msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Msaada soft copy ya Kitabu Cha Essentials of Economics 1 Form Five & Six (Ambrose Othiambo)

    Kama kichwa kinavyojieleza ninaomba MSAADA wa kitabu tajwa hapo juu kwa yeyote mwenye nacho in soft copy. Mwandishi ni Mwl. Ambrose Odhiambo wa Bagamoyo.
  2. R

    Msaada wa simu kufuta majina

    Simu inafuta majina (saved names). Je, hii inasababishwa na nini?
  3. R

    Msaada utengenezaji sabuni za mche Arusha

    Habari wakuu. Naomba yeyote mwenye biashara ya kutengeneza sabuni za mche hapa Arusha tuwasiliane anipe ujuzi. Kama upo Arusha au una contact za mtu aliye Arusha naomba msaada wako. Natanguliza shukrani.
  4. J

    Msaada: Mhasibu anayeweza kufanya kazi bila kusimamiwa anatafuta ajira

    Habari zenu wanajukwaa humu ndani Kuna watu wema sana Mimi nimefanikiwa kupitia jukwaa hili hili 🙏🙏🙏 Sasa Leo nimekuja na ombi jingine 😭 Kama wahitaji muhasibu anaeweza kazi bila kusimamiwa Kama kuandaa return za mwezi na kazi zote zihusizo uhasibu Basi tunaomba Sana ajira Kwan Kaka yangu...
  5. Msaada wa modem na router connection problem

    Habari wakuu. Nina changamoto kwenye suala la connection ya internet kwenye computer nahitaji msaada wa anaeweza kujua jinsi ya kusolve hili tatizo. Pc yangu ni DELL ina window 10, nilichange window siku ya juma tatu (25-01-2020) sababu window 10 ya mwanzo nilokua nayo ilikua ni Japanese...
  6. M

    Msaada tafadhari nakatwa makato na Chama cha Walimu Tanzania wakati sio mwanachama wao

    Jamani pesa yenyewe dongo ila CWT tena wananikata wakati mimi nipo chama kingine jamaani tunakufa na huyu cwt msaada ndugu rais utusaidie afisa utumishi wanatunyonya wakishirikiana na ofisi ya cwt
  7. 2

    Naomba msaada kwa anayesoma Chuo cha St. Francis - Ifakara (MD)

    Karibuni kwa msaada
  8. M

    Naomba kujuzwa gharama za kuweka Gypsum katika nyumba

    Habarini wadau, Kama mada ilivyojieleza. Naomba kujua kwa nyumba yenye sebule, dining, jiko, vyumba viwili na master. Kwa makadirio inaweza ikacost shilingi ngapi kuiweka Gypsum. Na ni Gypsam board gani nzuri na cost ni shilling ngapi? Natanguliza shukran.
  9. M

    Naomba msaada wa haraka wadau

    Ninayo Toyota Spacio New Model, ni cc 1490 ya mwaka 2004, ingine 1nz-fe. Kwa mwenye ujuzi naomba kujua hii gari inaingia lita ngapi za transmission fluid. Naomba msaada katika ili wadau ili nisije nikaua gear box ya gari yangu, mafundi wa mtaani wananichanganya sana aisee.
  10. Msaada: Android TV imekwama (stuck)

    Wakuu habari, Naomba msaada wenu, nina TV aina ya SOLSTAR 55" ambayo ni android. TV imeacha ku respond kwenye remote na hata kwa buttons za kawaida. Hapa ndipo iliyokwama, yaani hata kuizima na kuwasha inarudi hapo hapo. King'amuzi ninasoma bila shida. Kwenye kona kuna alama nyekundu ambayo...
  11. Msaada wa mawasiliano ya University of Iringa

    Habarini wanajamvi Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kwa muda mrefu sasa najaribu kufanya mawasiliano bila mafanikio kwani namba zao hazipokelewi na email address haijibiwi. Kama kuna namna nyingine ya mawasiliano naomba msaada.
  12. Msaada katika tatizo hili la PayPal katika kulink Kadi

    Nimepata changamoto ya kushindwa kuunganisha Kadi yangu ya Airtel Master card na Paypal. Haswa eneo la ukomo wa tarehe. Hitilafu ninazokutana nazo kama kwenye picha ifuatavyo:
  13. T

    Msaada wa jinsi ya kukaanga karanga

    Hello, wakuu naomba msaada wa jinsi ya kukaanga karanga kwa ajili ya kuuza. Je, naweza tumia microwave katika kukaangia karanga au je, nitumie nini katika kukaanga karanga? Msaada tafadhali
  14. M

    Naitaji Msaada :number series

    deleted
  15. Msaada: PC yangu inazima ghafla baada ya kuchemka sana

    Habari, Husika na kichwa cha habari kama kinavojieleza. Tatizo hili limeanza baada ya kuweka window 10 pro kutoka window 8 pro. Natumai nitapata msaada.
  16. Naomba msaada kuhusu Expression of interest

    Hello everyone! Naomba msaada wa kupata sample/template ya 'expression of interest' kwa ajili ya individual consultants. Kuna sehemu nataka kupeleka maombi ya project management so wanachotaka ni expression of interest na mimi sijawai jaza hicho kitu. Hawataki application letter. Nikipata...
  17. J

    Natafuta ajira, nina Diploma ya Uhasibu

    Mimi Ni binti wa miaka 26 jamani nipo mbele zenu kuomba msaada wa ajira elimu yangu diploma ya uhasibu naishi Kibaha pwani mkoa wowote nipo tayar kufanya 0628882267. Asanteni.
  18. MSAADA: Mabati ya 'reject' yamekufikisha wapi baada ya muda gani?

    Salaam wakuu, Ninataka niezeke kwa mabati yanayofahamika kama reject, nimetembelea wanapouza nimeona ni mapya kabisa hayana tofauti kubwa na yale ya madukani ambayo siyo reject. Kuna mtu ameshawahi kuyatumia haya mabati au anafahamu mtu aliyewahi kuyatumia na hali yake ikoje mpaka sasa kwenye...
  19. Waliopata mafanikio na Adsense, tunaomba ushuhuda na ushauri wenu

    Wakuu kwema? Poleni na mihangaiko ya maisha pamoja na Ups and Down za January. Mada ya uzi wangu ni kama kichwa kinavyojieleza juu. Kwa wafuatiliaji wazuri wa JF na mitandao mingine duniani kwenye habari za Technology kumekuwepo na wimbi kubwa la watu wakisema wanatengeneza pesa nzuri kwa Ads...
  20. Msaada kuhusu hatua za kufungua biashara

    Wakuu nitaenda haraka kwenye point Nilikua nahitaji kujua hatua za kufungua biashara ndogo tu ya ujasiriamali, nimepata kaeneo kando kando ya barabara. kuna mtu anaweza kunipa hatua zote za kufata mpaka kupata kubali? Nilikua naomba kama mtu akieleza hatua basi aeleze in detail kidogo ili niweze...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…