Ninataka kufanya biashara ya kununua mchele Morogoro

Olympus

JF-Expert Member
Jul 27, 2013
2,817
668
Ningependa kuanza biasahra ya kuuza zao la mchele.

Source ambayo nimependa kuanzia ni Morogoro.

Ningependa kuoata ABCs za wapi pa kuanzia kutoja kwa wale wazoefu.

Natanguliza shukrani!
 
Usiende kunua mchele moro nenda sehemu nyingine, kwa sababu, moro ushulu gunia moja la kilo 1000 ni sh 3000 tena hii ilikuwa bei ya zamani inaweza kuwa imepanda,

Ukitoa mchele mang'ula au ruaha kilo moja ni sh 10 usafili, kupakia gunia 700 kushusha gunia,1000, chukua ushuru ,3000 + 10000+1700=14700, hapo ni usafili tu, changamoto ya njia hii magali hayatoki hivyo usafili ni shida tofauti na mbeya au shinyanga, sehemu nyingine, kingine kabla haujanunua bidha ukiwa ndio unaanza biashara tafuta soko pili lile soko lifanyie upelelzi kwanza ufano unakwenda kushusha mchele tandika ofic ya fulani ile ofic ifanyie uchunguzi usije ukashusha mzigo wa milioni 10 ukalipwa milion moja kila mwezi mpaka pesa yako iishe , ulizia wanalipa vizuli? Mwisho kuwa makini sana na mzani wa kununulia na kuuzia hapa ndio pagumu unaweza pimiwa kule kilo 100 ikifika dar ukipima unakuta kilo 90 au 95
 
Usiende kunua mchele moro nenda sehemu nyingine, kwa sababu, moro ushulu gunia moja la kilo 1000 ni sh 3000 tena hii ilikuwa bei ya zamani inaweza kuwa imepanda,

Ukitoa mchele mang'ula au ruaha kilo moja ni sh 10 usafili, kupakia gunia 700 kushusha gunia,1000, chukua ushuru ,3000 + 10000+1700=14700, hapo ni usafili tu, changamoto ya njia hii magali hayatoki hivyo usafili ni shida tofauti na mbeya au shinyanga, sehemu nyingine, kingine kabla haujanunua bidha ukiwa ndio unaanza biashara tafuta soko pili lile soko lifanyie upelelzi kwanza ufano unakwenda kushusha mchele tandika ofic ya fulani ile ofic ifanyie uchunguzi usije ukashusha mzigo wa milioni 10 ukalipwa milion moja kila mwezi mpaka pesa yako iishe , ulizia wanalipa vizuli? Mwisho kuwa makini sana na mzani wa kununulia na kuuzia hapa ndio pagumu unaweza pimiwa kule kilo 100 ikifika dar ukipima unakuta kilo 90 au 95
Asante sana kwa mrejesho wako
 
Usiende kunua mchele moro nenda sehemu nyingine, kwa sababu, moro ushulu gunia moja la kilo 1000 ni sh 3000 tena hii ilikuwa bei ya zamani inaweza kuwa imepanda,

Ukitoa mchele mang'ula au ruaha kilo moja ni sh 10 usafili, kupakia gunia 700 kushusha gunia,1000, chukua ushuru ,3000 + 10000+1700=14700, hapo ni usafili tu, changamoto ya njia hii magali hayatoki hivyo usafili ni shida tofauti na mbeya au shinyanga, sehemu nyingine, kingine kabla haujanunua bidha ukiwa ndio unaanza biashara tafuta soko pili lile soko lifanyie upelelzi kwanza ufano unakwenda kushusha mchele tandika ofic ya fulani ile ofic ifanyie uchunguzi usije ukashusha mzigo wa milioni 10 ukalipwa milion moja kila mwezi mpaka pesa yako iishe , ulizia wanalipa vizuli? Mwisho kuwa makini sana na mzani wa kununulia na kuuzia hapa ndio pagumu unaweza pimiwa kule kilo 100 ikifika dar ukipima unakuta kilo 90 au 95
Hapo tandika kuna tajiri anaitwa Heke ni tapeli mkubwa
 
Kuhusu mchele nina uzoefu na Mbeya yote, pamoja na mpanda katavi. Ushauri wangu nenda zako mbeya uta nishukuru baadae ukiwa mbey nenda sehemu kati ya hizi zifuatazo. ( Igawa, Chimala, kamsamba, rujewa, kyela, ubaruku, mbarali. Utapata mchele safi na wakiwango. Kikubwa uwe na goal zuri hapa mjini.
 
