Msaada wa haraka tafadhali

Albizo

JF-Expert Member
Apr 1, 2012
284
208
Kuna kazi zimetangazwa na NMB lakini kila nikijaribu kulogin inani katalia pasword siikumbuki. Nikiweka email nikaenda kwa forgot pasword ili wanitumie link ya kujireset inanipa majibu haya:

Notice
SMTP Error: Could not authenticate.

Je, ni system yao inasumbua au? Naomba msaada nijue nini cha kufanya kabla ya dead line.
 
Smtp ni protocol,
Gateway ya hao jamaa itakuwa na tatizo kwahiyo usubir uwe unajaribu jaribu.
 
Hata kama atatumia computer haitafaa..
Ni website yao yawezakuwa wanaifanyia marekebisho au just technical errors kias kwamba protocol yao haiwez ku access kwasasa
Nashukuru mkuu. Hapa natumia computer inakataa. Alafu nilijaribu last week tena ikaniletea hadi link ya kuchange password nikaifatilia but ikanikatalia tena. Ngoja nisubirie kidogo.
 
Nashukuru mkuu. Hapa natumia computer inakataa. Alafu nilijaribu last week tena ikaniletea hadi link ya kuchange password nikaifatilia but ikanikatalia tena. Ngoja nisubirie kidogo.
Subir tu mkuu.mungy akutangulie upate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom