msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Babu sea

    Msaada: Nitapata wapi vitabu vya muziki vya Lista Eliya?

    Ninamfahamu Lista kama mwanamuziki mkongwe wa Tanzania lakini hivi sasa anaishi Japan, anajihusisha pia katika shughuli za uandishi wa vitabu mbalimbali vya muziki. Ameeandika vitabu vinavyo husu maswala mbalimbali kama vile upigaji wa kinandaupigaji wa gitaa n.k Nimevitafuta sana hivyo vitabu...
  2. A

    Msaada kuhusu vocha zilizokwisha muda wake wa matumizi

    nina vocha kama za elfu kumi bahati mbaya zmefikia expire date bila kutambua so vipi naweza zifanya zitumike tena?
  3. Lager

    Msaada wa haraka meno yangu yanapukutika

    Madaktari hebu nisaidieni meno yangu yanapukutika sijui kwanini! Jino linapukutika tu mwishowe linakatika lenyewe. Nini tiba?
  4. optimist

    Najaribu ku install androids apps kama whatsapp, na google play hazikubali

    wakubwa poleni na majukumu nimekutana na shida moja nina simu moja ya kichina ( huawei honor 10 lite) najaribu ku install androids apps kama whatsapp, na google play hazikubali mwenye ufaham
  5. FRANCIS DA DON

    Bibi amuita Magufuli 'Mungu' baada ya kupewa msaada

    Kusema ukweli nimeona aibu kuiangali hii video, nimesoma tu heading kwenye video, maana ni aibu ilioje kuina na kusikia binadamu mwenzako akiitwa Mungu, nimeona aibu sana. Kwa wenye ujasiri wa kuangalia naomba muangali halafu mtuhadithie. Video ipo chini hapo.
  6. Parabora

    Msaada wenu kwenye hili la mfumo wa Ajira Portal

    Najaribu kufanya application kwa ajili ya ndugu yangu nafasi ya kazi ninayoapply PSRS lakini alikuwa na Qualification zaidi ya hizo zilizohitajika, nimepunguza wee lakini bado inagoma, ndugu zangu nyie mna ujuzi na hii system kuliko Mimi nijuzeni tatzo nini .wengine hatujawahi kuitumia hii na...
  7. T

    Msaada wa kisheria

    Mimi ni mfanyakazi wakati naajiriwa taarifa zangu nilijaza kwa usahihi katika mkataba wangu wa Ajira na stahiki zangu Kama likizo nilikuwa nalipwa kulingana na taarifa zilizopo katika mkataba wangu lakini baada ya miaka mitano mbele nililetewa document ambayo inaitwa "personal record form"...
  8. T

    Msaada wa kisheria kuhusu suala la mkataba

    Naomba msaada wa kisheria, kati ya mkataba wa ajira na personal data form ipi ina nguvu kisheria katika haki za mfanyakazi?
  9. T

    Fahamu kuhusu Kilimo cha Limao na Ndimu

    Je, maeneo gani nchi hii yanakubali zaidi hasa ndimu? Huchukua muda gani toka kupanda mapaka mavuno na garama zake ni kiasi gani kwa heka? Karibuni wadau.
  10. Miss Zomboko

    UN: Idadi ya watu wanaohitaji msaada duniani yaongezeka

    Umoja wa Mataifa umesema mmoja kati ya watu 45 duniani ambao ni sawa na milioni 168, watahitaji msaada wa kibinadamu ifikapo mwaka 2020. Kwa mujibu wa ripoti ya umoja huo idadi ya watu wanaohitaji msaada imeongezeka hadi milioni 22 katika kipindi cha mwaka uliopita kutokana na migogoro na...
  11. Architect E.M

    Msaada model gani ya Scania Mende ni nzuri?

    Habari za jioni wakuu, Nilikua naomba ushauri kuhusu model gani nzuri ya scania mende kwa matumizi ya kazi za ujenzi kama kubeba kifusi, kokoto na mchanga.. nimekua nikitumia scania 114 - 340 kwa miaka kama 8 sasa ni nzuri na haijanisumbua. Nina uhitaji wa kuagiza ingine. Lakini matoleo ya 114...
  12. Rajesi

    Naombeni msaada wa mawazo kuhusu kozi hizi

    Naombeni ushauri kati ya hizi kozi. Ni kozi ipi ambayo ipo marketable ukimaliza masomo: - Law - Journalism - Public administration - Social Work Naombeni ushauri wenu hapo wakuu.
  13. ikonongo2019

    Msaada kujua ni madini gani haya

    Wakubwa msaada wa kujua haya ni madini gani. Ninayo kama kilo moja hivi.
  14. R

    Msaada ni mara ya pili sasa mbegu za nyanya chungu hazioti

    Habari zenu, naombeni msaada tafadhali. Ni mara ya pili sasa, na pia mbegu za nyanya chungu hazioti jamani pakiti linakaribia kuisha hata mche mmoja sijapata! Vilevile na pilipili hoho zimegoma!! Naombeni mnisaidie nijue nakosea wapi ndugu zangu. Asanteni.
  15. impongo

    Jeshi la Polisi, ujambazi unavyoshamiri Chato raia wanakosa msaada

    Siku ya tarehe 2, August, 2016 nilikiwa katika mji wa Mganza wilaya ya Chato nilishuhudia mfanya Biashara akitekwa na kuibiwa pesa million nane 8 Tshs. Mfanya biashara huyo bwana Kamba Tassian alipigwa na kutekwa na kunyanganywa pesa baadae alienda kituo cha Police kutoa taarifa lakini hakuna...
Back
Top Bottom