konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,666
- 8,501
Habari zenu wakuu.
Kwa wale wenye uelewa wa hili naomba mnifahamishe kama inawezekana.
Kuna hela kutoka Canada natakiwa nitumiwe. Mtumaji amejaribu kunitumia kupitia bank account yangu hapa nchini.
Hela kaituma toka tarehe 10, siku ya Jumanne lakini hela haikuweza kufika kwenye account yangu mpaka imerudi tena kwakwe.
Ameniambia "inaonekana kwa sasa Tanzania kuna matatizo sana kumtumia hela mtu". Jana na juzi nilienda bank kuwauliza shida ni nini, mbona hela imetumwa lakini hainifikii?
Majibu yao wanasema hakuna shida yoyote, Ila mimi nadhani kuna shida sehemu, huenda labda serikali imeweka masharti flani flani kuhusu kutumiwa hela kutoka overseas.
Mtumaji amesema option aliyonayo ni kuniandikia cheque na kuituma kwa njia ya air mail. Swali langu ni hili "Je inawezekana ku-deposit cheque kutoka nje ya nchi hapa nchini?"
Natanguliza shukrani zangu.
Kwa wale wenye uelewa wa hili naomba mnifahamishe kama inawezekana.
Kuna hela kutoka Canada natakiwa nitumiwe. Mtumaji amejaribu kunitumia kupitia bank account yangu hapa nchini.
Hela kaituma toka tarehe 10, siku ya Jumanne lakini hela haikuweza kufika kwenye account yangu mpaka imerudi tena kwakwe.
Ameniambia "inaonekana kwa sasa Tanzania kuna matatizo sana kumtumia hela mtu". Jana na juzi nilienda bank kuwauliza shida ni nini, mbona hela imetumwa lakini hainifikii?
Majibu yao wanasema hakuna shida yoyote, Ila mimi nadhani kuna shida sehemu, huenda labda serikali imeweka masharti flani flani kuhusu kutumiwa hela kutoka overseas.
Mtumaji amesema option aliyonayo ni kuniandikia cheque na kuituma kwa njia ya air mail. Swali langu ni hili "Je inawezekana ku-deposit cheque kutoka nje ya nchi hapa nchini?"
Natanguliza shukrani zangu.