Kuna rafiki yangu tunaishi nae Kibamba, ni mfanya biashara wa kununua mashamba na kuuza. Hivi karibuni aliingia kwy matatizo baada ya kununua eneo akaamua kulikatakata viwanja, aliuza viwanja kwa wateja Kama watatu hivi, ndipo ilipokuja kubainika eneo Hilo kuwa Lina mgogoro wa kifamilia, ili...