Nimemaliza kidato cha nne mwaka 2018 natafuta kazi yoyote ya halali

Joseph Mathew

New Member
Mar 8, 2020
2
0
Hello wana JF,

Mimi ni kijana nimemaliza form four 2018, natafuta kazi nina ujuzi wa kutumia computer, pia nafanya kazi yoyote YA HALALI , pia nafanya kazi yoyote inayohsu mambo ya computer.

Msaada wenu wana JF niko Dar Gongo la Mboto
 
Hello wana JF,

Mimi ni kijana nimemaliza form four 2018, natafuta kazi nina ujuzi wa kutumia computer, pia nafanya kazi yoyote YA HALALI , pia nafanya kazi yoyote inayohsu mambo ya computer.

Msaada wenu wana JF niko Dar Gongo la Mboto
umri wako?unaweza kufanya ukipatiwa kibarua mlandizi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom