msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Moto Ulao

    JamiiForums Tanzania GE2020 Huenda Askofu Gwajima akawa ni msaada mkubwa kwa nchi yetu

    Tukiondoa itikadi za vyama na ushabiki usio na maana sana hasa kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, tujikite sasa kuangalia msaada wa mtu binafsi kwa jamii husika. Askofu Gwajima ambaye ni kiongozi wa kiroho upande wa Wakristo na mgombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM anaweza kuwa msaada mkubwa...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye biashara ya nyanya

    Habari wana Jf, Nilikuwa nahitaji kufanya biashara ya nyanya ninunue kwa wakulima mashambani alafu nije kuuza kwenye masoko Dar. Nilikuwa naomba. 1. Ushauri au muongozo kwa mwenye uzoefu na biashara hii inakuwaje na inafanywajwe. 2. Connection za wakulima wa zao hili. 3. Connection za masoko...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu kupata copy ya kitambulisho cha NIDA

    Nawezaje pata soft copy ya kitambulisho changu cha NIDA maana hii huduma naona kama imesitishwa mtandaoni. Je, nikienda kwenye ofisi za NIDA wilayani naweza patiwa hii kitu maana ninaihitaji sana kwa sasa.
  4. U

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada katika hili

    Miaka 3 iliyopita nilipata ufadhili wa kusomeshwa huko Ulaya! Kabla sijaenda mwajiri alinitaka nimsainie mkataba kuwa nitakaporejea nitamtumikia kwa miaka mitatu kabla ya kuniruhusu nifanye mambo mengine! Ajabu nimerudi nimekuta yeye anadai nilisaini bond ya miaka mitano!Naombeni ufafanuzi...
  5. Escotter20

    JamiiForums Tanzania Msaada katika hili wakubwa

    shakamooni wakubwa zangu, poleni na majukumu, Mimi mdogo wenu kutokana na wenge la matokeo ya mtihani wa taifa f6 2020 nilipata kuomba moja ya chuo cha diploma hapa nchini, kwa bahati nzuri nimepata kuchaguliwa lakini matokeo yangu ya advance yananiruhusu kwenda chuo kikuu na tayari nimesha...
  6. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kipanya ana ujumbe gani leo?

  7. Shark

    JamiiForums Tanzania Msaada: TV yangu imezimika ghafla

    Kwema Wakuu, TV Yangu imezima tu Ghafla, na haiwaki kwa button yake wala kwa remote. Aina ni Samsung UA46EH5000 . Nimewaza sijui nipeleke kwa fundi gani maana mafundi wa mtaani nao hawaaminiki. Wanaweza kua sio wataalamu sana wakaishia kuongezea Ugonjwa. Labda kuna member humu anaemjua fundi...
  8. 2

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wa connection ya kazi kwenye Bomba la Mafuta

    Habarini ndugu zangu, Naombeni connection ya kazi kwenye mradi mpya wa bomba la mafuta linalotoka Uganda kuja Tanga-Tanzania, elimu yangu ni Degree ya Information Technology ila kazi zozote zile nitafanya hata kama ni nje ya fani yangu. Mwenye connection naombeni anisaidie ndugu zangu nipo...
  9. Superbug

    JamiiForums Tanzania Familia ya Ben na Azory unganeni muombe msaada wa Interpol kujua hatma ya ndugu zenu

    Hivi hizi familia zina hali gani mpaka sasa, je matumbo yaliyowazaa watu hawa na maziwa yaliyowanyonyesha yanajisikia vibaya kwa kiwango gani? Najaribu kuvaa viatu vya mama yake Ben na mke wa Azory. Nishauri utawala huu ukiondoka madarakani ndugu wote waliopotelewa na ndugu zao wajiorodheshe...
  10. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Msaada: kuna fundi anadai nilipe 70k kwa ajili ya Oxygen sensor ya 1JZ engine, eti ndio bei yake hiyo?

