Dah hii mifumo mingine itaendelea kuwainua walio juu na kuwadidimiza walio chini.tcra wameamua mkuu kufanya kazi ya tra hapo vyote utatakiwa kuvilipia
Mkuu wewe jilipue weka kitu online ila usiweke taarifa zako binafsi ikifika wakati channel imekuwa maarufu ndio unaenda kwa hao majambazi wa tcra kuisajiliDah hii mifumo mingine itaendelea kuwainua walio juu na kuwadidimiza walio chini.
all in all hatuna namna, wacha tuishi wanavyotaka.
Tanzania nchi yangu, Nakupenda kwa moyo woteeeee!
Hiyo Channel yako na blog inaingiza kiasi gani mpaka ukatoe kiasi chote hicho Kwasababu ya leseni.Wataalamu naomba kujua, Kama una YouTube Channel na Blog ambayo maudhui yake yanafanana na Channel. Je unatakiwa kusajili leseni mbili tofauti? au Ni leseni moja tu inajitosheleza?
Maana leseni kwa mwaka ni Tsh 500,000 - 1,000,000
Mkuu. Blog na YouTube channel ni biashara mbili tofauti. Kila moja ina kodi yake kwa mwaka.Wataalamu naomba kujua, Kama una YouTube Channel na Blog ambayo maudhui yake yanafanana na Channel. Je unatakiwa kusajili leseni mbili tofauti? au Ni leseni moja tu inajitosheleza?
Maana leseni kwa mwaka ni Tsh 500,000 - 1,000,000