Obi Wan JF-Expert Member Aug 21, 2019 1,010 2,252 Apr 28, 2021 #1 Habari zenu wakuu. Naomba kujua sehemu gani hapa Dar es salaam naweza kupata ribbon za kwenye typewriter maana nimezunguka katika stationary kadhaa sijapata hizi vitu.
Habari zenu wakuu. Naomba kujua sehemu gani hapa Dar es salaam naweza kupata ribbon za kwenye typewriter maana nimezunguka katika stationary kadhaa sijapata hizi vitu.
Jorge WIP JF-Expert Member Jul 12, 2018 3,567 5,288 Apr 29, 2021 #2 Samahani nko nje ya maada, Hivi typewriter zipo naweza nkapata na mm moja maana leo nlikuwa nawaza iko kitu
Samahani nko nje ya maada, Hivi typewriter zipo naweza nkapata na mm moja maana leo nlikuwa nawaza iko kitu
Obi Wan JF-Expert Member Aug 21, 2019 1,010 2,252 Apr 30, 2021 Thread starter #3 Super Assassin said: Samahani nko nje ya maada, Hivi typewriter zipo naweza nkapata na mm moja maana leo nlikuwa nawaza iko kitu Click to expand... Zipo ila kuzipata mpaka kwenye taasisi maana soko lake limeshakufa.
Super Assassin said: Samahani nko nje ya maada, Hivi typewriter zipo naweza nkapata na mm moja maana leo nlikuwa nawaza iko kitu Click to expand... Zipo ila kuzipata mpaka kwenye taasisi maana soko lake limeshakufa.