Joseph Mathew
New Member
- Mar 8, 2020
- 2
- 0
Hello wana JF,
Mimi ni kijana nimemaliza form four 2018, natafuta kazi nina ujuzi wa kutumia computer, pia nafanya kazi yoyote YA HALALI , pia nafanya kazi yoyote inayohsu mambo ya computer.
Msaada wenu wana JF niko Dar Gongo la Mboto
Mimi ni kijana nimemaliza form four 2018, natafuta kazi nina ujuzi wa kutumia computer, pia nafanya kazi yoyote YA HALALI , pia nafanya kazi yoyote inayohsu mambo ya computer.
Msaada wenu wana JF niko Dar Gongo la Mboto