Vincenzo Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 12,125
- 25,360
NBCPremierLeague
️ KMC SC Vs Yanga SC
17.02.2024
Jamhuri Morogoro
10:00 jioni
Kikosi kinachoanza dhidi ya KMC FC
Mpira umeanza
dakika ya 1
Mudathir anaipatia Yanga SC goli la kwanza
Goli la mapema zaidi, limefungwa na Mudathir Yahya akiitanguliza Yanga
KMC 0-1 Yanga
Dakika ya 10
Mzize anakosa nafasi ya wazi
Dakika 15
Yanga SC wanaendelea kuongoza kwa goli Moja pacome amekosa nafasi ya wazi
Dakika ya 18
Kibabage anachezewa madhambi
Dakika ya 30
Bado Yanga SC wanaongoza kwa goli moja
Dakika ya 33
Max mpira nzengeli anachezewa faulo. Mzize anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 35
Kmc wanapata kona
Dakika ya 43
Yanga SC wanapata kona
Pacome anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 45 niongeza mbili
Sasa zimemalizika ni mapumziko
Kipindi cha pili kimeanza
Yanga SC wanafanya mabadiliko anatoka mzize anaingia guede
Dakika ya 54
Yanga SC wanapata goli la pili ni yuleyule mudathir anawapatia Yanga SC goli la pili
Ni Mudathir tena
KMC 0-2Yanga
Dakika ya 59
Yanga SC wanapata goli la 3 pacomeeee anawapiga bao la 3 kmc hapa
Goli la tatu la Yanga likiwekwa nyavuni na Pacome Zouzoua
KMC 0-3 Yanga
Dakika ya 66
Yanga SC wanapata Kona
Dakika ya 74
Ubao unasoma 3-0 Yanga SC wanaongoza hapa
Dakika ya 90 niongeza 4
NBCPL: Ni pointi tatu na magoli matatu kwa Yanga
FT: KMC 0-3 Yanga
️ KMC SC Vs Yanga SC
17.02.2024
Jamhuri Morogoro
10:00 jioni
Kikosi kinachoanza dhidi ya KMC FC
Mpira umeanza
dakika ya 1
Mudathir anaipatia Yanga SC goli la kwanza
Goli la mapema zaidi, limefungwa na Mudathir Yahya akiitanguliza Yanga
KMC 0-1 Yanga
Dakika ya 10
Mzize anakosa nafasi ya wazi
Dakika 15
Yanga SC wanaendelea kuongoza kwa goli Moja pacome amekosa nafasi ya wazi
Dakika ya 18
Kibabage anachezewa madhambi
Dakika ya 30
Bado Yanga SC wanaongoza kwa goli moja
Dakika ya 33
Max mpira nzengeli anachezewa faulo. Mzize anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 35
Kmc wanapata kona
Dakika ya 43
Yanga SC wanapata kona
Pacome anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 45 niongeza mbili
Sasa zimemalizika ni mapumziko
Kipindi cha pili kimeanza
Yanga SC wanafanya mabadiliko anatoka mzize anaingia guede
Dakika ya 54
Yanga SC wanapata goli la pili ni yuleyule mudathir anawapatia Yanga SC goli la pili
Ni Mudathir tena
KMC 0-2Yanga
Dakika ya 59
Yanga SC wanapata goli la 3 pacomeeee anawapiga bao la 3 kmc hapa
Goli la tatu la Yanga likiwekwa nyavuni na Pacome Zouzoua
KMC 0-3 Yanga
Dakika ya 66
Yanga SC wanapata Kona
Dakika ya 74
Ubao unasoma 3-0 Yanga SC wanaongoza hapa
Dakika ya 90 niongeza 4
NBCPL: Ni pointi tatu na magoli matatu kwa Yanga
FT: KMC 0-3 Yanga