Mimi NAUFUATA!Lissu angegombea ubunge ningempa kura yangu asubuhi tu Ila kwa ngazi ya urais hata Kama Angekuwa anashindana na kivuli, kura yangu ningekipatia kivuli.
NOTE: huu Ni mtazamo Wangu na simulazimishi mtu yeyote aufate.
Ccm tumeshaandaa kura hewa lazima tushindeWafundishe wapiga kura namna ya kumpigia Kura mbeba maono Tundu Lissu. Sambaza video hii.
Ya pili na ya tatu zipo chumbani kwangu, vichinjio vimetunzwa kwa umakini mkubwa sana!Sawa sawa! Kura yangu anayo Tundu Lissu, bado kura 19,999,999 awe Rais mpya.
sawa ndugu na utakuwa umewakomoa wanao kama sio wajukuu zako, upo vyema sana mwenyekiti wetu wa ccm nyambwela temekeLissu angegombea ubunge ningempa kura yangu asubuhi tu Ila kwa ngazi ya urais hata Kama Angekuwa anashindana na kivuli, kura yangu ningekipatia kivuli.
NOTE: huu Ni mtazamo Wangu na simulazimishi mtu yeyote aufate.
Hii si ya kukosaWafundishe wapiga kura namna ya kumpigia Kura mbeba maono Tundu Lissu. Sambaza video hii.
Magufuli kawapa Barrick na Bomba la mafuta kawapa waingerezaWamiliki rasilimali mara ngapi hao mabeberu?sasa hivi hao mabeberu ndio wanaomiliki rasilimali Kwa kupewa baraka na CCM.
JPM 57% Lissu36% liilunba 16% engineer...............Sawa sawa! Kura yangu anayo Tundu Lissu, bado kura 19,999,999 awe Rais mpya.