msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kikoozi

    Ndugu wananiita mchawi wakati walilelewa na baba yangu mzazi

    Habari zenu ndugu zangu, Mimi ni kijana wa miaka 37 kwetu tumezaliwa 2 tu, ila kuna ndugu zangu kama wanne (4) walilelewa na baba yangu mzazi katika makuzi yao, baada ya baba yangu kunifukuza nyumbani miezi 5 sasa imepita kisa tu nilimbembeleza kujiunga na chama changu cha mapinduzi, vile vile...
  2. BLUE BALAA

    Wachumi naomba msaada kuhusu analysis ya mzee Dewji juu ya deni la Taifa

    Nataka kufanya Analysis ya mzee Dewji alivyokuwa anaongea kuhusu deni letu la Taifa in comparison to USA jana wakati wa kongamano la dini pale Dodoma. Akasema USA inadaiwa mara 2o ya deni letu so nothing should alarm and if need be tukope zaidi. I know there is relation between debt - ratio to...
  3. K

    Naomba msaada wa tatizo la maumivu makali ya mkono

    Natumai wazima humu ndani, Naomba ushauri, mama ana maumivu makali hasa usiku ya mkono mmoja wa kulia mpaka begani. Tulienda hospitali kupiga xray hakuna tatizo, tulipewa dawa za kuchuwa tu, ila naona hali haibadiliki, tumuone mtaalam wa nini?
  4. M

    Naomba Msaada wa Ushauri wenu kuhusu matokeo haya

    Kama Ambavyo kichwa Cha habari hapo juu, Nimehitimu kidato Cha sita mwake huu(2020). Nilisoma PCB na nimepata DDD Nina two ya 12, Je naweza kupata bachelor ya Medical Laboratory pale MUHIMBILI???
  5. Madish Installers

    Msaada: Naomba kujuzwa zilipo Ofisi za TAKUKURU

    Habari wanajamii, Msaada mwenye kujua Ofisi za TAKUKURU ama namba ya simu kwa Dar, muhitaji anaishi mbezi ya kimara hivyo kama zipo za karibu na yeye itakuwa vizuri zaidi! Kwa niaba yake natanguliza shukrani!
  6. albab

    Msaada majiko yanayotumia pumba za mpunga au maranda ya mbao

    Waungwa nawasalimu. Ningependa kuulizia haya majiko yanayotumia pumba za mpunga/maranda ya mbao ambayo hutumiwa sana na wachoma chips hasa maeneo ya DAR... Niliyaona mwaka 2017 Ila kwa bahati mbaya huku mkoani nilipo sijayaona kabisa na gharama za mkaa ni kubwa kidogo.. Ningependa kujuzwa ...
  7. Mlalamikaji daily

    Naombeni msaada wa haraka, NMB wamenikalia kooni

    Wandugu poleni na majukumu, mwaka huu mwezi wa 2 nilienda kuwapelekea deni la loarn board walinunue na kwa kuwa nilikua na mkopo nao hao NMB wakanipigia mahesabu ya jumla kuwa pamoja na kununua hilo deni na kutoa deni lao watanipa jumla ya Tsh 5,660,000 nikasema poa tu kwakuwa nilikua na...
  8. Mockingbird

    Wataalamu naomba msaada wenu haraka

    Nina PC HP ina tatizo la kioo pia window yake inasumbua 1) Naweza kutoa HDD (nishaitoa) nikaweka kwenye Pc nyingine halafu nikInstall window kwenye hiyo HDD, baadae nikairudisha kwenye hiyo PC Window ikafanya kazi? if yes, How? 2) Nawezaje kutumia window iliyopo kwenye exteranal bila kuathiri...
  9. N

    Msaada kisima changu kimejaa chura

    Wana JF ninapoishi mimi sina access na maji ya bomba ambayo unalipia bili kwahiyo nimeamua kuchimba kisima na maji nimepata tatizo vyura wamegeuza ndio makazi yao wapo wengi hadi kero, sasa kuna madhara yoyote kutumia maji ambayo vyura wanaishi humo? Natumia kuoga, kufulia na kuoshea vyombo...
  10. A

    Je, ni kweli flyovers na ndege zetu hazina msaada wowote kwa mwananchi anayeishi Nanyamba au Kyabakari?

