HeyHabar za jion wakuu nmekumbwa na tatzo LA kutoka vijipu kwenye makalio yangu hadi inafikia wakati nikiendesha baiskel au nikikaa kW muda mrefu napata maumivu nifanye nn?
Hello mkuu nambiie
Habar za jion wakuu nmekumbwa na tatzo LA kutoka vijipu kwenye makalio yangu hadi inafikia wakati nikiendesha baiskel au nikikaa kW muda mrefu napata maumivu nifanye nn?
Kwa Bahat mbaya bado sijaend hospital
Hapna havipo karibu na haja kubwa ,Aisee Pole Sana Mkuu
Kama Vipo Sehem ya Haja kubwa definitely itakua Bawasiri na inatibika Vizuri tuu, Kinyume na hivyo hapo itakua Shida ingine hapo
.
.
Nenda hata Pharmacy they will help you
Kwa Bahat mbaya bado sijaend hospital
Sawa nashkuru kW ushauri