Kuhusu mchele nina uzoefu na Mbeya yote, pamoja na mpanda katavi. Ushauri wangu nenda zako mbeya uta nishukuru baadae ukiwa mbey nenda sehemu kati ya hizi zifuatazo. ( Igawa, Chimala, kamsamba, rujewa, kyela, ubaruku, mbarali. Utapata mchele safi na wakiwango. Kikubwa uwe na goal zuri hapa mjini.
Asante mkuu kwa mwanza ni mbali sana kwangu considering kwamba nimeajiriwa
 
Usiende kunua mchele moro nenda sehemu nyingine, kwa sababu, moro ushulu gunia moja la kilo 1000 ni sh 3000 tena hii ilikuwa bei ya zamani inaweza kuwa imepanda,

Ukitoa mchele mang'ula au ruaha kilo moja ni sh 10 usafili, kupakia gunia 700 kushusha gunia,1000, chukua ushuru ,3000 + 10000+1700=14700, hapo ni usafili tu, changamoto ya njia hii magali hayatoki hivyo usafili ni shida tofauti na mbeya au shinyanga, sehemu nyingine, kingine kabla haujanunua bidha ukiwa ndio unaanza biashara tafuta soko pili lile soko lifanyie upelelzi kwanza ufano unakwenda kushusha mchele tandika ofic ya fulani ile ofic ifanyie uchunguzi usije ukashusha mzigo wa milioni 10 ukalipwa milion moja kila mwezi mpaka pesa yako iishe , ulizia wanalipa vizuli? Mwisho kuwa makini sana na mzani wa kununulia na kuuzia hapa ndio pagumu unaweza pimiwa kule kilo 100 ikifika dar ukipima unakuta kilo 90 au 95
Hiyo iliwahi kunikuta dodoma nilipeleka choroko tani 27 jamaa akanilalia kwenye mzani yaani gunia nililopima kijijini kwenye mzani wa chama kilo 120 pale linatoka kilo 104 japo mwenyewe aliona kanipiga ila chakushukuru nilinunua kwa kila kilo shilingi 500 nayeye nikamuuzia 1170 kwahiyo nilipiga pesa tu
 
Hiyo iliwahi kunikuta dodoma nilipeleka choroko tani 27 jamaa akanilalia kwenye mzani yaani gunia nililopima kijijini kwenye mzani wa chama kilo 120 pale linatoka kilo 104 japo mwenyewe aliona kanipiga ila chakushukuru nilinunua kwa kila kilo shilingi 500 nayeye nikamuuzia 1170 kwahiyo nilipiga pesa tu
Sema brother waga unani'inspire sana kwenye comment zako, umenyooka na unaijua biashara upside down.
 
Nipo Moro malinyi huku shamban kilo ya Mchele NI elfu moja Tu Yan buku tunanunua kitaa ,
Mm sio mzoefu Sana wala sio mwenyeji WA malinyi ila naambiwa gunia moja la Mchele ushuru NI elf5 , mwanzo ilikuwa elf3 .. kwa sasa hakuna njia ya kufika malinyi kwa gari , mafuriko yameharibu Barabara zote za kuingia malinyi , kama utakuwa interested kuja Malinyi ambako mpunga ndo unazalishwa unaweza kufanya research yako binafsi
 
Nipo Moro malinyi huku shamban kilo ya Mchele NI elfu moja Tu Yan buku tunanunua kitaa ,
Mm sio mzoefu Sana wala sio mwenyeji WA malinyi ila naambiwa gunia moja la Mchele ushuru NI elf5 , mwanzo ilikuwa elf3 .. kwa sasa hakuna njia ya kufika malinyi kwa gari , mafuriko yameharibu Barabara zote za kuingia malinyi , kama utakuwa interested kuja Malinyi ambako mpunga ndo unazalishwa unaweza kufanya research yako binafsi
Bosi samahn naomba mawasliano yk 0785392090
 
Back
Top Bottom