    Salamu kwenu, Kumekuwa na kelele nyingi kuwa ndege zetu hazina maana yoyote kwa mwananchi wa kawaida. Watu wanaenda mbali zaidi kuhoji ikiwa flyovers za Dar es Salaam zina umuhimu wowote kwa watanzania waishio vijijini, mikoani huko. Ukiangalia hizi hoja, unapata picha mbili. Ya kwanza ni kuwa...
  11. U

    Naomba kuelekezwa kusoma mita za maji

    Ndugu wanaJF, Ninaomba mwenye ujuzi wa kusoma mita za maji anijuze. Yangu imeandika 13 mita za ujazo! Hivi gharama kwa mita moja ya ujazo ni shilingi ngapi? NINAOMBA MSAADA WENU WADAU
  12. Mtini

    Msaada, wapi nitapata vifungashio vya mifuko ya plastic vitakavyokuwa na lebo yangu

    Habari wadau, natambua kuwa mifuko ya plastic imepigwa marufuku kisheria ila ya kutumia kwaajili ya vifungashio imeruhusiwa. Naomba msaada wa kujua kiwanda kinachoprint mifuko ya plastic hasa kwa sisi wajasiriamali wadogo. Natanguliuza shukrani kwa michango yenu
  13. B

    Msaada tafadhali: Popo wamehamia kwenye nyumba yangu

    Nimejenga kijijini kwangu, kuna vichaka vimenizunguka ambako ni makazi ya ndege na baadhi ya wanyama,wakiwemo popo. Tatizo ni kwamba popo wengi wanaishi juu ya dari ya nyumba. Usiku ni makelele,wanachafua dari kwa vinyesi na mikojo. Nilijaribu kumpandisha kijana darini mchana akiwa amefunga...
  14. R

    Naomba msaada kujua maandishi haya yana maana gani

    Habari wakuu, Huu uzi nilitaka kuuweka kwenye jukwaa la sayansi na teknolojia lakini nimeona huenda kuna watu ambao hawatembelei kule na wanaweza wakawa na msaada. Kwa kweli ni kama muujiza tu. Mimi nina kawaida ya kutembea na note book au karatasi na kalamu muda wote ili nikiwa na chochote...
  15. L

    Ninahisi nimebugi, nataka tuandikishiane nimpe milioni 5 ya msingi. Anipe mwanangu atakapofikisha umri

    Habari za asubuhi, wanajamiiforums. Niko hapa kuomba msaada kwa haya yanayonisibu. Mimi ni kijana wa umri wa miaka30 kamili. Ni mwajiriwa serikalini. Niko hapa kuwataka msaada wa kimawazo kwa hali ninayopitia ambapo naona kama kuna kitu hakiko sawa kwangu. Niliwahi kuishi kwenye ndoa kwa...
  16. excel

    Nina Shahada ya Logistics and Transport Management, natafuta kazi

    Habari JF, Mimi ni kijana mwenye elimu ya Shahada ya Logistics and Transport Management Nimependa kuja mbele zenu kuomba connection ya kazi katika Field za logistics and Transport management. Naweza kufanya kazi katika field za: - Warehousing and Stores Administration - Inventory...
  17. mama D

    Wenye ujuzi au ushauri kuhusu kurekebisha paa lililoezekwa vibaya naomba msaada

    Habari ya Jumapili wapendwa Naomba ushauri kama kuna wajuzi wa kurekebisha paa la nyumba iliyopauliwa vibaya na kupelekea baadhi ya maeneo kuvuja. Nawakilisha🙏
  18. Ndengaso

    Msaada Muongozo wa namna ya kununua ardhi ambayo tayari ipo kwenye process ya kupimwa

    Wataalamu naomba msaada wenu, kuna Ardhi nataka kununua, muuzaji tayari alishalipia kwaajili ya upimaji na usajili lakini wapimaji bado hawajafika kwa ajili ya upimaji, je ni namna gani bora ya kuweza kununua kiwanja hiki ili kuepuka migogoro ya umiliki ambayo inaweza kuja kujitokeza baadae?
  19. R

    Msaada tafadhali: NACTE watafungua lini maombi ya kujiunga na vyuo vya kati ukiacha vya Afya?

    Mpaka sasa maombi ya vyuo yaliyofunguliwa ni kwa vyo vya afya. Je, vyuo vingine apart from Afya maombi yanafunguliwa lini? Mwenye taarifa anijuze. NACTE tunaomba majibu!
  20. Superleta

    Msaada: Nimeibiwa simu

    Nimeibiwa simu hapa nahisi kuchanganyikiwa, natmia kisim kizito kuandika hapa inaskrach balaa nisameheni kwa mwandiko,nahisi nimechanganyikiwa nifanyeje niiipate tena simu yangu? Nimeibiwa simu wakati ambao nimefulia maana cm yng ndo ilikua km jembe kwangu ndo ilikua inanilisha na kuniweka...
Back
Top Bottom