Uchaguzi 2020 Namna ya kumpigia kura Mgombea Urais Tundu Lissu

Amina, acha hao vibaraka wa fisiem wapigane asubuhi mpaka jioni lakini hawatakiwi. Tarehe 28/10 tunakwenda na Lisu, Raisi mwenye uwezo wa kiuongozi, maono na ana uwezo wa kutuunganisha na Dunia. Tz inaihitaji Dunia kwa maendeleo na ustawi wa wananchi kuliko Dunia inavyoihitaji Tz.
 
USHINDI WA KISHINDO
IMG_20201020_213934.jpg
 
Lissu angegombea ubunge ningempa kura yangu asubuhi tu Ila kwa ngazi ya urais hata Kama Angekuwa anashindana na kivuli, kura yangu ningekipatia kivuli.

NOTE: huu Ni mtazamo Wangu na simulazimishi mtu yeyote aufate.
sawa ndugu na utakuwa umewakomoa wanao kama sio wajukuu zako, upo vyema sana mwenyekiti wetu wa ccm nyambwela temeke
 
Back
Top Bottom