Tukumbushane kisa cha mwamba aliyejinyonga kwa bahati mbaya uwanja wa golf Morogoro

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,417
30,927
Miaka ya nyuma kidogo kulikuwa na mwamba mmoja mbabe sana pale Morogoro akiitwa Hamisi Kambaya. Yule jamaa Bwana alikuwa ana kawaida ya kumtania demu wake kwamba siku akimzingua atajinyonga.

Sasa siku hiyo walikuwa pale uwanja wa golf Morogoro jamaa akamtania tena demu wake leo najinyonga kwasababu wewe mzinguaji. Demu alijua ni ule utani wake wa kawaida na kweli jamaa alikuwa ana joke tu mara akatoa mkanda wake akajifunga shingoni akajiachia toka kwenye mti.

Kwabahati mbaya jamaa akachelewa kujifungua kwa haraka akaanza kutapatapa mzee mmoja alikuwa anafyeka majani akamuona akihangaika na yule demu wake akiwa analia kwa kuchanganyikiwa akafika kumfungua akawa amechelewa jamaa alikufa pale pale .
 
Miaka ya nyuma kidogo kulikuwa na mwamba mmoja mbabe sana pale morogoro akiitwa hamisi kambaya. Yule jamaa Bwana alikuwa ana kawaida ya kumtania demu wake kwamba siku akimzingua atajinyonga. Sasa siku hiyo walikuwa pale uwanja wa golf morogoro jamaa akamtania tena demu wake leo najinyonga kwasababu wewe mzinguwaji. Demu alijua ni ule utani wake wa kawaida na kweli jamaa alikuwa ana joke tu mara akatoa mkanda wake akajifunga shingoni akajiachia toka kwenye mti. Kwabahati mbaya jamaa akachelewa kujifungua kwa haraka akaanza kutapatapa mzee mmoja alikuwa anafyeka majani akamuona akihangaika na yule demu wake akiwa analia kwa kuchanganyikiwa akafika kumfungua akawa amechelewa jamaa alikufa pale pale .
Bahati ni bahati tu.
Hakuna bahati mbaya au nzuri.
Hiyo ni bahati tu.
Sawa na neno maadili.
Hakuna naadili mema wala mabaya.
Maadili ni maadili tu.
 
Unaambiwa kwenye kujinyonga akili ya kujiokoa huwa inapotea fasta. Mwili unaishiwa nguvu chapu za kujinasua unabaki tu kutapatapa. Asilimia 99% ya wanajinyonga huwa wanatamanigi kujinasua lakini ndo hvyo tena inakuwa mbinde.
 
Back
Top Bottom