Kuna siku nilikutana na mkwamo ambao niliripoti hapa baada ya kutaka kununua kiwanja Unguja nikazuiliwa kisa mimi si Mkaazi wa nchi ya Zanzibar.
Leo nilikuwa Matombo ama kwa hakika uhamiaji ni kama wamelala maana raia wa nchi ya Zanzibar wamejaa na wanamiliki ardhi.
Tangu lini raia wa kigeni...
Waziri Mhagama Aagiza Huduma za Kijamii Zilizoathiriwa na Mafuriko Morogoro Zirejeshwe
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uraribu Mhe. Jenista Mhagama ameagiza kurejeshwa kwa huduma zote za kijamii zilizoharibiwa na maji ya mvua kubwa iliyonyesha Januari 25 2024 Manispaa ya...
Wakuu, tujuzane huko ulipo hali ikoje kwa picha na video, na kama kuna sehemu ina changamoto toa taarifa haraka kwa mamlaka husika kuepusha athari kubwa.
Bila kusahau, tuchukue tahadhari kipindi hiki chote cha mvua.
Mzazi, kama mtoto wako anasoma mbali na miundombinu ni mibovu ni bora...
barabara
dar
eneo
hali
haya
kubwa
maalum
madhara
maeneo
mafuriko
maji
mamlaka
matukio
mbalimbali
mikoani
mjini
morogoro
mvua
mvua kubwa
mvua za el nino
nyingine
picha
tahadhari
tarehe
update
uzi maalum
video
zanzibar
Ofisa Afya Manispaa ya Morogoro, Ndimile Kilatu amesema maofisa wa idara hiyo walifika eneo la Tubuyu B, Morogoro kufutilia chanzo cha mapovu katika korongo linalopitisha maji wakati wa mua na kuyapeleka Mto Ngerengere na kubaini ni malighafi ya kutengenezea sababu, iliyomwagika Januari 17...
Report ya utapeli mitandaoni iliyotolewa na TCRA inaonyesha Rukwa na Morogoro wana matapeli wengi sana wa mitandaoni.
Inakuaje mkoa ambao una watu wachache kuliko DSM unakua na matapeli wengi namna hio, na sio mara ya kwanza kumekua na report hata za nyuma zinaonyesha matapeli ni wengi sana...
Inadaiwa kuwa kuna mawingu yamedondoka huko Morogoro kutokana na mvua kubwa zinazonyesha.
Wataalam, imekaaje hii?
Video ikionesha kile kinachodaiwa kuwa ni Mawingu yaliyodondoka, Morogoro
Habari wakuu,
Natafuta shamba kubwa ambalo limeshawai kulimwa au tambarare ambalo litakuwa rahisi kulimwa kwa mikoa niliyo orodhesha hapo juu.
Siitaji shamba ambalo lina miti maana kuondoa miti ni gharama sana.
Natafuta kwanzia heka 100 kwenda juu.
Asante.
Hii barabara ni muhimu sana kwasababu inayotumiwa sana kuingia na kutoka Dar es Salaam, ni barabara ambayo iko busy muda wote ikipitisha magari ya kutosha huku pia watembea kwa miguu nao wakiwa wengi sana.
Mara chache sana huwa natumia hii barabara nikiwa na gari binafsi au gari la umma, huwa...
Muda na Nguvu za Kumuonyesha Mbwembwe za Kishamba za Kimedani Adui yako Genius wa Afrika upo ila wa Kutumia Akili Kubwa ya Kuhifadhi Maji mengi yanayozagaa Mkoani Morogoro kutokana na Mvua na Mafuriko ili yaje kuwa Msaada kwa Wakulima Kipindi cha Ukame hatuna.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata Watu wanne ambao ni Ramadhani Mdoe (30) Mkazi wa Msamvu akiwa na wenzake watatu wakiwa wanatengeneza na kusambaza pombe kali feki katika kiwanda kisichosajiliwa (kiwanda bubu) kilichopo Mtaa wa Tushikamane Kata ya Lukobe Manispaa ya Morogoro...
Kipindi cha Ali Hassan Mwinyi, Aga Khan alikuja nchini kwa mara ya kwanza baada ya kutokanyaga ardhi ya Tanzania kwa miaka 20. Kwa maneno ya Mohamed Said Aga Khan aliitisha mkutano wa Waislamu ambao una mchanganyiko wa BAKWATA na wawakilishi wa iliyokuwa EAMWS. Na kwenye mkutano huo HAKUKUWA na...
Vituo vya Mafuta vinajengwa kila sehemu hadi kwenye makazi ya watu. Kwanini Serikali inatoa vibali kwa sehemu hatarishi?
Kuna vituo vingi sana vya mafuta vinajengwa katika maeneo hatarishi kwa jamii na Serikali sijui inaridhia ujenzi huu kwa namna gani? Sijui kwanini haifikirii?
Nakumbuka...
SI VIBAYA KUKUMBUSHANA
KKUMEKUWANA BAADHI YA MALALAMIKO HUKO NYUMA MADHARA YANAPOTOKEA WAATHIRIKA KUTOPATA MISAADA WANAYOPEWA
VYEM.A TUKIELEKEA CHRISTMAS TUKAMKUMBUKA MUNGU NA KUWA NA HOFU NAE
TUNAAMINI WANAOHUSIKA KUPOKEA WATAPELEKA MISSADA SEHEMU HUSIKA YA WAATHIRIWA BILA KUWA NA UPENDELEOO...
Habari za uzima ndugu zangu, ndio tunaumaliza mwaka huu kwa kishindo, baada ya kujichanga ndani ya mwaka huu, nimetenga bajeti ya Tsh. laki 5 kwaajili ya kubadilisha maandhari na kuatafakari mambo mapya kwa mwaka ujao wa 2024.
Baada ya kutafuakari kwa kina nimeona niende Morogoro (wanasema mji...
Mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo Desemba 5, 2023 imesababisha mafuriko katika maeneo ya Rudewa ambayo ni Kata, Wilani Kilosa katika Mkoa wa Morogoro.
Nyumba kadhaa zimeanguka na baadhi ya mali zimeharibiwa kutokana na mafuriko hayo.
Kwa sasa mvua imekatika lakini maji yanaendelea...
Kama Unaishi Morogoro mjini naomba msaada wako wa hali na mali.
Kuna tangazo la nyumba nimelipost Jana watu wengi wanunuzi wanahitaji Picha, lakini ubaya ni kwamba picha zinashindwa kupatikana kutokana na watu kukosa simu zenye ubora...
Salam wakuu.
Hii special kwa wakazi wa Dar na Pwani.
Najua mnakuaga busy sana, sana na kuna muda mnakosa ata muda wa kupumzisha akili na mwili, sababu ya muda na kipato kwa wengine.
Kuna hii Hiking Day trip ya kwenda Morogoro na kurudi, unaweza have some fun na uka relax sana mwili na akili...
MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI ALAANI VIKALI UKATILI ULIOFANYWA DHIDI YA MAMA MJASILIAMALI.
Mhe. Abdulaziz M. Abood Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini mapema hii leo amefika wodini Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro alipolazwa Mama Bi Aziza Juma Mjasiliamali ndogondogo mara baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.