    Nikadude kanacho fanana kama plug ya piki piki tu, kanafungwa kwenye manifold ya exhaust, eti ndio 70k, ni kweli eti?
  11. Replica

    JamiiForums Tanzania Pemba: Vyama sita vya siasa vyalaani vurugu za Alfajiri ya leo, waomba msaada wa IGP baada ya wananchi kukatwa mapanga

    Mgombea Urais Zanzibar, Ameir Hassan Ameir(Demokrasia, makini): Katika barua yetu ya tarehe 15 kumuomba msajili wa vyama vya siasa pamoja na IGP, tulimuelezea kwamba, kuna baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa hapa nchini kwetu Zanzibar, wameanza tabia ya kuanza kuwashajihisha wanachama wao au...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Msaada Shule ya Sekondari inayofundisha michezo

    Wakuu ninaomba mtu anayefahamu Shule ya Sekondari ya Bweni inayofundisha michezo pia iwe nzuri kwenye taaluma. Kijana wangu anamaliza Darasa la Saba na anapenda sana michezo na anacheza Mpira wa Miguu na Kikapu. Shule iwe kati ya Dar, Morogoro, Pwani, Iringa, Mbeya na Tanga na ada isizidi...
  13. O

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa Hisabati msaada wenu unahitajika.

    Swali la shule ya msingi nimeulizwa na binti yangu nikachemka. Naombeni msaada wenu. Swali. The average of three numbers is 48.The average of two of them is 45.Find the third number.
  14. Damidizzo

    JamiiForums Tanzania Msaada tutani

    Habari waungwana. Hivi wadau shule za elimu maalum ndo usajili wake umeanza na EM. *****?
  15. Britmwandri Sr

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kuna msamaha wa kibali cha kazi (work permit exemption) kwa mgeni aliyeolewa Tanzania?

    Ninatanguliza heshima na shukurani. Kwa mtu aliyeolewa Tanzania kwa zaidi ya miaka 10 na kuwa na watoto na mumewe, ikiwa hajafanya taratibu za uraia anaweza kupata cheti cha msamaha wa kibali cha kazi? Iwapo anaweza kupata msamaha ninaomba kujua ni taratibu zipi za kufuata. Asante.
  16. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania Msaada: tafadhali nimefunguwa 'blender" nimeshindwa kuifunga

    Habari zenu humu Wakuu Msaada tafadhali kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimefungua ila sehemu kuirudisha pananishinda mpaka nataka kukasirika sijui nakosea wapi? 😞
  17. C

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye Referral Visa

    Habari wakuu, Kuna mteja wangu anataka kuja kutembea Tanzania. Sasa kwa utaifa wake anatakiwa awe na referral Visa. Nilikuwa naomba mwenye kujua anipe maelezo nini kinahitajika kuwekwa wazi kwenye invitation letter kutoka kwa mtembeaji na nini niweke wazi kutoka kwangu kama mwenye kampuni...
  18. Rajabu Quimberlry

    JamiiForums Tanzania "Utapeli kwa njia ya mitandao" (akili yako ndiyo msaada wako dhidi ya utapeli)

    Habari ndugu zangu watanzania, Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu Zanzibar,naitwa Rajabu Suleiman. Nimekuwa nikisikitishwa namna watu ,binadamu wenzangu wanavyotokwa jasho wakitafta kipato, wantanzania wenzangu wanavyo tiririkwa na jasho lao kutafta mahitaji yao kwa nguvu zao na kwa njia...
  19. The Boldly

    JamiiForums Tanzania Msaada swali la hisabati wakuu...

    Swali la 25
  20. Dunamist

    JamiiForums Tanzania Msaada: Alarm ya gari yangu inalia non stop (bila kuacha)

    Msaada wakuu Gari inapiga alarm kama kuna mlango uko wazi. Ila milango yote imefungwa. Nikiiwasha kwenye dash body inaonesha mlango uko wazi. Nikiwasha taa hiyo alama kwenye dashboard inatoka.
Back
Top Bottom