vya kwenda kulinda kura za Rais wetu Tundu Lissu..

Mwaka huu ni lazima kieleweke tu..!!
Itoshe tu kusema, hatuwezi kuendelea kama wanaotuongoza ni watu wasiostaarabika kiasi hiki!, si waaminifu, wezi, waongo, hawana uungwana hata chembe. Hizi tabia za hovyo za wakurugenzi zimeshsmiri kipindi hiki cha Magufuli.
 
34 Reactions
Reply
Back
Top Bottom